Tai Ngwilizi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2010
- 781
- 210
Nimejifunza tena kwamba, maisha ya binadamu ni kama maua leo tunachanua kesho tunaanguka. maisha yetu ni kama mvuke katika upepo au mawimbi ya baharini...we can blossom, we can be great etc but soon or later we will be gone...
kwa hiyo basi nimejifunza, kumtafakari zaidi Muumba wangu anaye nipa fursa ya kuishi duniani kila siku,
Kifo hiki kama vifo vingine kimenipa changamoto ya kumuomba Mungu anifundishe jinsi ya kumpenda Yeye...
kwa hiyo basi nimejifunza, kumtafakari zaidi Muumba wangu anaye nipa fursa ya kuishi duniani kila siku,
Kifo hiki kama vifo vingine kimenipa changamoto ya kumuomba Mungu anifundishe jinsi ya kumpenda Yeye...