TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,763
- 4,046
Ndiyo hivyo mkuu,amini usiamini!Mweeeh..
Ndiyo hivyo mkuu,amini usiamini!Mweeeh..
Mkuu hizo taratibu zote za uislamu nazijua,nilichotaka uisikilize youtube ili ujionee shehe alivyojisahau na kuanza kuongea hovyo hovyo bila kujua anatoka wapi na anakwenda wapi!
Mkuu Ally Kombo ungesikiliza hiyo you tube ndiyo ungesikia "mimi napendaga wanene wanene tu,wembamba itokee tu" ni burudani tu,wala haina hoja ya kidini na kwa kuwa wewe ni rafiki yangu nilipenda usikie hicho kituko!.........comment yako hukusema hayo ya you tube !.......ulichosema ni hichi "yeye anapendaga wanene wanene tu" rejea post yako no. 21.
otherwise Sheikh ni binaadamu yakhee, vinginevyo unaweza kuanzisha uzi hapa kisa "Sheikh kajamba !" :becky:
Mkuu Ally Kombo ungesikiliza hiyo you tube ndiyo ungesikia "mimi napendaga wanene wanene tu,wembamba itokee tu" ni burudani tu,wala haina hoja ya kidini na kwa kuwa wewe ni rafiki yangu nilipenda usikie hicho kituko!
uliwahi kumjua Sheikh Kassim bin Jumaah !? .....ukiwa mbara huwezi kukaa nae karibu ! :becky:
Huyo ni muhindi, siyo mzungu...................!
....bin Hemeed..?
........kuna Kassim bin Jumaah (huyu kutoka Kigoma) na Hemed Bin Jumaa bi Hemed (huyu kutoka Tanga)
Yule aliekuwa Sheikh Mkuu alikuwa anaitwa nani..? Yule aliekuwa anatoa mawaidha kwenye kipindi cha radio Tanzania cha Ijumaa..?
Hemed bin Jumaa bin Hemed ! alikuwa mpole sana, na kati ya Masheikh waliokuwa na Elimu kubwa sana ya Dini !..........yaani ilikuwa "Encyclopedia ya dini iko kichwani kwake"
Aliogopa sana alipoona sherehe ile ya kifo cha Nyerere na kisha Dr. Omar Ali Juma, aliacha wosia kuwa, akifa zisipite saa nne awe amezikwa. Alifariki Alfajir, akazikwa saa nne Asubuhi. Viongozi wakisiasa walipata shida sana, akina Mkapa ilibidi wakodi Ndege ya kuwahi kuzika.