Kifo cha msanii mwingine.

Kifo cha msanii mwingine.

Nduka Original

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
1,012
Reaction score
817
Niko hapa Ndanda kuna msiba wa msanii umetokea. Msanii anaitwa Kalembo alikuwa mcheza ngoma maarufu hapa kijijini. Natafuta jinsi ya kuwasiliana na Magogoni ili nijuwe itifaki za kumpokea bwana Mkubwa atakapokuja kuhudhuria mazishi. Naombeni mawasiliano tafadhali tusije tukashtukizwa.
 
acheni kejeli kwa raaisi misiba yote aliyoenda alikuwa na link nayo na siyo kama anajiendea kama mnavyopakaza, hata kama wewe mgonjwa unamwangaikia na kumhudumia ukasikia kafariki utaacha kwenda for few minutes kuzika kwakuwa una cheo?iko cheo chako utazikwa nacho? we need to grow up , hii nchi haitoendelea kwa fitna na majungu.
 
Sasa mkubwa mimi sijajuwa vigezo vinavyotumika kwa Raisi kwenda kuzika, mimi huwa naonaga tu anakwenda kuzika sijawahi kujuwa kwamba anawasaidiaga matibabu. By the way huwa anasaidia matibabu toka kwenye hela zake binafsi au serikali? Na je kwa jibu lolote hapo juu ningependa kujuwa vigezo ili hawa wasanii wa huku vijijini nao watumie hii fursa, who knows labda huyu bwana Kalembo angeweza kupona.
 
Kalembo,mpowora nini au njenga,pande za ndolo,njenga juu,likamdobe,liputu mwena,mkalapa mote humo.
 
Raisi kila msiba anahudhuria yeye tuuu!!! kuanzia viongozi wa juu Duniani hadi wanaoitwa mastaa wanaojulikana Dar tu!
 
Mkulu na ujumbe wake yuko ufaransa, akitoka anaenda UK, halafu Norway kabla ya kutua Adis Ababa na baadaye Angola, then Arabuni kwenye ziara za kuvutia wawekezaji. Tumsubiri labda March ndo atarudi.
 
huyo RAHISI wenu mbulula tu, mi juzi demu wangu kafariki, hata kuja kuzika hajataka, ye anashabikia vifo vya hao tu, KWANZA NAYE TUMEMCHOKA, AFE TU
 
Afadhali mkubwa umenisaidia maana kuna mtu ukiwaa unamchukia mtu kila atachokifanya you must criticize, "kamwe cheo hakikufanyi ushindwe kujumuika kwa matukio yanayokugusa binafsi".
 
😛eace:Wapendwa, musigombane wenyewe kwa wenyewe bila sababu ya Msingi jamani!
 
acheni kejeli kwa raaisi misiba yote aliyoenda alikuwa na link nayo na siyo kama anajiendea kama mnavyopakaza, hata kama wewe mgonjwa unamwangaikia na kumhudumia ukasikia kafariki utaacha kwenda for few minutes kuzika kwakuwa una cheo?iko cheo chako utazikwa nacho? we need to grow up , hii nchi haitoendelea kwa fitna na majungu.

mkuu incharge inaonekana umesahau upo jukwaa gani
 
Last edited by a moderator:
Sasa mkubwa mimi sijajuwa vigezo vinavyotumika kwa Raisi kwenda kuzika, mimi huwa naonaga tu anakwenda kuzika sijawahi kujuwa kwamba anawasaidiaga matibabu. By the way huwa anasaidia matibabu toka kwenye hela zake binafsi au serikali? Na je kwa jibu lolote hapo juu ningependa kujuwa vigezo ili hawa wasanii wa huku vijijini nao watumie hii fursa, who knows labda huyu bwana Kalembo angeweza kupona.

IDD NDUKA kama sija kosea
 
Back
Top Bottom