Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Status
Not open for further replies.
acha kubishana mkuu tuletee maishu hayo , mimi nimmoja wao siamini kabisa serikali , ama chama chochote.
Ndiyo wale wanaweza kuwa wamechunguza na uwezo wao wa kuchunguza ndipo ulipokomea hapo na ku cofirm ndivyo sivyo.

Hata madaktri nao sio wa kuamini sana maana nakumbuka pale walipompasua ndg yetu kichwa badala ya mguu na kumpotezea uhai wake.

Anayebaki kuaminiwa kwa asilimia kubwa ni shuhuda.

Na kama kweli huyo mbunge aliandikiana na huyo kijana sms mvua kwa ajili tu ya service ya COMP ni shaka kubwa ina maana walikua wana bagain kwa sms ??
Labda huyo mbunge awe mwanamke hapo sitatia shaka.Lakini kama ni dume kwa dume harafu to and fro sms Duuuu ni kazi.

Harafu wewe si ndio mzee wa GILADI tupe jina la mbunge huyo mkuu.

Mbona nchimbi hutajwa tu waziwazi mkuu?

Mkuu Heshima yako mbele sana,

Mjadala wa watoto wa Tabora umenisaidia sana kuelewa na kubadilika agenda za watu hapa, na kuachana na mijadala ya pua period, kwa sababu behind the scene ninaona mambo mengi sana kuhusiana na ile ishu kwamba ninasikia huruma kuwaomba watu wazima waache kwa hiyo nimenawa mikono, I have no time for that nonesense tena elimu na kuhabarishana that it kwa kiyo kubishana hakuna hapa ila nimeomba mkuu ajaribu kuchambua hoja nilizozitoa.

Nimetoa changamoto ya uchunguzi wangu ambao haujakamilika, na pia nimeamua kutoa hints ya unakokwenda na kuwakumbusha wananchi hapa kua uchunguzi bado unaendeela na hizi ni baadhi ya facts za uchunguzi wangu na kwamba hatujamsahau Wangwe RIP. Sina agenda wala any good au bad motives, lakini ukisoma kwa makini maneno ya Ushirombo, toka mwanzo alipoanza utaona kua anajua something lakini hataki kusema.

Ahsante Mkuu.
 
Kama sheria ya inquest iliyoko Tanzania ndiyo hii basi tuna safari ndefu sana! Labda niambiwe kuwa mwandishi hapa ameifupisha kwa malengo mengine, vinginevyo imenimaliza nguvu! Maana nilipoisoma hapo juu, inaonesha ni dola peke yake ndiyo inayoweza kuagiza inquest, sasa dola ikikataa hilo ndio imetoka? Mwananchi wa kawaida nikitaka kuomba mahakama iamuru kufanyike inquest, kumbe hakuna sheria inayoruhusu hilo?

Swali lingine tu kwa nia ya kujifunza zaidi: Hivi ile Tume aliyounda Kikwete baada ya mauaji ya wafanyabiashara wa Mahenge (kesi ya Zombe) inafanana vipi ama kutofautiana na inquest? Rais anaunda tume kama hizo kwa utashi binafsi ama ni matakwa (obligation) ya kisheria?

Mkuu Kithuku,

Inawezekana muandishi kwenye ile blog alifupisha ile bill yenyewe lakini inaweza kupatikana hapa kama attachment View attachment 17-1980.pdf au moja kwa moja kutoka website ya bunge hapa ...[media]http://bunge.go.tz/polis/PAMS/Docs/17-1980.pdf[/media]
 
Mkuu Kithuku,

Inawezekana muandishi kwenye ile blog alifupisha ile bill yenyewe lakini inaweza kupatikana hapa kama attachment View attachment 2640 au moja kwa moja kutoka website ya bunge hapa ...[media]http://bunge.go.tz/polis/PAMS/Docs/17-1980.pdf[/media]

Nakushukuru mkuu deny_all. Nimepitia haraka haraka nimeona kifungu cha 8 kinasema kama kuna kesi mahakamani basi inquest haiwezi kufunguliwa hadi kesi iishe. Pengine kwa sasa naweza ku-assume jibu ni hilo, lakini naitafutia muda niisome yote kwa makini.

Bado naomba msaada wa kuelimishwa kuhusu tume kama ile ya Jaji Kipenka Musa. Uundwaji wa tume kama hizi ni utashi binafsi wa Rais ama ni matakwa (obligation) ya kisheria?
 
Mkuu Heshima yako mbele sana,

Mjadala wa watoto wa Tabora umenisaidia sana kuelewa na kubadilika agenda za watu hapa, na kuachana na mijadala ya pua period, kwa sababu behind the scene ninaona mambo mengi sana kuhusiana na ile ishu kwamba ninasikia huruma kuwaomba watu wazima waache kwa hiyo nimenawa mikono, I have no time for that nonesense tena elimu na kuhabarishana that it kwa kiyo kubishana hakuna hapa ila nimeomba mkuu ajaribu kuchambua hoja nilizozitoa.

Nimetoa changamoto ya uchunguzi wangu ambao haujakamilika, na pia nimeamua kutoa hints ya unakokwenda na kuwakumbusha wananchi hapa kua uchunguzi bado unaendeela na hizi ni baadhi ya facts za uchunguzi wangu na kwamba hatujamsahau Wangwe RIP. Sina agenda wala any good au bad motives, lakini ukisoma kwa makini maneno ya Ushirombo, toka mwanzo alipoanza utaona kua anajua something lakini hataki kusema.

Ahsante Mkuu.

Mkuu heshima yako
huyo mbunge mbona hajitokezi kujibu matengenezo ya comp yaliyosababisha to and fro sms.

Hata hivyo uwezakano mkubwa Chacha alikufa kwa ajali ya kawaida.Lakini kama wangenitaka ku fanya uchunguzi kuhusu kifo hicho ningeanza na ZITO na MBOWE kwanini-

1. Kwa hisia za haraka haraka ni kwamba wote hawa wawili walitambua jamaa atauawa hivyo ili kujijengea security ya kimazingira wote wakatoweka nchini ili iwe sababu kuwa hawakuwepo.

2.Ile Zitto kusema kuna watu walikua wanamfuatilia kule kenya na alipokua kenya alipewa sms za matisho ni moja ya kinga ambayo alitaka kuiweka mapema ya kwamba na yeye alikua mlengwa ,hivyo kufa kwa chacha ni matokeo ambayo yeye Zitto wamemkosa na kumpata Chacha yani ya kwamba yeye Zito hauhusika na mpango huo maana na yeye walikua wanamtafuta.Hii tangu mwazoni niliipinga nikasema mtu anaweza jiandikia sms ya kujitisha na akiwakirisha polisi.

3.Kitendo cha Mbowe yaani viongozi wa juu ku mwambia John Mnyika aiandikie polisi mapema mapema kuhusu kufanyike uchunguzi na kifo hicho nacho ni shaka.Mtu ukifiwa mara nyingi hubaki na huzuni,na kubigwa na butwaa Lakini kitendo cha hawa jamaa haraka haraka sidhani hata kama walikua wameshafika eneo la ajali na kuafiki mara moja iandikwe barua hiyo kwa polisi ni moja ya indicator ya kuonesha wana ufahamu wa chanzo wa ajali hiyo.
4.Dereva wa gari anamahusiano na Zitto na Mbowe

5. Ubruptly tu tayari hawa jamaa walikua wameshatambua huyu DEREVA alikwenda Libya kwa mafunzo ya kijasusi.Hii pia inaonyesha kua hawa jamaa walimfahamu DEUSI kwa undani zaidi.Kwanini Deus hana sababu ya yeye kumfahamu ki undani mara moja kama huna mahusiano naye ya karibu.


Hapa sisemi hao Zito na Mbowe ndio wamemu ISRAEL Chacha La!hasha ,Ila kama ni uchunguzi ningeanza na hawa jamaa kwa kuwaangalia kwa jicho la karibu zaidi.
 
Mkuu heshima yako
huyo mbunge mbona hajitokezi kujibu matengenezo ya comp yaliyosababisha to and fro sms.

Hata hivyo uwezakano mkubwa Chacha alikufa kwa ajali ya kawaida.Lakini kama wangenitaka ku fanya uchunguzi kuhusu kifo hicho ningeanza na ZITO na MBOWE kwanini-

1. Kwa hisia za haraka haraka ni kwamba wote hawa wawili walitambua jamaa atauawa hivyo ili kujijengea security ya kimazingira wote wakatoweka nchini ili iwe sababu kuwa hawakuwepo.

2.Ile Zitto kusema kuna watu walikua wanamfuatilia kule kenya na alipokua kenya alipewa sms za matisho ni moja ya kinga ambayo alitaka kuiweka mapema ya kwamba na yeye alikua mlengwa ,hivyo kufa kwa chacha ni matokeo ambayo yeye Zitto wamemkosa na kumpata Chacha yani ya kwamba yeye Zito hauhusika na mpango huo maana na yeye walikua wanamtafuta.Hii tangu mwazoni niliipinga nikasema mtu anaweza jiandikia sms ya kujitisha na akiwakirisha polisi.

3.Kitendo cha Mbowe yaani viongozi wa juu ku mwambia John Mnyika aiandikie polisi mapema mapema kuhusu kufanyike uchunguzi na kifo hicho nacho ni shaka.Mtu ukifiwa mara nyingi hubaki na huzuni,na kubigwa na butwaa Lakini kitendo cha hawa jamaa haraka haraka sidhani hata kama walikua wameshafika eneo la ajali na kuafiki mara moja iandikwe barua hiyo kwa polisi ni moja ya indicator ya kuonesha wana ufahamu wa chanzo wa ajali hiyo.
4.Dereva wa gari anamahusiano na Zitto na Mbowe

5. Ubruptly tu tayari hawa jamaa walikua wameshatambua huyu DEREVA alikwenda Libya kwa mafunzo ya kijasusi.Hii pia inaonyesha kua hawa jamaa walimfahamu DEUSI kwa undani zaidi.Kwanini Deus hana sababu ya yeye kumfahamu ki undani mara moja kama huna mahusiano naye ya karibu.


Hapa sisemi hao Zito na Mbowe ndio wamemu ISRAEL Chacha La!hasha ,Ila kama ni uchunguzi ningeanza na hawa jamaa kwa kuwaangalia kwa jicho la karibu zaidi.

..... "Poti"...

Nimegundua kitu kimoja kwenye posts zako, wewe huna tatizo kwenye matumizi ya R na L kama ambavyo ulikuwa "ukichanganya" hizo herufi kwenye maandishi yako ya nyuma hapa JF ili kuonesha kwamba wewe ni mtu wa Mara au Musoma.

Hii Post yako yote haina makosa (kama zile zako za mwanzoni kabla hujaanza kuongelea habari za Tarime na Mara huku ukidai kuwa wewe ni mkazi wa huko) kwenye matumizi ya R na L.

Kitu kimoja kinaanza kuwa wazi hapa, kwa nini unafanya hivi? Je unadhani kuwa ukichanganya hizo herufi mbili ndio utadhihirika kuwa wewe ni mtu wa Mara? Unadhani watu wa Tarime au Mara ni lazima wawe na matatizo na R au L?

Hii ni hatari!?!?!?!
 
..... "Poti"...

Nimegundua kitu kimoja kwenye posts zako, wewe huna tatizo kwenye matumizi ya R na L kama ambavyo ulikuwa "ukichanganya" hizo herufi kwenye maandishi yako ya nyuma hapa JF ili kuonesha kwamba wewe ni mtu wa Mara au Musoma.

Hii Post yako yote haina makosa (kama zile zako za mwanzoni kabla hujaanza kuongelea habari za Tarime na Mara huku ukidai kuwa wewe ni mkazi wa huko) kwenye matumizi ya R na L.

Kitu kimoja kinaanza kuwa wazi hapa, kwa nini unafanya hivi? Je unadhani kuwa ukichanganya hizo herufi mbili ndio utadhihirika kuwa wewe ni mtu wa Mara? Unadhani watu wa Tarime au Mara ni lazima wawe na matatizo na R au L?

Hii ni hatari!?!?!?!


Magabe,

Mbona unamshikia bango sana huyu Mkamap kwa hizo L na R mie sidhani kama hizo zina umuhimu wowote katika mjadala, umekuwa ukipoint hizi L na R mara kadhaa sasa, mtu yeyote anaweza kupitiwa sehemu ya L akaweka R na vice versa, nafikiri mjadala hapa ungebaki katika issue inayojadiliwa na sio vitu vidogo vidogo kama hivi.
 
..... "Poti"...

Nimegundua kitu kimoja kwenye posts zako, wewe huna tatizo kwenye matumizi ya R na L kama ambavyo ulikuwa "ukichanganya" hizo herufi kwenye maandishi yako ya nyuma hapa JF ili kuonesha kwamba wewe ni mtu wa Mara au Musoma.

Hii Post yako yote haina makosa (kama zile zako za mwanzoni kabla hujaanza kuongelea habari za Tarime na Mara huku ukidai kuwa wewe ni mkazi wa huko) kwenye matumizi ya R na L.

Kitu kimoja kinaanza kuwa wazi hapa, kwa nini unafanya hivi? Je unadhani kuwa ukichanganya hizo herufi mbili ndio utadhihirika kuwa wewe ni mtu wa Mara? Unadhani watu wa Tarime au Mara ni lazima wawe na matatizo na R au L?

Hii ni hatari!?!?!?!

Poti.
Sitaki kujitetea ila angalia fact mkamap amejisajili lini ? na wakati huo kulikuwa kuna motivation gani na mara.

Pili wewe sio mara ya kwanza kuni shambulia ktk herufi hizo uliza kwa fundi mchundo ama mwanakijiji na wakati huo je nilikua najifanya natoka mara ili iweje?

Tatu mimi sio kwamba sikijui kiswahili tatizo langu nimejifunza lugha kibao hivyo nikitulia naandika tu kiswahili poa .Na elimu ya juu sijasoma kwa kiswahili wala ki BBC na lugha niliyotumia ma profesa wao waliniambia kua sisi hatujali grama yako wala nini sisi tunachoangalia ni IDEA gani unayo yani ni nini unachokijua .Kwa hiyo ni katabia tu mkuu mimi hua siangalii sana herufi ila ninachoa angalia zaidi je ujumbe niliokusudia umefika??

Mkuu kuna watu hapa ndio wanajifanya wanatoka Tarime kwa malengo yao binafsi.
 
Magabe,

Mbona unamshikia bango sana huyu Mkamap kwa hizo L na R mie sidhani kama hizo zina umuhimu wowote katika mjadala, umekuwa ukipoint hizi L na R mara kadhaa sasa, mtu yeyote anaweza kupitiwa sehemu ya L akaweka R na vice versa, nafikiri mjadala hapa ungebaki katika issue inayojadiliwa na sio vitu vidogo vidogo kama hivi.

GM,

Ukisoma maandishi ya Mkama kwenye threads tofauti, utagundua kuwa alianza sana "kuchanganya R na L" pale alipoanza kuongelea habari za Mara huku yeye akisema kuwa analeta inside information.

Mtu anayeweka authority kwenye maandishi yake kuhusu kitu fulani, basi yeye anafungua mlango kwa wasomaji kuchunguza na kupima ni kwa jinsi gani maandishi yake yaaminiwe na ukubwa na upana wa authority inayodaiwa na mwandishi.

Mimi ninadhani kuwa Mkama alichanganya hizi herufi kwa makusudi ili kuweka dhana kuwa yeye ni mtu wa Musoma. Maandishi yake hapa yanafanya mimi niamini kuwa yeye hana matatizo na hizi herufi ila anafanya makusudi tu kwa dhamira fulani ambayo bado ninaichunguza.

Kama wewe huoni hilo ni muhimu, basi tafadhali elewa tu kuwa hili kwangu ni muhimu sana. Ikifikia mwishoni ijulikane kuwa Mkama anafeki maandishi yake ili aonekane kuwa ni mtu wa Mara, basi nia yake ya kufanya hivyo itafungua mengi sana kwenye maandishi yake (na nia ya maandishi yake kwa watu wa Mara).
 
Poti.
Sitaki kujitetea ila angalia fact mkamap amejisajili lini ? na wakati huo kulikuwa kuna motivation gani na mara.

Pili wewe sio mara ya kwanza kuni shambulia ktk herufi hizo uliza kwa fundi mchundo ama mwanakijiji na wakati huo je nilikua najifanya natoka mara ili iweje?

Tatu mimi sio kwamba sikijui kiswahili tatizo langu nimejifunza lugha kibao hivyo nikitulia naandika tu kiswahili poa .Na elimu ya juu sijasoma kwa kiswahili wala ki BBC na lugha niliyotumia ma profesa wao waliniambia kua sisi hatujali grama yako wala nini sisi tunachoangalia ni IDEA gani unayo yani ni nini unachokijua .Kwa hiyo ni katabia tu mkuu mimi hua siangalii sana herufi ila ninachoa angalia zaidi je ujumbe niliokusudia umefika??

Mkuu kuna watu hapa ndio wanajifanya wanatoka Tarime kwa malengo yao binafsi.

MkamaP

Kutokana na nilichosoma hapa karibuni na kulinganisha na kile ulichoandika mwanzoni, nimeanza kuamini wewe huna matatizo ya kufikia kuchanganya herufi hizi mbili - R na L

Inaonekana kama unafeki kuwa na matatizo na hizo herufi maana kama kweli hiyo ingekuwa ni case, isingejalisha kama umesoma kwa kingereza au kiswahili. Nachojiuliza hapa ni kuwa, kama unafeki kuwa unatoka Tarime au Mara na hivyo kuongelea mambo ya huko with authority (kama ulivyofanya kwenye post zako za nyuma), sababu ya kufanya hivyo ni nini?
 
GM,

Ukisoma maandishi ya Mkama kwenye threads tofauti, utagundua kuwa alianza sana "kuchanganya R na L" pale alipoanza kuongelea habari za Mara huku yeye akisema kuwa analeta inside information.

Mtu anayeweka authority kwenye maandishi yake kuhusu kitu fulani, basi yeye anafungua mlango kwa wasomaji kuchunguza na kupima ni kwa jinsi gani maandishi yake yaaminiwe na ukubwa na upana wa authority inayodaiwa na mwandishi.

Mimi ninadhani kuwa Mkama alichanganya hizi herufi kwa makusudi ili kuweka dhana kuwa yeye ni mtu wa Musoma. Maandishi yake hapa yanafanya mimi niamini kuwa yeye hana matatizo na hizi herufi ila anafanya makusudi tu kwa dhamira fulani ambayo bado ninaichunguza.

Kama wewe huoni hilo ni muhimu, basi tafadhali elewa tu kuwa hili kwangu ni muhimu sana. Ikifikia mwishoni ijulikane kuwa Mkama anafeki maandishi yake ili aonekane kuwa ni mtu wa Mara, basi nia yake ya kufanya hivyo itafungua mengi sana kwenye maandishi yake (na nia ya maandishi yake kwa watu wa Mara).

Magabe,

Nimekupata, nafikiri mie ntawaachia wewe na Mkamap muendelee mie nilipoona hizi herufi kwangu haikuwa neno sana lakini hapa inaonekana kuna "more than what meets the eye" so mie ntakaa pembeni tu!
 
Mkuu heshima yako
huyo mbunge mbona hajitokezi kujibu matengenezo ya comp yaliyosababisha to and fro sms.

Hata hivyo uwezakano mkubwa Chacha alikufa kwa ajali ya kawaida.Lakini kama wangenitaka ku fanya uchunguzi kuhusu kifo hicho ningeanza na ZITO na MBOWE kwanini-

1. Kwa hisia za haraka haraka ni kwamba wote hawa wawili walitambua jamaa atauawa hivyo ili kujijengea security ya kimazingira wote wakatoweka nchini ili iwe sababu kuwa hawakuwepo.

2.Ile Zitto kusema kuna watu walikua wanamfuatilia kule kenya na alipokua kenya alipewa sms za matisho ni moja ya kinga ambayo alitaka kuiweka mapema ya kwamba na yeye alikua mlengwa ,hivyo kufa kwa chacha ni matokeo ambayo yeye Zitto wamemkosa na kumpata Chacha yani ya kwamba yeye Zito hauhusika na mpango huo maana na yeye walikua wanamtafuta.Hii tangu mwazoni niliipinga nikasema mtu anaweza jiandikia sms ya kujitisha na akiwakirisha polisi.

3.Kitendo cha Mbowe yaani viongozi wa juu ku mwambia John Mnyika aiandikie polisi mapema mapema kuhusu kufanyike uchunguzi na kifo hicho nacho ni shaka.Mtu ukifiwa mara nyingi hubaki na huzuni,na kubigwa na butwaa Lakini kitendo cha hawa jamaa haraka haraka sidhani hata kama walikua wameshafika eneo la ajali na kuafiki mara moja iandikwe barua hiyo kwa polisi ni moja ya indicator ya kuonesha wana ufahamu wa chanzo wa ajali hiyo.
4.Dereva wa gari anamahusiano na Zitto na Mbowe

5. Ubruptly tu tayari hawa jamaa walikua wameshatambua huyu DEREVA alikwenda Libya kwa mafunzo ya kijasusi.Hii pia inaonyesha kua hawa jamaa walimfahamu DEUSI kwa undani zaidi.Kwanini Deus hana sababu ya yeye kumfahamu ki undani mara moja kama huna mahusiano naye ya karibu.


Hapa sisemi hao Zito na Mbowe ndio wamemu ISRAEL Chacha La!hasha ,Ila kama ni uchunguzi ningeanza na hawa jamaa kwa kuwaangalia kwa jicho la karibu zaidi.

Mimi kama ni mchunguzi ningeanza na Mgosi Makamba na ule waraka wake alo usambaza muda mfupi baada ya tukio kwa kutaka jua aliupata wapi na nia yake ya kuusambaza kipindi hicho cha mjonzi ilikuwa nini..and the likes

Pili ningefatia wale makanjanja walo pindisha habari kwa kutaka waeleze kwanini, nani na kwa mlengo yepi? walitoa taarifa tenge juu ya msiba huo!
 
Mawazo yangu tu. Ni kwanini serikali inaridhika kunyamaza kimya licha ya conspiracy theories zote hizi zinazosikika kila kukicha? Hivi wanasheria mlioko humu hebu tusaidieni, kwa sheria za Tanzania, ni nani mwenye mamlaka ya kuitisha "inquest" kinapotokea kifo chenye utata? Kwa mfano raia wa kawaida anaweza kuiomba mahakama iamuru kufanyike inquest? Tumeona huku UK inquest ya kifo cha Princess Diana imefanyika miaka 10 baada ya kifo chake, naweza kusema pengine ilichelewa kufanyika, lakini angalao katika mfululizo wa kesi ile mengi yamesemwa, watu wameelimika, shaka kadhaa zimefutwa ama kuthibitika, na cha muhimu katika mjumuisho imepatikana verdict, na bila shaka wapo ambao imewasaidia angalao kisaikolojia. Kuna nyingine inayoendelea hapa ya yule de Menesez aliyepigwa risasi (kimakosa) na polisi kwa kufananishwa na magaidi wa London bombing (ingekuwa bongo si ajabu ingeishia kama "bwana alitoa nae ametwaa....").

Sasa hii ya Wangwe nauliza, kwa nini wasifungue inquest, mwenye ushahidi akapeleka huko? Au imeshaonekana ndio mtaji wa kisiasa, maana sasa naona huo uchaguzi huko Tarime kwenye kampeni wasipotaja kifo cha Wangwe wanaona hawajafanya kampeni! Ni kubaya sana tunakoelekea, ambako maisha ya mtu yanapewa thamani kidogo namna hii!


Sio Wangwe tu, ni wengi hawajafanyiwa uchunguzi, japo vifo vyao vina utata, namkumbuka Sokoine, sijui yule dereva yuko wapi? hizi issue sometime zina FBI, CIA, ndani yake, kumbuka akina Kwame,Lumumba n.k, My be Wangwe was threat for future! mipango yake na mikakati/sera zake juu ya madini , zingefungua sura mpaya sio TZ tu bali Africa nzima.

RIP wangwe

waberoya
 
MkamaP

Kutokana na nilichosoma hapa karibuni na kulinganisha na kile ulichoandika mwanzoni, nimeanza kuamini wewe huna matatizo ya kufikia kuchanganya herufi hizi mbili - R na L

Inaonekana kama unafeki kuwa na matatizo na hizo herufi maana kama kweli hiyo ingekuwa ni case, isingejalisha kama umesoma kwa kingereza au kiswahili. Nachojiuliza hapa ni kuwa, kama unafeki kuwa unatoka Tarime au Mara na hivyo kuongelea mambo ya huko with authority (kama ulivyofanya kwenye post zako za nyuma), sababu ya kufanya hivyo ni nini?


Najua unafanya makusudi ili kuaminisha kitu fulani waumini wa JF kitu fulani ,nazijua sana hizi tikitaka.

wewe kama hoja yako ni sehemu gani natoka na si nini kinaongelewa basi tuanze kujadili kwa lugha ya hilo jina lugha.

Mimi naanza KAPILACHASUGU JAJI!
 
Hapa sisemi hao Zito na Mbowe ndio wamemu ISRAEL Chacha La!hasha ,Ila kama ni uchunguzi ningeanza na hawa jamaa kwa kuwaangalia kwa jicho la karibu zaidi.

Mkuu wangu Mkamap heshima mbele sana,

Ninaomba kama kweli unataka uchunguzi ulio wa haki na fair, basi uwe muangalifu sana na majina ya watu au viongozi, uchunguzi ninaoufanya ninashirikiana na watu wengi, ambao kila baada ya muda tuna-compare notes tulipofikia,

Hatufanyi huu uchunguzi kwa nia mbaya wala kutafuta mtu uchawi, na hatuna majina tayari ambayo tuliyahukumu mapema, ingawa mwanzoni na sasa bado tunaamini kuwa kazi ile ilifanywa na professionals na hela nyingi sana kutumika, kitu ambacho sio rahisi kufanywa na walio nje ya power, lakini as we go mbele kuna dalili kubwa kuwa kulikuwa na collaboration kati ya viongozi/watu wa pande zote mbili,

Kwetu hakuna kiongozi ambaye anapewa free pass kuwa hahusiki, tunawapitia wote bila kujali chama wala serikali, kusema kuwa kuna kiongozi mwenye SMS, haina maana kwamba ndiye aliyehusika, SMS ni SMS period.

However, ninayasoma maneno yako kwa makini sana na ninyatafakari sana, lakini jaribu kuwa muangalifu kidogo na majina.

Ahsante Mkuu.
 
Najua unafanya makusudi ili kuaminisha kitu fulani waumini wa JF kitu fulani ,nazijua sana hizi tikitaka.

wewe kama hoja yako ni sehemu gani natoka na si nini kinaongelewa basi tuanze kujadili kwa lugha ya hilo jina lugha.

Mimi naanza KAPILACHASUGU JAJI!

MkamaP,

Hakuna tikitaka hapa zaidi tu ya kuweka mambo kwenye perspective yake. Kama wewe ukiandika maandishi hapa kuongelea habari za Tarime huku ukisema kuwa wewe ni mmoja wa wana Tarime na unajua undani wa habari za huko na hivyo kuweka nguvu ya ziada kwenye maandishi yako, basi hayo maandishi yako inabidi yachunguzwe ili kuthibitishwa ukweli au uzito wake.

Ilinitisha kwamba all of the sudden ulianza kuchanganya R na L kwenye maandishi yako hapa (nadhani ili kuonyesha kwamba wewe ni mtu wa Tarime) bila kukumbuka kuwa maandishi yako kabla ya kuanza kuongelea habari za Tarime kwa undani hayakuonyesha mchanganyo kwenye R na L.

Mimi kama mtu niliyezaliwa na kukulia Tarime, ninajua watu wa Tarime wengi sana wasio na matatizo yoyote kwenye herufi hizi mbili (hasa hasa kwenye maandishi yao) na hivyo ikanifanya nifuatilie maandishi yako kwa karibu sana. Kinachoonekana dhahiri sasa ni kuwa, labda unafanya kwa makusudi kabisa kuchanganya R na L wakati unapodai kuwa wewe ni mtu wa Tarime ili kuweka dharau na dhana dhidi ya watu wa Tarime kuwa wana matatizo na matumizi ya hizi herufi mbili.

Katika hili, nimeonesha wazi kabisa kuwa huna tatizo na herufi hizi mbili kama ulivyotaka kuonesha hapa. Maandishi yako pia yameonyesha kuwa huzijui sana habari za Tarime kama vile ulivyoanza kudai mwanzoni.

Kuhusu salamu yako, naomba nikukumbushe kuwa ulichoandika hapo sio hata karibu kidogo ya salamu ya kikurya (na jamii za lugha ya kikurya), kutokana na uzoefu wangu wa kuongea na wenzangu wa upande wa pili wa mto mara wakati nikiwa Mara Sec, hiyo inawezekana kuwa ni salamu ya kijita (i might be wrong), hivyo sijui namna ya kujibu ....ninawasiliana na rafiki yangu Mujara anipe jibu la salamu yako.

Asante
 


Nimetoa changamoto ya uchunguzi wangu ambao haujakamilika, na pia nimeamua kutoa hints ya unakokwenda na kuwakumbusha wananchi hapa kua uchunguzi bado unaendeela na hizi ni baadhi ya facts za uchunguzi wangu na kwamba hatujamsahau Wangwe RIP. Sina agenda wala any good au bad motives, lakini ukisoma kwa makini maneno ya Ushirombo, toka mwanzo alipoanza utaona kua anajua something lakini hataki kusema.

Ahsante Mkuu.


Mkuu, heshima mbele!!

Uchanguzi Tarime umekwisha na mrithi atakaye vaa viatu vya Wangwe amepatikana. Pamoja na kampeni chafu, umwagikaji wa damu isiyo hatima, matumizi makubwa ya nguvu za dola kule Tarime, Mkuu naomba nikukumbushe bado tuliowengi tunasubiria uchunguzi wako madhubuti kuhusiana na Kifo cha Wangwe RIP kama ulivyoanza. Huenda tukapata ufahamu kwa yale tosiyoyajua.

Ushi wa Rombo
 
Mkuu, heshima mbele!!

Uchanguzi Tarime umekwisha na mrithi atakaye vaa viatu vya Wangwe amepatikana. Pamoja na kampeni chafu, umwagikaji wa damu isiyo hatima, matumizi makubwa ya nguvu za dola kule Tarime, Mkuu naomba nikukumbushe bado tuliowengi tunasubiria uchunguzi wako madhubuti kuhusiana na Kifo cha Wangwe RIP kama ulivyoanza. Huenda tukapata ufahamu kwa yale tosiyoyajua.

Ushi wa Rombo

Mkuu heshima yako bro, uchaguzi hauna anything to do na uchunguzi wangu na wa wengine, tunaenda nao pole pole na soon tutaleta more info nilisema kule kua wewe ninajua kuwa unajua mengi sana kuhusu hiki kifo,

lakini hakuna wasi wasi uchunguzi bado unaendealea na haun anyhting to do na huu uchaguzi! Ninashukuru sana kwamba this time arround unasubiri matokeo ya uchunguzi ingawa kule ulisema hutaki matokeo saafi sana bro nimnekusikia!

ahadi yangu ipo pale pale mpaka nione mwisho wa hiki kifo.

Ahsante Mkuu.
 
Mkuu heshima yako bro, uchaguzi hauna anything to do na uchunguzi wangu na wa wengine, tunaenda nao pole pole na soon tutaleta more info nilisema kule kua wewe ninajua kuwa unajua mengi sana kuhusu hiki kifo,

lakini hakuna wasi wasi uchunguzi bado unaendealea na haun anyhting to do na huu uchaguzi! Ninashukuru sana kwamba this time arround unasubiri matokeo ya uchunguzi ingawa kule ulisema hutaki matokeo saafi sana bro nimnekusikia!

ahadi yangu ipo pale pale mpaka nione mwisho wa hiki kifo.

Ahsante Mkuu.

Kuna lolote jipya kwa sasa?

PM
 
Mshitakiwa ajali ya Wangwe ajitetea
• Aupinga ushahidi wa Serikali

na Rahel Chizoza, Dodoma

MFANYABIASHARA, Deus Mallya, anayekabiliwa na kesi ya kusababisha kifo cha Mbunge wa Tarime, Chacha Wangwe, ameupinga ushahidi uliotolewa mahakamani na upande wa mashtaka.

Akitoa utetezi wake jana mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Dodoma, Thomas Simba, Mallya alidai ushahidi uliotolewa mahakamani hapo dhidi yake unakinzana, hali inayomfanya ajione kuwa hana hatia.

Alidai katika mashahidi wote wa upande wa mashitaka, hakuna hata shahidi aliyethibitisha kumuona akiendesha gari wakati ajali inatokea na kueleza kushangazwa na kitendo cha kutoshitakiwa kwa fundi Israel Nyali, ambaye alitoa ushahidi kuwa ndiye aliyetengeneza gari kabla ya safari.

Mallya ambaye alidai kuwa yeye ni mfanyabiashara na mtaalamu wa kutengeneza picha za fulana, kofia, bendera na vitabu, alidai hana utaalamu wa udereva na hajawahi kuomba kazi ya kumwendesha mtu yeyote, hivyo ushahidi uliodai alikuwa akiendesha gari si sahihi.

Alidai ushahidi uliotolewa na shahidi huyo ambaye ni fundi unapaswa kutiliwa mashaka, kwani fundi huyo aliithibitishia mahakama kuwa hana cheti cha ufundi, hajui kama gereji anayofanyia kazi imesajiliwa na hakumbuki alisoma katika chuo gani.

“Mheshimiwa hakimu upo uwezekano kuwa ubovu uliosababisha ajali, ulisababishwa na fundi ambaye hajui hata alisoma wapi? Hivyo nashangaa kushitakiwa peke yangu huku fundi huyo akiwa huru wakati inawezekana kabisa kuwa yeye ndiye aliyesababisha ajali,” alidai Mallya.

Kuhusu shahidi aliyesema kuwa alikuwa wa kwanza kufika katika eneo la ajali na kumtoa marehemu katika gari baada ya kumfungua mkanda, alidai ushahidi huo unaonyesha kuwa Wangwe alikuwa akiendesha gari, kwani shahidi huyo alisema alimfungua mkanda marehemu Wangwe ukiwa umefungwa kutoka kulia kuelekea kushoto.

“Gari la marehemu lilikuwa na usukani upande wa kulia, hivyo shahidi alivyosema marehemu alifungwa na mkanda kutoka kulia kwenda kushoto ina maana yeye ndiye alikuwa kwenye kiti cha udereva,” alidai.

Deus ambaye alionekana kuwa mwenye furaha mahakamani hapo alidai kuwa taarifa iliyotolewa na Mkemia Mkuu wa Serikali imeeleza kuwa mkemia alikiri kupokea boksi lenye vipande vya figo na ini la marehemu kwa ajili ya uchunguzi na kudai kuwa Januari mosi mwaka jana, ajali ilikuwa haijatokea.

Kuhusu ushahidi uliotolewa na mtoto wa marehemu Wangwe, Zakayo Wangwe, ambaye alikuwa shahidi namba moja wa upande wa mashtaka, alisema si wa kweli, kwani hakuwepo eneo la ajali.

Alidai licha ya kutokuwepo katika eneo hilo la tukio, shahidi huyo kwa namna yoyote ile ni lazima atamlinda marehemu Wangwe kwa kuwa ni mzazi wake na hakuweza kuithibitishia mahakama kwa kuonyesha cheti cha daktari kama baba yeke alikuwa mgonjwa kama alivyodai.

Pia Mallya alidai gari walilopata nalo ajali na marehemu Wangwe si mali yake, bali ni mali ya Halfan Bakari, ambaye ni mkazi wa jijini Dar es Salaam, ingawa ushahidi wa polisi ulisema kuwa walipata ajali na gari la marehemu.

Aidha, ushahidi wa picha uliotolewa kupitia ramani iliyochorwa katika eneo la tukio, alidai kuwa unaonyesha kuwepo kwa miti bila makazi, ingawa ilidaiwa mahakamani hapo kuwa eneo ilipotokea ajali hiyo ni eneo la makazi.

Mallya alikiri kufahamiana na marehemu Wangwe tangu mwaka 2005 kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ambapo kwa mara ya kwanza alimtengenezea vipeperushi vya kampeni za uchaguzi vilivyosomeka “Mfahamu Chacha Zakayo Wangwe.”

Alidai urafiki wake na Wangwe ulianzia hapo na kuendelea kumpa kazi mbalimbali ikiwemo kumtengenezea fulana zilizosomeka kwa maneno ya “Changia Jimbo la Tarime kwa maendeleo ya Jimbo.”

Baada ya kumaliza utetezi wake, wakili wa Mallya, Godfrey Wasonga, aliiomba mahakama kupanga tarehe nyingine kwa ajili ya kufanya majumuisho ya kesi na kusubiri siku ya hukumu.

Hakimu Thomas Simba aliahirisha kesi hiyo hadi kesho ambapo watafanya majumuisho ya kesi na kusubiri hukumu.

Ajali hiyo ilitokea Julai 28 mwaka jana katika Kijiji cha Pandambili, wilayani Kongwa, ambapo marehemu Wangwe na Deus Mallya, walikuwa njiani kuelekea jijini Dar es Salaam kwa gari T 865 AMR Toyota Corolla.

Source: Mshitakiwa ajali ya Wangwe ajitetea
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom