Kifo cha CCM kimetimia

Kifo cha CCM kimetimia

Mleta mada amepofushwa na masikio yake hayasikii tena ndio sababu analinganisha Chanya na Hasi, hajui madhara yake!
 
CCM ni sawa na kanisa katoliki duniani namna lilivyojiwekea mizizi na kuwa na waumini wengi dunia kushinda madhehebu mengine yote!

Kuna wahumbiri mbalimbali wanajitokeza na huwa wana vuma sana ila baada ya muda huwa wanapotea na makanisa yao yanageuka kuwa magofu (white elephant) wakati huo kanisa katoliki linazidi kuimalika na waumini wake wanazidi kuongezeka! Hii inatokana na misingi ya mafundisho yao yanayoendana na uhalisia wake!

Hivyo hivyo kwa CCM ndivyo inavyozidi kuimalika kutokana na chama hicho kuamua kusimamia misingi yake ambao vyama vingine vinazidi kuporomoka kutokana na ubabaishaji na utapeli uliojifisha ndani yake!

Kumbe hata hujui, katoliki lilikuwa na wengi sana na ndo hawa waliounda makanisa ya wokovu, kwa ufupi wengi waliokuwepo wamepungua na wataendelea kupungua.
 
Tulishaamhiwa mara nyingi kuwa CCM ni janga lakini naona tumesahau.
 
CCM ni sawa na kanisa katoliki duniani namna lilivyojiwekea mizizi na kuwa na waumini wengi dunia kushinda madhehebu mengine yote!Kuna wahumbiri mbalimbali wanajitokeza na huwa wana vuma sana ila baada ya muda huwa wanapotea na makanisa yao yanageuka kuwa magofu (white elephant) wakati huo kanisa katoliki linazidi kuimalika na waumini wake wanazidi kuongezeka! Hii inatokana na misingi ya mafundisho yao yanayoendana na uhalisia wake!Hivyo hivyo kwa CCM ndivyo inavyozidi kuimalika kutokana na chama hicho kuamua kusimamia misingi yake ambao vyama vingine vinazidi kuporomoka kutokana na ubabaishaji na utapeli uliojifisha ndani yake!
Huwezi kulinganisha waumini milio 17 WAKATORIKI na wanachama kama milioni mbili na nusu wa CCM
 
Acha kulidhalilisha kanisa na maccm. Ni misingi gani maccm wanayosimamia inayolingana na kanisa. Mmeanza kutugawa wakristu kwa waislam. Sasa mmegeukia ktk kugawa wakristu kwa wakristu. Hatimae mtatugawa waislamm ktk madhehebu ndani yake. Eg shia suni nk. Inshalla. Mungu tunusuru umoja wetu udumu
Itakuwa uwezo wake wa kuelewa ni mdogo kwa kufikiri Pengo ndo Kanisa Katoliki Duniani, kwa hiyo akiunga mkono ufedhuli wa CCM basi Kanisa limeunga mkono hivyo linafanana na CCM.
 
CCM ni sawa na kanisa katoliki duniani namna lilivyojiwekea mizizi na kuwa na waumini wengi dunia kushinda madhehebu mengine yote!

Kuna wahumbiri mbalimbali wanajitokeza na huwa wana vuma sana ila baada ya muda huwa wanapotea na makanisa yao yanageuka kuwa magofu (white elephant) wakati huo kanisa katoliki linazidi kuimalika na waumini wake wanazidi kuongezeka! Hii inatokana na misingi ya mafundisho yao yanayoendana na uhalisia wake!

Hivyo hivyo kwa CCM ndivyo inavyozidi kuimalika kutokana na chama hicho kuamua kusimamia misingi yake ambao vyama vingine vinazidi kuporomoka kutokana na ubabaishaji na utapeli uliojifisha ndani yake!

Sidhani kama wewe ni mkatoliki wewe....
 
watu wengine sijui huwa wanafikiri kwa kutumia nini?kuna uwiano gani kati ya kanisa na chama ,yaani ccm imekosa namna ya kujisafisha hadi inajilinganisha na kanisa
 
CCM ni sawa na kanisa katoliki duniani namna lilivyojiwekea mizizi na kuwa na waumini wengi dunia kushinda madhehebu mengine yote!

Kuna wahumbiri mbalimbali wanajitokeza na huwa wana vuma sana ila baada ya muda huwa wanapotea na makanisa yao yanageuka kuwa magofu (white elephant) wakati huo kanisa katoliki linazidi kuimalika na waumini wake wanazidi kuongezeka! Hii inatokana na misingi ya mafundisho yao yanayoendana na uhalisia wake!

Hivyo hivyo kwa CCM ndivyo inavyozidi kuimalika kutokana na chama hicho kuamua kusimamia misingi yake ambao vyama vingine vinazidi kuporomoka kutokana na ubabaishaji na utapeli uliojifisha ndani yake!

Wakati uchaguzi wa serikali za mitaa unafanyika we ulikuwa nchi gani??.
 
Huoni kazi kubwa anayoifanya kinana na sekretariat yake ya kusimamia na kuikosoa serikali inapojaribu kwenda kinyuma na misingi ya CCM?

anachofanya kinana ni usani wa kutumia elimu ndogo ya watu wa vijijini kuwalaghai. hakuna kingine.
 
Nilikuwa sijakuelewa kabisa mleta uzi, nikajua niyaleyale ya kura za maoni, kumbe ni jinsi Chama chetu kilivyo , mfano wako si mbaya
 
Mafisi kamwe hayawezi kufananishwa na kanisa that's pathetic

kama ni mafisadi wa kufa wapo chadema! chama gani kinakuwa na zaidi ya account 200 ? kazi yao kubwa kusema ovyo wakati menyewe ndo mafisadi ya kufa! shame on you all prochadema!
 
Back
Top Bottom