Daraja2
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 285
- 346
Habari waungwana,
Napenda kutoa pole kwa wapenzi wote wa soka ulimwenguni ( hasa familia na klabu yake) kwa kuondokewa na kipenzi chao.
(Mwenyezi mungu ampe pumnziko la milele - RIP).
Kama mdau nimeona Kuna mambo ya kupitia kuona ni changamoto gani walizopitia/wanazopitia "familia" za wachezaji walioondoka (RIP)
1. Mikataba inawajumuisha !? (Kwa namna Moja/nyingine)
Pale wanapopatwa na majanga/kifo ?
2. Wale wa "manual" waliopo mtaani Sasa wananufaikaje na jasho walilotoa kipindi kile kisheria kwani walichezea "sifa".
USHAURI;
1. Wachezaji wote waliotoa jasho la damu kwenye timu ya Taifa na klabu zao imma wapo hai /wametangulia mbele za haki kuangalia namna ya kuwalipa "fidia" hasa wale wa kipindi cha " manual"
2. TFF iangalie namna ya kuwasaidia kupitia Sheria zaidi kuliko busara iliyotumiwa na LIVERPOOL.
Alamsiki.
Napenda kutoa pole kwa wapenzi wote wa soka ulimwenguni ( hasa familia na klabu yake) kwa kuondokewa na kipenzi chao.
(Mwenyezi mungu ampe pumnziko la milele - RIP).
Kama mdau nimeona Kuna mambo ya kupitia kuona ni changamoto gani walizopitia/wanazopitia "familia" za wachezaji walioondoka (RIP)
1. Mikataba inawajumuisha !? (Kwa namna Moja/nyingine)
Pale wanapopatwa na majanga/kifo ?
2. Wale wa "manual" waliopo mtaani Sasa wananufaikaje na jasho walilotoa kipindi kile kisheria kwani walichezea "sifa".
USHAURI;
1. Wachezaji wote waliotoa jasho la damu kwenye timu ya Taifa na klabu zao imma wapo hai /wametangulia mbele za haki kuangalia namna ya kuwalipa "fidia" hasa wale wa kipindi cha " manual"
2. TFF iangalie namna ya kuwasaidia kupitia Sheria zaidi kuliko busara iliyotumiwa na LIVERPOOL.
Alamsiki.