USTAADHI
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 1,516
- 136
Nikiwa kwenye msafara wa magari yaliyotoka Dar na viongozi mbalimbali ,wanafamilia wa marehemu mh Regia,na wananchi wengine ingawa na usiku saa 3 kamili tunaingia ifakara kuanzia keepleft mpaka maeneo ya msamaria mwema kituo cha mafuta mji umezizima! Kwa majonzi! Watu ni wengi barabarani akina mama vijana na watoto wanalia kwa kwikwi wengine na wengine wamethubutu kulia na mh mbunge wa jimbo la kilombero ABDUL MTEKETA kuwa amechokoza nyuki!