Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Status
Not open for further replies.
Mkuu Lunyungu,

Heshima mbele sana, ninakuomba kuwa kama una anything you know kuhusu hii ishu uuweke hapa ili tuweze kulisaidia hili taifa na ukweli, this is a very serious ishu ambayo hatuwezi kucheza na facts, ndio maana I am being very careful kwenye kila neno ninalolisema, na nina sababu za msingi kwa kila neno ninalolisema na sina personal ishu na anybody kuanzia hapa wala nje ya hapa, ninayaamini maneno ninayoyasema kwa 100%, na sina agenda yoyote zaidi tu ya committment yangu na taifa, na hasa heshima ya hii forum,

Now some more points kutoka kwenye investigation yangu,

1. - Ninamsafisha DR. Slaaa kwa 100%, kuwa hahusiki na kifo cha Wangwe, na wala hakujua kilichotokea na mpaka leo hajui kilichotokea, ninasema hivi kwa sababu kwangu hii investigation ninaifanya na open eyes na with open mind,

2. - Simu-Isolate anybody na wala simshuku anybody, lakini anybody is anybody, nilipoianza hii investigation nilikuwa na one thing in mind, kwamba hii "Ajali" imefanywa na individuals kutoka vyama vya siasa, Vyama kama vyama haviuhusiki waliohusika wamefanya on personal level kwa faida za binafsi,

- On that line ninaanza kuwa wasi wasi kuwa kunaweza kua kulikuwa na a cross over kati ya viongozi wa vyama hivi vya siasa kwenye kutimiza huu uovu, lakini ninaliifanyia kazi to the end kujua ukweli, my point ni kwamba nina some leads ambazo zinanifanya niwe na wasi wasi kuwa kulikuwa na njama iliyofanywa kwa mchanganyiko wa viongozi kutoka upinzani na CCM, kwa kushirikiana.

- Kwangu viongozi wote wa vyama vya siasa nchini ni target of my investigation na as I move forward nitakuwa very open, ndio maana natangaza rasmi kumsafisha DR. Slaa kuwa hahusiki kwa 100%, sikusema wengine ambao sijawataja wanahusika, lakini mpaka nitakapowasafisha nitasema wazi kama ninavyosema sasa again kua Dr. slaaa hakuhusika na wala hahusikia na wala hakujua anything tena kwa 100%.

Ninarudia tena kua anayetaka tulisaidie taifa na hiki kitendawili please join me, lakini binafsi sina agenda yoyote wala sina interest yoyote, zaidi tu ya kulisaidia taifa, na kuweka heshima ya JF meble, na ninaomba niseme ukweli tena kua, binafsi nina exeprience kubwa sana na Criminal Investigations, kutokana na elimu nzito niliyonayo kwenye hiyo fani, kwa hiyo sio kwamba ninababaisha au ninakurupuka, na kama kawaida siahidi time limit on this, pole pole hakuna haraka, na wala sina muda wa kubishana na anybody.

Mkuu Lunyungu, kama kuna anything unakujua naomba ukiweke hapa tulinganishe tupo wapi na huu uchunguzi.

Ahsante Wakuu!


Mkuu
Duu tunaomba nasi utunyweshe kidogo hiyo ELIMU NZITO inakopatikana na wengine tujaribu kuitauta.

Mimi nina OBJECTION moja tu ktk maandishi yako nayo ni unaposema vyama vya upinzani mimi nadhani pia ni vyema pia utumie chama tawala.Lakini uunapotaja CCM pia naona bora utaje kinaganaga CUF ama PP.
 
1.
Mkuu
Duu tunaomba nasi utunyweshe kidogo hiyo ELIMU NZITO inakopatikana na wengine tujaribu kuitauta.

Mkuu Mkamap, elimu nzito nilipata darasani, miaka miwili College kule US nilisomea, shahada ya pili katika fani ya Criminology na Police Science, waalimu wangu siku zote walikua ni real life police, FBIs, na CIAs, katika darasa zima lenye wanafunzi 30, only wanafunzi wawili tu mimi na m-Jamaica mmoja tu, ndio tulikua hatuhusiki in anyway or form, na Law Enforcement,

Lakini wengine wote walikua ndio kazi yao ya kila siku, kwa hiyo hapo kulikuwa na strong mifano kutoka kwa watu waliokuwa waki-deal na hizi ishus kila siku ya Mungu, infact wao na waalimu wote, walikua siku zote so shocked kwamba sikuwa ninafanya kazi kama zao, in the end waliamini 100% kwamba nilikuwa some type of undercover foreign agent with a special mission lakini ninaficha kusema, na mkuu wangu nili-graduate with honors, pamoja na zawadi maalum toka kwa US Lawenforcement, ikiwa ni pamoja na Khapa Kheta Honor na offer nyingi sana za kazi iwapo ningekubali kubadili uraia kitu ambacho nilikataa kata kata.


2.
Mimi nina OBJECTION moja tu ktk maandishi yako nayo ni unaposema vyama vya upinzani mimi nadhani pia ni vyema pia utumie chama tawala.Lakini uunapotaja CCM pia naona bora utaje kinaganaga CUF ama PP.

Kwa leo nitakujibu ingawa from now on nimeamua kuwa sina muda wa kujibu maswali ya namna hii ambayo nia na madhumuni yake ni very clear ni nini, niliyoyasema yako wazi na sidhani kama kuna anything kisichoeleweka, nimesema as far as my investigation goes,

- Hakuna kiongozi wala chama cha chochote cha siasa Tanzania, au Kiongozi yoyote yule ambaye ni ninamshuku au kumuweka pembeni, kuanzia CCM mpaka vyama vyote vya Upinzani, ninakuomba uwe makini katika michango yako kama una mpango wa kujumuika na hii ishu, kwa sababu nisingependa kuharibu matokeo na any politics.

Ahsante Mkuu.
 
Hapo kwenye namba 5, kama hautajali, unaweza kutufahamisha hizi simu zilikuwa na line za makampuni gani?

Mkuu Gagnija,

Heshima mbele sana, ni kwamba:-

1. - Kijana aliyekamatwa ambaye yuko jela ameanza kuongea, baada ya kubanwa sana kuhusu messages zilizomo kwenye simu yake, katika kipindi cha masaa 72 kati ya kabla na baada ya kifo, kwa sababu kama nilivyoambiwa na wataalam wa mambo ya simu za mikono ni kwamba with in hayo masaa kampuni yoyote ya simu, inatakiwa kuwa na record za messages za simu karibu zote zinazopitia sysytem zao, lakini baada ya hayo masaa anything is okay iwapo hawatakuwa nazo,

2. Alipokamatwa huyu kijana, kitu cha kwanza Law Enforcement walichochukua kutoka kwake, ilikuwa ni simu yake ya mkono, ili waweze kuwahi kwenye kampuni yake kabla ya huo muda kupita, kwa hiyo sio tu walizipata message ndani ya simu yake tu ontime, isipokuwa pia wailweza kupata message zingine, ambazo yule mzee wa kigogo aliwaambia maofisa hao wa usalama, kwamba alimuona huyu kijana wakati wote akiwa naye akijishughulisha sana na "kuchezea kichuma mfano wa mkebe alichokuwa nacho mkononi" ambacho tafsiri yake ilikuwa alikuwa busy kufuta meassages kwenye simu.

3. Kimsingi kwa sasa bado sina jibu kamili kama huyu kijana alikwua akitumia kampuni gani ya simu, lakini sooon notakuarifu hapa na hlo jawabu, lakini naomba nirudie kwua kijana huko jela ameshaanza ku-spill the milk.

4. Baadhi ya context zilizokuwemo kwenye messages za kijana akirushiana na huyu mbunge, zinahusu matengenzo ya compyuta za mbunge, lugha ambayo sasa inaaminiwa kuwa ilikuwa na maana flani in code maalum kati yao, ndio maana ninasema hivi ninamuomba huyu mbunge ajitokeze wazi either hapa au popote pale na kusema ukweli anaoujua kuhusiana na hiki kifo, simuhukumu kuwa ndiye aliyehusika, isipokuwa aweke ukweli wazi wa maswali niliyomuuliza kule mwanzoni kwenye kipengele cha tano.

Again Ahsante Mkuu.
 
conspiracy theories at large, sidhani kama unahitajika uwe na elimu ya aina gani kujua kifo cha Wangwe ni ajali ya kawaida kabisa. Siasa ni mchezo mchafu kabisa kuna watu wanataka kujijenga kwa kuweka theories na hypothesis zisizokuwepo...Ninavyojua mimi Chacha alipata ajali akiwa anakwenda kwenye msiba wa mzee Bhoke Mnanka Dar, sasa ina maana "wauwaji" walipanga pia kifo cha Mnanka ili Wangwe aweze kuwa targeted? Hebu kwa akili ya kawaida kabisa Chacha asinge safiri kwenda Dar es Salaam, ninaamini asingelipata ajali. Sasa hizi hadithi zingine zaniacha hoi kabisa anyway .....ama mimi ni mgumu kuelewa? dont know na kama kuna viongozi wa vyama walihusika nadhani state power wangewaisha watia nguvuni...ajabu ripoti ya polisi imekuwa wazi ni kifo cha ajali ya kawaida...sasa hawa wengine na theories zao ni other Mtikilas

ushi wa Rombo
 
Heshima yako mkuu, next time please stick to the ishu na hoja at hand kama kweli unataka kujadili kwa kuelimisha wananchi wengine, umejaribu ku-dismiss facts, lakini ninawaachia wananchi waamue kama umefanikiwa:-

conspiracy theories at large, sidhani kama unahitajika uwe na elimu ya aina gani kujua kifo cha Wangwe ni ajali ya kawaida kabisa. Siasa ni mchezo mchafu kabisa kuna watu wanataka kujijenga kwa kuweka theories na hypothesis zisizokuwepo...Ninavyojua mimi Chacha alipata ajali akiwa anakwenda kwenye msiba wa mzee Bhoke Mnanka Dar, sasa ina maana "wauwaji" walipanga pia kifo cha Mnanka ili Wangwe aweze kuwa targeted? Hebu kwa akili ya kawaida kabisa Chacha asinge safiri kwenda Dar es Salaam, ninaamini asingelipata ajali. Sasa hizi hadithi zingine zaniacha hoi kabisa anyway .....ama mimi ni mgumu kuelewa? dont know na kama kuna viongozi wa vyama walihusika nadhani state power wangewaisha watia nguvuni...ajabu ripoti ya polisi imekuwa wazi ni kifo cha ajali ya kawaida...sasa hawa wengine na theories zao ni other Mtikilas

ushi wa Rombo


5. Simu ya kijana aliyekamatwa ambaye sasa yuko ndani, ilikutwa ikiwa na ujumbe mwingi sana wa back and forth, kati yake na mbunge mmoja maarufu sana, sasa why don't you come forth na kutuambia hapa JF the whole story kuhusu mawasiliano yenu na huyu kijana?

- Kumbe ulikuwa unamjua huyu kijana aliyekamatwa? tuambie sasa who is he? Wewe ulimjua lini? How? Je baada ya "ajali" did you volunteer info on your own to authorities of knowing and having sometype of communications with this kid? Kama hukufanya hivyo why? Je mlikuwa na mawasiliano ya aina gani na huyu kijana? Who is huyu kijana anyways?
 
duh inawezekana kuna usalama wa taifa wa kumwaga humu JF

Heshima yako mkuu, usalama a taifa ni kazi kama zingine zote, na wao ni binadamu kama sisi wengine wote, ukiona mtu anakuja hapa na kusema yeye ni usalama wa taifa basi ni muongo mkubwa kama ameshawahi kutokea hapa,
maana wao wenyewe hasa huwa hawasemi na hata wangesema huwa hatuwaogopi kwa sababu sisi sio watu wabaya kwa taifa.

Mwanzoni tulidhani ni upande mmoja tu unaohusika, lakini sasa ni clear kuwa sio kweli na ninaona tayari kuwa hiyo haiwezi kukubalika kwa urahisi hapa, lakini hatuna choice ila kuweka ukweli wazi wananchi waamue! Kwenye hili hatuna friends wala ndugu ila ni ukweli tu wazi!
 
kama kuna viongozi wa vyama walihusika nadhani state power wangewaisha watia nguvuni...ajabu ripoti ya polisi imekuwa wazi ni kifo cha ajali ya kawaida..

Wooow! Eti finally our government na CCM is to be trusted kwamba inasema ukweli kwa sababu hapa kuna harufu ya vyama vingi kuhusika na hiki kifo, is that so?

Mkuu unaona unavyopwaya na hoja?
 
Mkuu Gagnija,

Heshima mbele sana, ni kwamba:-

1. - Kijana aliyekamatwa ambaye yuko jela ameanza kuongea, baada ya kubanwa sana kuhusu messages zilizomo kwenye simu yake, katika kipindi cha masaa 72 kati ya kabla na baada ya kifo, kwa sababu kama nilivyoambiwa na wataalam wa mambo ya simu za mikono ni kwamba with in hayo masaa kampuni yoyote ya simu, inatakiwa kuwa na record za messages za simu karibu zote zinazopitia sysytem zao, lakini baada ya hayo masaa anything is okay iwapo hawatakuwa nazo,

2. Alipokamatwa huyu kijana, kitu cha kwanza Law Enforcement walichochukua kutoka kwake, ilikuwa ni simu yake ya mkono, ili waweze kuwahi kwenye kampuni yake kabla ya huo muda kupita, kwa hiyo sio tu walizipata message ndani ya simu yake tu ontime, isipokuwa pia wailweza kupata message zingine, ambazo yule mzee wa kigogo aliwaambia maofisa hao wa usalama, kwamba alimuona huyu kijana wakati wote akiwa naye akijishughulisha sana na "kuchezea kichuma mfano wa mkebe alichokuwa nacho mkononi" ambacho tafsiri yake ilikuwa alikuwa busy kufuta meassages kwenye simu.

3. Kimsingi kwa sasa bado sina jibu kamili kama huyu kijana alikwua akitumia kampuni gani ya simu, lakini sooon notakuarifu hapa na hlo jawabu, lakini naomba nirudie kwua kijana huko jela ameshaanza ku-spill the milk.

4. Baadhi ya context zilizokuwemo kwenye messages za kijana akirushiana na huyu mbunge, zinahusu matengenzo ya compyuta za mbunge, lugha ambayo sasa inaaminiwa kuwa ilikuwa na maana flani in code maalum kati yao, ndio maana ninasema hivi ninamuomba huyu mbunge ajitokeze wazi either hapa au popote pale na kusema ukweli anaoujua kuhusiana na hiki kifo, simuhukumu kuwa ndiye aliyehusika, isipokuwa aweke ukweli wazi wa maswali niliyomuuliza kule mwanzoni kwenye kipengele cha tano.

Again Ahsante Mkuu.

Sasa huyu kijana alioko jela basi atakua alidata kwanini ahangaike na kufuta sms wakati soln ilikua fupi tu kuichukua simu yake na kuipondapoanda kwa mawe na kusema hiyo ni kazi ya ajali?? Harafu anaenda kununua zingine kutokana na ujira alioutekeleza?

Harafu unataja mbunge maarufu ukimtaka aje ajibu tuhuma haitawezekana maana wabunge maarufu wapo wengi.
Ni vyema utoe mwelekeo kidogo mbunge mfano mbunge mchachari wa chama cha mihandarati au mbunge machachari kutoka chama cha deiwaka na mapalagumu

 
Mkubwa wangu heshima yako!


Hizi consipiracy theories ni ngumu sana kuzitetea, ndo maana nasema tena kuna watu wanakipaji cha kutaka kufanya fikra zao ziwe sahihi kwa gharama zozote kwa kujenga hoja. Gari likuwa likiendeshwa na Kijana asiye na uzoefu na ilikuwa usiku, Chacha inasemekana alikuwa mgonjwa kijana labda gari lilimshinda na ajali iliyopelekea kifo chake. Sasa hii ya kuja na hoja za sms kwangu is too low, sijui Mbunge maarufu etc etc its crap. Hizi theories zipo kwenye vifo vingi sana hata hivyo ningumu sana kuzithibitisha.Hata kwenye kifo cha Kennedy, Diana hata Palm Olof nadhani wazijua...tukija nyumbani hapa kifo cha Sokoine, Kolimba, Mama Mbatia, Chifupa etc kote zipo. Kwa hoja hizo nadhani wanaJF kwa mtizamo mwepesi kabisa Wangwe kafa kwa ajali full stop. Polisi wamemaliza kazi zao za uchunguzi, hata postmortem mbili zimesema hivyo. Sasa tukitaka potoshana kwa habari za kufikirika nadhani hatutafika sijui sms Chacha amekufa tumwombee apumzike kwa amani, tusitake jenga mizizi ya chuki kwa kupandikiza mbunge fulani maarufu wa chama fulani sijui nini

Ushi Wa Rombo


Heshima yako mkuu, next time please stick to the ishu na hoja at hand kama kweli unataka kujadili kwa kuelimisha wananchi wengine, umejaribu ku-dismiss facts, lakini ninawaachia wananchi waamue kama umefanikiwa:-




5. Simu ya kijana aliyekamatwa ambaye sasa yuko ndani, ilikutwa ikiwa na ujumbe mwingi sana wa back and forth, kati yake na mbunge mmoja maarufu sana, sasa why don't you come forth na kutuambia hapa JF the whole story kuhusu mawasiliano yenu na huyu kijana?

- Kumbe ulikuwa unamjua huyu kijana aliyekamatwa? tuambie sasa who is he? Wewe ulimjua lini? How? Je baada ya "ajali" did you volunteer info on your own to authorities of knowing and having sometype of communications with this kid? Kama hukufanya hivyo why? Je mlikuwa na mawasiliano ya aina gani na huyu kijana? Who is huyu kijana anyways?
 
Mawazo yangu tu. Ni kwanini serikali inaridhika kunyamaza kimya licha ya conspiracy theories zote hizi zinazosikika kila kukicha? Hivi wanasheria mlioko humu hebu tusaidieni, kwa sheria za Tanzania, ni nani mwenye mamlaka ya kuitisha "inquest" kinapotokea kifo chenye utata? Kwa mfano raia wa kawaida anaweza kuiomba mahakama iamuru kufanyike inquest? Tumeona huku UK inquest ya kifo cha Princess Diana imefanyika miaka 10 baada ya kifo chake, naweza kusema pengine ilichelewa kufanyika, lakini angalao katika mfululizo wa kesi ile mengi yamesemwa, watu wameelimika, shaka kadhaa zimefutwa ama kuthibitika, na cha muhimu katika mjumuisho imepatikana verdict, na bila shaka wapo ambao imewasaidia angalao kisaikolojia. Kuna nyingine inayoendelea hapa ya yule de Menesez aliyepigwa risasi (kimakosa) na polisi kwa kufananishwa na magaidi wa London bombing (ingekuwa bongo si ajabu ingeishia kama "bwana alitoa nae ametwaa....").

Sasa hii ya Wangwe nauliza, kwa nini wasifungue inquest, mwenye ushahidi akapeleka huko? Au imeshaonekana ndio mtaji wa kisiasa, maana sasa naona huo uchaguzi huko Tarime kwenye kampeni wasipotaja kifo cha Wangwe wanaona hawajafanya kampeni! Ni kubaya sana tunakoelekea, ambako maisha ya mtu yanapewa thamani kidogo namna hii!
 
Mawazo yangu tu. Ni kwanini serikali inaridhika kunyamaza kimya licha ya conspiracy theories zote hizi zinazosikika kila kukicha? Hivi wanasheria mlioko humu hebu tusaidieni, kwa sheria za Tanzania, ni nani mwenye mamlaka ya kuitisha "inquest" kinapotokea kifo chenye utata? Kwa mfano raia wa kawaida anaweza kuiomba mahakama iamuru kufanyike inquest? Tumeona huku UK inquest ya kifo cha Princess Diana imefanyika miaka 10 baada ya kifo chake, naweza kusema pengine ilichelewa kufanyika, lakini angalao katika mfululizo wa kesi ile mengi yamesemwa, watu wameelimika, shaka kadhaa zimefutwa ama kuthibitika, na cha muhimu katika mjumuisho imepatikana verdict, na bila shaka wapo ambao imewasaidia angalao kisaikolojia. Kuna nyingine inayoendelea hapa ya yule de Menesez aliyepigwa risasi (kimakosa) na polisi kwa kufananishwa na magaidi wa London bombing (ingekuwa bongo si ajabu ingeishia kama "bwana alitoa nae ametwaa....").

Sasa hii ya Wangwe nauliza, kwa nini wasifungue inquest, mwenye ushahidi akapeleka huko? Au imeshaonekana ndio mtaji wa kisiasa, maana sasa naona huo uchaguzi huko Tarime kwenye kampeni wasipotaja kifo cha Wangwe wanaona hawajafanya kampeni! Ni kubaya sana tunakoelekea, ambako maisha ya mtu yanapewa thamani kidogo namna hii!

Mkuu Kithuku, Heshima yako

Nakubaliana na wewe kabisa, wale wote wenye wasi wasi basi wafungue inquest, ushahidi wote upelekwe huko, postmortem ripoti, trafic, wale jamaa wa sms na mtu anayesadikika alikuwepo wakati wa tukio...na yule mtani wangu mzee wa kigogo aliyefika mwanzoni. Kuondoa utata hapa JF tutakuwa tunaonyeshana umwamba wa kujenga hoja bila sababu...tuna issue nyingi za kuchangia na kuelimishana

Ushi
 
Mkuu Kithuku, Heshima yako

Nakubaliana na wewe kabisa, wale wote wenye wasi wasi basi wafungue inquest, ushahidi wote upelekwe huko, postmortem ripoti, trafic, wale jamaa wa sms na mtu anayesadikika alikuwepo wakati wa tukio...na yule mtani wangu mzee wa kigogo aliyefika mwanzoni. Kuondoa utata hapa JF tutakuwa tunaonyeshana umwamba wa kujenga hoja bila sababu...tuna issue nyingi za kuchangia na kuelimishana

Ushi

THE INQUEST ACT, 1980
Inquest means an inquiry held by a coroner under this Act into the death of any person.
The minister may, after consultation with the principal judge by order establish a coroner’s Court
-Where a coroners court is not established in a particular area,inquest in that area shall be conducted by the District and Resident Magistrates

FUNCTION OF THE CORONER’S COURT
To inquire into the death of any person who
1. Is suspected to have died violently or of unnatural cause
2. Dies a sudden death the cause of which is unknown
3Dies or is found dead in such place and in such circumstances as to require an inquest in pursuance of the provision of any written law

QUALIFICATION FOR AN APPOINTMENT
1. Public officers or retired public officers who are qualified shall be appointed by the principal judge after consultation with the appropriate authority
2. Principal judge, after consultation with the chief Justice appoint a Magistrate

POWERS AND DUTIES OF A CORONER
1. May proceed suo mottu upon the receipt of the information
2. Upon the opinion of the appropriate authority, the coroner can be directed to conduct an inquiry.

POWER TO DISPENSE WITH AN INQUEST
1. Where there is a clear medical report on the matter
2. Where there is any other evidence which is clear
That there was no problem with the death of the deceased

POSTPONEMENT AND ADJOURNMENT OF INQUEST
1. Where there are proceedings in court concerning the same matter and person are about to be brought in court concerning the same matter.
-But on conclusion of the case he may proceed to investigate where he sees that there are some issues of public interest, but if he discovers that there is no public benefit, he should certify and inform the DPP
-If the inquest is conducted after the conclusion of the case, it shall not contain fact which charges a person with an offence

POWER TO ORDER EXHUMATION
The coroner has power to order exhumation if the death of the person attracts inquest. He also has power to order the conduct of post mortem examination

HOLDING OF INQUEST

-Can be conducted if a person is dead or a body is found of a person who died under mysterious circumstances.
--The one who finds it is obliged to inform the coroner or the police officer or an appropriate authority
-Upon receiving that information, the police officer or that appropriate authority shall inform the coroner

PRELIMINARY EXAMINATION OF THE BODY
When a dead body is brought to the hospital, a medical practitioner authorized by his in charge shall make external examination of it and make a report to the Coroner who if he thinks fit may order post mortem examination and the same should be reported to the coroner

INQUEST OF SUDDEN OR VIOLENT DEATH
May be conducted by the coroner by viewing the body or not

WITNESSES
The CORONER HAS THE POWER TO CALL WITNESSES and MAY CONDUCT THE CASE WITH THE AID OF ASSESSORS
*Even if the death occurred outside the URT, still the Coroner has jurisdiction to query.

EXECUTION AND DEATH IN PRISONS
Where the offender is executed, within 24 hrs,the coroner must inquire into and ascertain the identity of the body and the cause of death and whether the judgment was duly executed.
-whenever a person dies in custody, the coroner must soon hold an inquest with not less than 3 assessors
-DPP has power to order an inquest be conducted by the coroner
THE AIM OF INQUEST
-To ascertain who the deceased was
-How, When and where he came by his death
-whether the circumstances of his death discloses an offence
*The coroner is not allowed to express his opinion more than the above three or shows that there is a civil liability.

VIEWING THE BODY
Shall be viewed by a coroner, or he shall satisfy himself that the body has been viewed by the police officer, or a medical practitioner or any trustworthy person before the inquest
-evidence shall be adduced by reading statements recorded by police officers or other public officials and no personal appearance is allowed

APPEARANCE OF WITNESSESS
Can be made at the request of an interested party or by coroner’s motion and shall have powers of the magistrate r.g issuing of summons

EXAMINATION OF WITNESSES
Is allowed at the request of an interested party to cross examine them IN
PERSON OR THROUGH AN ADVOCATE

DEATH IN THE COURSE OF EMPLOYMENT
-The member of a trade union
-the employer
-any appointee of the ministry of labour

MODE OF EXAMINATION
The coroner--------the person assisting the witness
------no one is allowed to address the coroner as to the fact, but with leave of the it,he may address the law.

CONCLUSION OF AN INQUEST
-State whether an offence is disclosed but he should name no one in connection with an offence release the witness and send a report to the DPP
-He shall deliver a report to the Registrar of the High Court

POWER OF THE HIGH COURT
1. it can reopen the inquest for taking further evidence
2. Quashing the findings and substituting it with another lawful finding according to the evidence.
3. Quash an inquest without ordering anything

Nimeoiona hii hapa( http://sheriatanzania.blogspot.com/2007/06/muhtasari-wa-sheria-mbalimbali-za.html)sijui kama hii Law bado in hold au kuna marekebisho yalishafanywa ...wanasheria wanaweza kutusaidia zaidi.
 
Mkubwa wangu heshima yako!
Hizi consipiracy theories ni ngumu sana kuzitetea, ndo maana nasema tena kuna watu wanakipaji cha kutaka kufanya fikra zao ziwe sahihi kwa gharama zozote kwa kujenga hoja. Gari likuwa likiendeshwa na Kijana asiye na uzoefu na ilikuwa usiku, Chacha inasemekana alikuwa mgonjwa kijana labda gari lilimshinda na ajali iliyopelekea kifo chake. Sasa hii ya kuja na hoja za sms kwangu is too low, sijui Mbunge maarufu etc etc its crap. Hizi theories zipo kwenye vifo vingi sana hata hivyo ningumu sana kuzithibitisha.Hata kwenye kifo cha Kennedy, Diana hata Palm Olof nadhani wazijua...tukija nyumbani hapa kifo cha Sokoine, Kolimba, Mama Mbatia, Chifupa etc kote zipo. Kwa hoja hizo nadhani wanaJF kwa mtizamo mwepesi kabisa Wangwe kafa kwa ajali full stop. Polisi wamemaliza kazi zao za uchunguzi, hata postmortem mbili zimesema hivyo. Sasa tukitaka potoshana kwa habari za kufikirika nadhani hatutafika sijui sms Chacha amekufa tumwombee apumzike kwa amani, tusitake jenga mizizi ya chuki kwa kupandikiza mbunge fulani maarufu wa chama fulani sijui nini

Ushi Wa Rombo

Mkuu Ushi wa Rombo,

Ninashukuru sana kwamba so far unanisaidia kunipa nguvu kuwa niko kwenye right track na uchunguzi wangu, sina mpango wa kubishana na wewe au anybody kwenye level yako ambapo sioni hoja nzito kama za uchunguzi, sina mpango wa kwenda personal na wewe kitu ambacho unaonekana kukitafuta sana hapa kwa sababu nia na madhumuni yangu ni education kwa wananchi na taifa letu, kukushambulia personal kama unavyonifanyia haiwezi kunisaidia kwenye lengo langu la elimu,

Ila nime-note one point katika hoja zako, kwamba kwa mara ya kwanza kuna watu kama wewe mna imani na uchunguzi wa serikali ya CCM, that is huge!

Anyways, kama kujadili na mimi on this jaribu ku-deal na hoja nzito on the ishu kwa sababu kwa maneno yako ni clear kuwa unajua a lot kuhusu hii ishu ndio maana umejitokeza na ukali sana, karibu sana mkuu.

Naom,ba unisaidie huyu kijana alikuwaje antengeneza compyuta za huyu mbunge? Toka lini? Walikutana wapi? Alimjua lini? Mbona baada ya ajali asiseme kua wanajuana? Just being curious
 
Mkuu wangu Field Marshall ES, heshima mbele

Nadhani umekosea kufikiri kwamba ninapambana na wewe ama kubishana ama nimetumia kiswahili kibaya. Kama umefika huko I am sorry bro. I am speaking my mind thats all. Sijawa mkali kabisa, ila naona kama unataka kulazimisha kitu hapa kwa kutumia pazia la kuelimisha wasi wasi wangu unaweza kumislead sana hadhira iliyopo, kwa unavyojenga hoja kupotosha, nakumbuka hapo awali umeweka resume yako kuwa umesomea criminology na police investigation ili kuliamisha na kulipa imani darasa lako!!, my bro kwenye hili uko a bit impartial kwa nionavyo, jaribu kusoma tena posts zako with free mind utaona. Kila laheri bro sintochangia tena hii thread peace and love

Ushi


Mkuu Ushi wa Rombo,

Ninashukuru sana kwamba so far unanisaidia kunipa nguvu kuwa niko kwenye right track na uchunguzi wangu, sina mpango wa kubishana na wewe au anybody kwenye level yako ambapo sioni hoja nzito kama za uchunguzi, sina mpango wa wkenda personal na wewe kitu ambacho unaonekana kukitafuta sana hapa kwa sababu nia na madhumuni yangu ni eductaion kwa wananchi na taifa letu, kukushambulia personal kama unavyonifanyia haiwezi kunisaidia wkenye lengo langu la elimu,

Ila nime-note one point katika hoja zako, kwamba kwa mara ya kwanza kuna watu kama wewe mna imani na uchunguzi w a serikali ya CCM, that is huge!

Anyways, kama kujadili na mimi on this jaribu ku-deal na hoja nzito on the ishu kwa sababu kwa maneno yako ni clear kuwa unajua a lot kuhusu hii ishu ndio maana umejitokeza na ukali sana, karibu sana mkuu.
 
Mkuu wangu Field Marshall ES, heshima mbele

Nadhani umekosea kufikiri kwamba ninapambana na wewe ama kubishana ama nimetumia kiswahili kibaya. Kama umefika huko I am sorry bro. I am speaking my mind thats all. Sijawa mkali kabisa, ila naona kama unataka kulazimisha kitu hapa kwa kutumia pazia la kuelimisha wasi wasi wangu unaweza kumislead sana hadhira iliyopo, kwa unavyojenga hoja kupotosha, nakumbuka hapo awali umeweka resume yako kuwa umesomea criminology na police investigation ili kuliamisha na kulipa imani darasa lako!!, my bro kwenye hili uko a bit impartial kwa nionavyo, jaribu kusoma tena posts zako with free mind utaona. Kila laheri bro sintochangia tena hii thread peace and love

Ushi

Ahsante sana mkuu, nilipoulizwa swali kuhusu elimu nzito niliyonayo kuhusu investigations ndio nikatoa jibu, sasa labda kama ungekwua na habari kwua sina hiyo elimu ningeelewa, ninajua kua you are a very smart man hata the way you have played this ninakunaglia sana toka wmanzo ulipaonzia na hapa unapoishia, lakini sina lolote la kukusaidia zaidi tu ya ksuema ninasimamia hopja zangu kwa 100%,

Toka siku ya kwanza nilisema kua siamini kuwa hii ajali ni ya kweli, na nikasema kua nina wasi wasi kuwa kuna mkono wa CCM kwa sababu ya professionalism ya kazi yenyewe wka sababu upianzani hawana thta kind of resources, sikukuona ukisema nimekosa impartiality! WHY?

Sasa leo nimetoa hoja kidogo tu ya matokeo ya uchunguzi wangu bila kutaja jina la kiongozi yoyote wala chama, tayari umetahayari kuwa nimekosa impartiality hivi wkeli mkuu unawatendea haki wananchi hapa wanaotaka kujua ukweli ulipo? Ushirombo what do you know kuhusus hiki kifo just come out clean kwa sababu nimekuona toka mwanzo kuwa unajua something, just say it mkuu.

Ahsnate Sana Ndugu Yangu Ushirombo najua imebidi uondoke maana unajua kuwa fumbo huwa tunafumbia mjinga maana mwerevu hujua, unajua kua nimeshakushitukia, au?.
 
Mkuu Ushi wa Rombo,

Ninashukuru sana kwamba so far unanisaidia kunipa nguvu kuwa niko kwenye right track na uchunguzi wangu, sina mpango wa kubishana na wewe au anybody kwenye level yako ambapo sioni hoja nzito kama za uchunguzi, sina mpango wa kwenda personal na wewe kitu ambacho unaonekana kukitafuta sana hapa kwa sababu nia na madhumuni yangu ni education kwa wananchi na taifa letu, kukushambulia personal kama unavyonifanyia haiwezi kunisaidia kwenye lengo langu la elimu,

Ila nime-note one point katika hoja zako, kwamba kwa mara ya kwanza kuna watu kama wewe mna imani na uchunguzi wa serikali ya CCM, that is huge!

Anyways, kama kujadili na mimi on this jaribu ku-deal na hoja nzito on the ishu kwa sababu kwa maneno yako ni clear kuwa unajua a lot kuhusu hii ishu ndio maana umejitokeza na ukali sana, karibu sana mkuu.

Naom,ba unisaidie huyu kijana alikuwaje antengeneza compyuta za huyu mbunge? Toka lini? Walikutana wapi? Alimjua lini? Mbona baada ya ajali asiseme kua wanajuana? Just being curious

Fm
acha kubishana mkuu tuletee maishu hayo , mimi nimmoja wao siamini kabisa serikali , ama chama chochote.
Ndiyo wale wanaweza kuwa wamechunguza na uwezo wao wa kuchunguza ndipo ulipokomea hapo na ku cofirm ndivyo sivyo.

Hata madaktri nao sio wa kuamini sana maana nakumbuka pale walipompasua ndg yetu kichwa badala ya mguu na kumpotezea uhai wake.

Anayebaki kuaminiwa kwa asilimia kubwa ni shuhuda.

Na kama kweli huyo mbunge aliandikiana na huyo kijana sms mvua kwa ajili tu ya service ya COMP ni shaka kubwa ina maana walikua wana bagain kwa sms ??
Labda huyo mbunge awe mwanamke hapo sitatia shaka.Lakini kama ni dume kwa dume harafu to and fro sms Duuuu ni kazi.

Harafu wewe si ndio mzee wa GILADI tupe jina la mbunge huyo mkuu.

Mbona nchimbi hutajwa tu waziwazi mkuu?
 
THE INQUEST ACT, 1980
Inquest means an inquiry held by a coroner under this Act into the death of any person.
The minister may, after consultation with the principal judge by order establish a coroner’s Court
-Where a coroners court is not established in a particular area,inquest in that area shall be conducted by the District and Resident Magistrates

FUNCTION OF THE CORONER’S COURT
To inquire into the death of any person who
1. Is suspected to have died violently or of unnatural cause
2. Dies a sudden death the cause of which is unknown
3Dies or is found dead in such place and in such circumstances as to require an inquest in pursuance of the provision of any written law

QUALIFICATION FOR AN APPOINTMENT
1. Public officers or retired public officers who are qualified shall be appointed by the principal judge after consultation with the appropriate authority
2. Principal judge, after consultation with the chief Justice appoint a Magistrate

POWERS AND DUTIES OF A CORONER
1. May proceed suo mottu upon the receipt of the information
2. Upon the opinion of the appropriate authority, the coroner can be directed to conduct an inquiry.

POWER TO DISPENSE WITH AN INQUEST
1. Where there is a clear medical report on the matter
2. Where there is any other evidence which is clear
That there was no problem with the death of the deceased

POSTPONEMENT AND ADJOURNMENT OF INQUEST
1. Where there are proceedings in court concerning the same matter and person are about to be brought in court concerning the same matter.
-But on conclusion of the case he may proceed to investigate where he sees that there are some issues of public interest, but if he discovers that there is no public benefit, he should certify and inform the DPP
-If the inquest is conducted after the conclusion of the case, it shall not contain fact which charges a person with an offence

POWER TO ORDER EXHUMATION
The coroner has power to order exhumation if the death of the person attracts inquest. He also has power to order the conduct of post mortem examination

HOLDING OF INQUEST

-Can be conducted if a person is dead or a body is found of a person who died under mysterious circumstances.
--The one who finds it is obliged to inform the coroner or the police officer or an appropriate authority
-Upon receiving that information, the police officer or that appropriate authority shall inform the coroner

PRELIMINARY EXAMINATION OF THE BODY
When a dead body is brought to the hospital, a medical practitioner authorized by his in charge shall make external examination of it and make a report to the Coroner who if he thinks fit may order post mortem examination and the same should be reported to the coroner

INQUEST OF SUDDEN OR VIOLENT DEATH
May be conducted by the coroner by viewing the body or not

WITNESSES
The CORONER HAS THE POWER TO CALL WITNESSES and MAY CONDUCT THE CASE WITH THE AID OF ASSESSORS
*Even if the death occurred outside the URT, still the Coroner has jurisdiction to query.

EXECUTION AND DEATH IN PRISONS
Where the offender is executed, within 24 hrs,the coroner must inquire into and ascertain the identity of the body and the cause of death and whether the judgment was duly executed.
-whenever a person dies in custody, the coroner must soon hold an inquest with not less than 3 assessors
-DPP has power to order an inquest be conducted by the coroner
THE AIM OF INQUEST
-To ascertain who the deceased was
-How, When and where he came by his death
-whether the circumstances of his death discloses an offence
*The coroner is not allowed to express his opinion more than the above three or shows that there is a civil liability.

VIEWING THE BODY
Shall be viewed by a coroner, or he shall satisfy himself that the body has been viewed by the police officer, or a medical practitioner or any trustworthy person before the inquest
-evidence shall be adduced by reading statements recorded by police officers or other public officials and no personal appearance is allowed

APPEARANCE OF WITNESSESS
Can be made at the request of an interested party or by coroner’s motion and shall have powers of the magistrate r.g issuing of summons

EXAMINATION OF WITNESSES
Is allowed at the request of an interested party to cross examine them IN
PERSON OR THROUGH AN ADVOCATE

DEATH IN THE COURSE OF EMPLOYMENT
-The member of a trade union
-the employer
-any appointee of the ministry of labour

MODE OF EXAMINATION
The coroner--------the person assisting the witness
------no one is allowed to address the coroner as to the fact, but with leave of the it,he may address the law.

CONCLUSION OF AN INQUEST
-State whether an offence is disclosed but he should name no one in connection with an offence release the witness and send a report to the DPP
-He shall deliver a report to the Registrar of the High Court

POWER OF THE HIGH COURT
1. it can reopen the inquest for taking further evidence
2. Quashing the findings and substituting it with another lawful finding according to the evidence.
3. Quash an inquest without ordering anything

Nimeoiona hii hapa( http://sheriatanzania.blogspot.com/2007/06/muhtasari-wa-sheria-mbalimbali-za.html)sijui kama hii Law bado in hold au kuna marekebisho yalishafanywa ...wanasheria wanaweza kutusaidia zaidi.

Kama sheria ya inquest iliyoko Tanzania ndiyo hii basi tuna safari ndefu sana! Labda niambiwe kuwa mwandishi hapa ameifupisha kwa malengo mengine, vinginevyo imenimaliza nguvu! Maana nilipoisoma hapo juu, inaonesha ni dola peke yake ndiyo inayoweza kuagiza inquest, sasa dola ikikataa hilo ndio imetoka? Mwananchi wa kawaida nikitaka kuomba mahakama iamuru kufanyike inquest, kumbe hakuna sheria inayoruhusu hilo?

Swali lingine tu kwa nia ya kujifunza zaidi: Hivi ile Tume aliyounda Kikwete baada ya mauaji ya wafanyabiashara wa Mahenge (kesi ya Zombe) inafanana vipi ama kutofautiana na inquest? Rais anaunda tume kama hizo kwa utashi binafsi ama ni matakwa (obligation) ya kisheria?
 
Ahsante sana mkuu, nilipoulizwa swali kuhusu elimu nzito niliyonayo kuhusu investigations ndio nikatoa jibu, sasa labda kama ungekwua na habari kwua sina hiyo elimu ningeelewa, ninajua kua you are a very smart man hata the way you have played this ninakunaglia sana toka wmanzo ulipaonzia na hapa unapoishia, lakini sina lolote la kukusaidia zaidi tu ya ksuema ninasimamia hopja zangu kwa 100%,

Toka siku ya kwanza nilisema kua siamini kuwa hii ajali ni ya kweli, na nikasema kua nina wasi wasi kuwa kuna mkono wa CCM kwa sababu ya professionalism ya kazi yenyewe wka sababu upianzani hawana thta kind of resources, sikukuona ukisema nimekosa impartiality! WHY?

Sasa leo nimetoa hoja kidogo tu ya matokeo ya uchunguzi wangu bila kutaja jina la kiongozi yoyote wala chama, tayari umetahayari kuwa nimekosa impartiality hivi wkeli mkuu unawatendea haki wananchi hapa wanaotaka kujua ukweli ulipo? Ushirombo what do you know kuhusus hiki kifo just come out clean kwa sababu nimekuona toka mwanzo kuwa unajua something, just say it mkuu.

Ahsnate Sana Ndugu Yangu.

Mkuu wangu Field Marshall ES

Mimi naconnect dots tu sina lazaidi nijualo kwenye kifo cha marehemu zaidi ya kutumia logic na kufikiri kidogo. Hahahahaha!! Field Marshall ES, JF yanipa raha am kind of being addicted with it....kupambana kwa hoja na watu usio wajua kabisa is funny. Field Marshall ES endelea na uchunguzi wako wa kikachero I might learn something as well, Nilikuwa nafahamiana na Marehemu Wangwe kwa karibu, amekufa mapema sana kwenye safari yake ya kisiasa.

best wishes.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom