Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,815
- 19,939
Inawezekana hukusoma hiyo paper, na kama umesioma basi inawezekena umesoma ukiwa na mindset ambayo inakufanya ushindwe kutafsiri data walizoweka pale. Ugonjwa kuendelea kuevolve ni kitu kimoja kwani kumekuwa na variants mbalimbali za virus hiyo zikijitokeza; hata hivyo variants hizo hazijabadilisha tabia ya jinsi gani mwili wa binadamau unavyorespond.Huelewi kilichoandikwa basi.
Hao madaktari wamesema kwene ripoti yao kwamba hakuna dalili nyingine zozote, na kwamba walichoandika ndicho kichukuliwe kama hitimisho juu ya ugonjwa huo?
COVID-19, bado ina'evolve', hakuna anayejua dalili zote na madhara yote inayosababisha kwa watu wote wanaopata ugonjwa huo.
Kwa hiyo, wewe hapo unakazania maoni ambayo hujui yanazungumzia kitu gani, na unayakomalia kweli kweli kama unavyoonyesha hapa.
Lakini hiyo si ajabu, kwa sababu unajulikana kukomalia mambo ambayo hata hayana msingi wowote, kama ule uwanja wa ndege wa Chato.