Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,554
pale c alikuwa anaact tu, kwan action ina uhusiano gan na real life yake?
Huwezi kuigiza kitu ambacho hukijui na wala hakina funzo kwa jamii. Kwa vyovyote alokuwa akiyaigiza ni yale ambayo alikuwa akiyaona katika jamii na kuyafanyia kazi ili jamii ijifunze mazuri na kuyaacha mabaya! Poleni wasanii na poleni wanawake na watoto kwani ndo wapenzi wa mamovie ya kibongo.