Mkuu nimekwambia siyo lazima sababu ijulikane kwa asilimia mia, binadamu siyo Mungu anayejua kila jambo na yale yaliyo sirini.....Ni fumbo kwa kuwa tu kinakuja bila taarifa, ila baada ya hapo ni lazima sababu ijulikane.
Mkuu nimekwambia siyo lazima sababu ijulikane kwa asilimia mia, binadamu siyo Mungu anayejua kila jambo na yale yaliyo sirini.....Ni fumbo kwa kuwa tu kinakuja bila taarifa, ila baada ya hapo ni lazima sababu ijulikane.
Na labda alikuwa na Influence ya namna yoyote na bandari ya Bwagamoyo. Muda ni rafiki mzuri.Duh! Ili wafanye ufisadi wao vizuri, Zama za JK zinarudi kwa kasi ya ajabu, tunawachora tu!!
Ulitaka wakwambie Corona imemuuwa au?.Umesikiliza maelezo ya waziri wake? Najua ugonjwa wake uliokuwa unamsumbua muda.
Ila kilichotokea muda mfupi kabla ya yeye kufariki kitaalam hakina uhusiano wowote na kupanda au kushuka kwa lile tatizo lake.
Sikuandika maoni yangu ila nimekupa taarifa zilizoandikwa na madakatari waliofanya utafiti wa kina kuhusu ugonjwa huu. Ninakubaliana nao kwa sababu hali ilivyokuwa hapa kwetu watu walikufa zaidi ya 6,000 (siyo mji mkubwa sana) lakini walikuwa hawaugui na kufa ghafla tu. Ilifikia kugeuza viwanja vya michezo ya ndani kuwa hospitali za dharura kwa vile mahospitali yalikuwa yamejaa.SAWA.
Mengi uliyoandika ni sahihi. Lakini ushuhuda wako hauna msingi wowote katika kuondoa uwezekano wa COVID-19 kuhusika.
Na hayo uliyoeleza, siyo kwamba ndio sehemu kamilifu ya matatizo yanayoambatana na COVID-19; kwa sababu bado kuna mengi yasiyofahamika juu ya ugonjwa wenyewe; na ukichukulia kwamba siyo wagonjwa wote ni lazima waonyeshe dalili hizo na kwa nyakati hizo ulizotaja wewe.
Ulijua kwamba Mfugale kabla hajafariki hakuwa na baadhi ya dalili hizo, hata kama alikuwa halalamiki juu yake? Siyo watu wote huonyesha dalili hizo ulizotaja kwa ukubwa wa kuwatia hofu na kuanza kutafuta msaada, hasa ukichukulia tabia za watu wengi kujihisi kuwa miili yao ni imara. Wanasubiri hadi hali iwe ngumu zaidi kabla ya kutafuta msaada.
Kinachozungumziwa hapa ni kutojua ni nini hasa kinaweza kuwa kimesababisha au kimechangia kifo cha Mfugale. Ni kazi ndogo sana sasa kupima na kujua kama marehemu alikuwa na COVID-19 au hapana.
Hii ni hatua moja ya kujaribu kutambua sababu za kifo cha ghafla.
Mkuu nimekwambia siyo lazima sababu ijulikane kwa asilimia mia, binadamu siyo Mungu anayejua kila jambo na yale yaliyo sirini.....
Kifo kinapotokea ghafla Post moterm ni jambo la muhimu ili tatizo lililosababisha mauti kwa mhanga liweze kupatiwa ufumbuzi ili isitokee kwa mwingine. "The deads like the living but the living run away from the dead". Matokeo ya post moterm yameleta ufumbuzi kwenye mambo mengi ikiwemo magonjwa na jinsi ya kuyakabili, upangaji wa mauaji na jinsi ya kudhibiti, kuwaondoa watu katika hatia kutokana na kuhusishwa na vifo vya wengine. hii habari ya kuwa mpaka ndugu watake haijakaa sawa kabisa.Mkuu, kwenye matukio ya hao watu, ilithibitika wazi kwamba walipewa sumu?
Ushahidi upo, au niyale yale ya semwayo mitaani?
Sina sababu za kutilia mashaka utaalam wako kama ulivyojieleza hapo juu, lakini swali langu liko wazi kabisa. Naomba ulijibu bila ya wasi wowote.
Kuna kitu hata mimi bado kinanishangaza mimi.
Inakuwaje ndugu wa marehemu wawe wanalalamika tu, huku wakikubali kwenda kumzika ndugu yao kabla ya kujiridhisha kwamba hakufanyiwa mchezo mchafu?
Ninashindwa kabisa kulielewa hili. Sasa wakishazika, wataendelea tena kulalamika?
Kwa kawaida ningetegemea, hata bila ya ndugu kuhimiza:
1. Hospitali wawe wameufanyia postmortem mwili ili kujua chanzo cha mauti yake, matatizo ya moyo, upumuaji ,n.k.; lakini sijui kama haya yalifanyika (itakuwa ni ajabu kama haikufanyika postmortem); na kwa kifo cha ghafla kama hiki, na uwezekano wa uwepo wa mchezo mchafu, ndugu nao wangekaribishwa, au wangeombwa/wangeomba awepo mwakilishi wao katika uchunguzi huo.
2. Sasa hivi, uwepo wa COVID-19, itashangaza sana, kama hapakuwepo vipimo vya COVID-19, ili kujiridhisha kwamba haikuwa sehemu ya matatizo yaliyomsababishia kifo.
3.Sampuli za damu, masalia ya chakula tumboni mwa marehemu, ndugu wangehakikisha sampuli hizo zinachukuliwa na kufanyiwa uchunguzi, chini ya uangalizi wao
Sasa sijui kama yote haya yamefanyika. Kama yamefanyika, basi kama ni sumu kapewa, kuna uwezekano ikajulikana ni sumu gani, halafu huo utakuwa ni mwanzo wa kumtafuta aliyefanya kazi hiyo.
Maelezo yaliyotolewa na wizara kufuatia kifo cha Mfugale yanaacha maswali mengi juu ya kifo chake.
Huelewi kilichoandikwa basi.Sikuandika maoni yangu ila nimekupa taarifa zilizoandikwa na madakatari waliofanya utafiti wa kina kuhusu ugonjwa huu. Ninakubaliana nao kwa sababu hali ilivyokuwa hapa kwetu watu walikufa zaidi ya 6,000 (siyo mji mkubwa sana) lakini walikuwa hawaugui na kufa ghafla tu. Ilifikia kugeuza viwanja vya michezo ya ndani kuwa hospitali za dharura kwa vile mahospitali yalikuwa yamejaa.
Ndio. Mtu analalamika kuwa naumwa wanamwambia kapumzike ofisini badala ya kumkimbiza hospitali. Inatia shaka hata familia wanaposema hata hospitali hawajasema sababu ya kifo. This is very unprofessional kama sio yamepangwa. Waondoe haya mashaka yaliyoonyeshwa na familia ya marehemu.Mkuu, kwenye matukio ya hao watu, ilithibitika wazi kwamba walipewa sumu?
Ushahidi upo, au niyale yale ya semwayo mitaani?
Sina sababu za kutilia mashaka utaalam wako kama ulivyojieleza hapo juu, lakini swali langu liko wazi kabisa. Naomba ulijibu bila ya wasi wowote.
Kuna kitu hata mimi bado kinanishangaza mimi.
Inakuwaje ndugu wa marehemu wawe wanalalamika tu, huku wakikubali kwenda kumzika ndugu yao kabla ya kujiridhisha kwamba hakufanyiwa mchezo mchafu?
Ninashindwa kabisa kulielewa hili. Sasa wakishazika, wataendelea tena kulalamika?
Kwa kawaida ningetegemea, hata bila ya ndugu kuhimiza:
1. Hospitali wawe wameufanyia postmortem mwili ili kujua chanzo cha mauti yake, matatizo ya moyo, upumuaji ,n.k.; lakini sijui kama haya yalifanyika (itakuwa ni ajabu kama haikufanyika postmortem); na kwa kifo cha ghafla kama hiki, na uwezekano wa uwepo wa mchezo mchafu, ndugu nao wangekaribishwa, au wangeombwa/wangeomba awepo mwakilishi wao katika uchunguzi huo.
2. Sasa hivi, uwepo wa COVID-19, itashangaza sana, kama hapakuwepo vipimo vya COVID-19, ili kujiridhisha kwamba haikuwa sehemu ya matatizo yaliyomsababishia kifo.
3.Sampuli za damu, masalia ya chakula tumboni mwa marehemu, ndugu wangehakikisha sampuli hizo zinachukuliwa na kufanyiwa uchunguzi, chini ya uangalizi wao
Sasa sijui kama yote haya yamefanyika. Kama yamefanyika, basi kama ni sumu kapewa, kuna uwezekano ikajulikana ni sumu gani, halafu huo utakuwa ni mwanzo wa kumtafuta aliyefanya kazi hiyo.
Maelezo yaliyotolewa na wizara kufuatia kifo cha Mfugale yanaacha maswali mengi juu ya kifo chake.
HUYO KAFA KWA "MALIPO MARA 2" KWA WAKANDARASI. Acha akasalimiane na mwendazake! wezi wakubwa!Habari wana JF.
Leo nimefuatilia live wakati Eng. Mfugale anaagwa Dar. Kwa maelezo machache ya familia, idara na wizara ni wazi kabisa Eng. Mfugale alipewa sumu.
Wito wangu kwa Serikali ifanye uchunguzi wa kina kwa kutumia vyombo na njia zote. Kwa sababu bado hajazikwa nafasi ya uchunguzi wa kina bado ipo.
Kifo cha Eng. Mfugale kimefanana kabisa na kifo cha Prof. Chachage pale Kibaha kwenye kikao.
Nina sababu nyingi za kwanini nasema hivyo, nachelea ziandika hapa kwa sababu inaweza ishia toa hints zangu (taaluma na kazi yangu). Nimefunzwa vyema maeneo hayayalehayale (sitaki toa codes).
Pia nilifuatilia vyema issues za Prof. Chachage, Dr. Mwakyembe, Dr. Omary A. Juma kwa kutaja wachache.
NB: Pia nipo JF kitambo sana; wauaji au serikali wanaweza kuja na hoja mufilisi ya ugeni wa akaunti yangu. Hii ipo kimkakati na hii ndiyo chapisho langu la kwanza.
Best Regards;
Uviko 19 in 2021.
Hakuna maswali bro. The thing is, the guy was too old to run such a complex Enterprise..Maelezo yaliyotolewa na wizara kufuatia kifo cha Mfugale yanaacha maswali mengi juu ya kifo chake.
Wafe tu hawa hawana faida. Hapo naona wa maana ni Mabeyo tu.Marafiki zake.. Na watu wake wa karibu wataondolewa.. Mobeyo, kabudi, kuwa makini..!
Kwa Mwakyembe jibu ni ndiyo. Wengine sijuiMkuu, kwenye matukio ya hao watu, ilithibitika wazi kwamba walipewa sumu?
Tuacheni uzushi, Afrika vifo vyote ni vya kulishwa sumu, kuuawa na kurogwa! Hakuna kifo cha kawaida! Tuacheni ramli chonganishi, hii siyo sawa kabisa!Habari wana JF.
Leo nimefuatilia live wakati Eng. Mfugale anaagwa Dar. Kwa maelezo machache ya familia, idara na wizara ni wazi kabisa Eng. Mfugale alipewa sumu.
Wito wangu kwa Serikali ifanye uchunguzi wa kina kwa kutumia vyombo na njia zote. Kwa sababu bado hajazikwa nafasi ya uchunguzi wa kina bado ipo.
Kifo cha Eng. Mfugale kimefanana kabisa na kifo cha Prof. Chachage pale Kibaha kwenye kikao.
Nina sababu nyingi za kwanini nasema hivyo, nachelea ziandika hapa kwa sababu inaweza ishia toa hints zangu (taaluma na kazi yangu). Nimefunzwa vyema maeneo hayayalehayale (sitaki toa codes).
Pia nilifuatilia vyema issues za Prof. Chachage, Dr. Mwakyembe, Dr. Omary A. Juma kwa kutaja wachache.
NB: Pia nipo JF kitambo sana; wauaji au serikali wanaweza kuja na hoja mufilisi ya ugeni wa akaunti yangu. Hii ipo kimkakati na hii ndiyo chapisho langu la kwanza.
Best Regards;
Uviko 19 in 2021.