William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
acha kubishana mkuu tuletee maishu hayo , mimi nimmoja wao siamini kabisa serikali , ama chama chochote.
Ndiyo wale wanaweza kuwa wamechunguza na uwezo wao wa kuchunguza ndipo ulipokomea hapo na ku cofirm ndivyo sivyo.
Hata madaktri nao sio wa kuamini sana maana nakumbuka pale walipompasua ndg yetu kichwa badala ya mguu na kumpotezea uhai wake.
Anayebaki kuaminiwa kwa asilimia kubwa ni shuhuda.
Na kama kweli huyo mbunge aliandikiana na huyo kijana sms mvua kwa ajili tu ya service ya COMP ni shaka kubwa ina maana walikua wana bagain kwa sms ??
Labda huyo mbunge awe mwanamke hapo sitatia shaka.Lakini kama ni dume kwa dume harafu to and fro sms Duuuu ni kazi.
Harafu wewe si ndio mzee wa GILADI tupe jina la mbunge huyo mkuu.
Mbona nchimbi hutajwa tu waziwazi mkuu?
Mkuu Heshima yako mbele sana,
Mjadala wa watoto wa Tabora umenisaidia sana kuelewa na kubadilika agenda za watu hapa, na kuachana na mijadala ya pua period, kwa sababu behind the scene ninaona mambo mengi sana kuhusiana na ile ishu kwamba ninasikia huruma kuwaomba watu wazima waache kwa hiyo nimenawa mikono, I have no time for that nonesense tena elimu na kuhabarishana that it kwa kiyo kubishana hakuna hapa ila nimeomba mkuu ajaribu kuchambua hoja nilizozitoa.
Nimetoa changamoto ya uchunguzi wangu ambao haujakamilika, na pia nimeamua kutoa hints ya unakokwenda na kuwakumbusha wananchi hapa kua uchunguzi bado unaendeela na hizi ni baadhi ya facts za uchunguzi wangu na kwamba hatujamsahau Wangwe RIP. Sina agenda wala any good au bad motives, lakini ukisoma kwa makini maneno ya Ushirombo, toka mwanzo alipoanza utaona kua anajua something lakini hataki kusema.
Ahsante Mkuu.