Kifo cha CCM kimetimia

Kifo cha CCM kimetimia

CCM mizizi yake imeoza ndio maana imepoteza mitaa mingi katika uchaguzi uliopita na si ajabu ikaendelea kupoteza. Takwimu zinaonesha kuanzia mwaka 2000 imeendelea kupoteza viti vya Ubunge.

Hatunywi simu hatujinyongi CCM mbele kwa mbele!
 
CCM ni sawa na kanisa katoliki duniani namna lilivyojiwekea mizizi na kuwa na waumini wengi dunia kushinda madhehebu mengine yote!

Kuna wahumbiri mbalimbali wanajitokeza na huwa wana vuma sana ila baada ya muda huwa wanapotea na makanisa yao yanageuka kuwa magofu (white elephant) wakati huo kanisa katoliki linazidi kuimalika na waumini wake wanazidi kuongezeka! Hii inatokana na misingi ya mafundisho yao yanayoendana na uhalisia wake!

Hivyo hivyo kwa CCM ndivyo inavyozidi kuimalika kutokana na chama hicho kuamua kusimamia misingi yake ambao vyama vingine vinazidi kuporomoka kutokana na ubabaishaji na utapeli uliojifisha ndani yake!

Kama MKATOLIKI naomba jitahidi KUHESHIMU IMANI ZA WENGINE hata kama hupendi.

Kanisa Katoliki haliwezi kamwe na halitaweza kuwa kama CHAMA CHA MAFISADI.Pole sana.
 
Admin kama ambavyo mmekuwa mnatoa Uzi za kijinga na kwa kuheshimu madhebu yote naomba uutoe Uzi huu. Unadhalilisha dini katoliki.
 
CCM ni sawa na kanisa katoliki duniani namna lilivyojiwekea mizizi na kuwa na waumini wengi dunia kushinda madhehebu mengine yote!

Kuna wahumbiri mbalimbali wanajitokeza na huwa wana vuma sana ila baada ya muda huwa wanapotea na makanisa yao yanageuka kuwa magofu (white elephant) wakati huo kanisa katoliki linazidi kuimalika na waumini wake wanazidi kuongezeka! Hii inatokana na misingi ya mafundisho yao yanayoendana na uhalisia wake!

Hivyo hivyo kwa CCM ndivyo inavyozidi kuimalika kutokana na chama hicho kuamua kusimamia misingi yake ambao vyama vingine vinazidi kuporomoka kutokana na ubabaishaji na utapeli uliojifisha ndani yake!

Wewe unakuja na dharau kubwa kwetu waislam nia yako nini?kafiri mkubwa weye
 
Wewe omba radhio yaani unalinganisha kanisa katoliki na ccm,omba radhi ntakuombea ban kwa moderator kama hujatubu hii tusi.
 
CCM ni sawa na kanisa katoliki duniani namna lilivyojiwekea mizizi na kuwa na waumini wengi dunia kushinda madhehebu mengine yote!

Kuna wahumbiri mbalimbali wanajitokeza na huwa wana vuma sana ila baada ya muda huwa wanapotea na makanisa yao yanageuka kuwa magofu (white elephant) wakati huo kanisa katoliki linazidi kuimalika na waumini wake wanazidi kuongezeka! Hii inatokana na misingi ya mafundisho yao yanayoendana na uhalisia wake!

Hivyo hivyo kwa CCM ndivyo inavyozidi kuimalika kutokana na chama hicho kuamua kusimamia misingi yake ambao vyama vingine vinazidi kuporomoka kutokana
 
Kama wewe mleta mada ni mkatoliki na upo ccm. inabidi kanisa likufungie sakramenti
 
Huwezi ukatenganisha maisha ya dini na siasa. Hivi ni vitu vinaenda pamoja. Tusijidanganye. Ndo maana ccm imekosa mwelekeo baada ya viongozi wake kuweka dini pembeni na kuanza kufanya yao, ila wangekuwa na hofu ya mungu serikali na chama chao kisingetufikisha hapa tulipo.
 
Kama kanisa katoliki linafanana na ccm hakuna hata mmoja wao atauona ufalme wa Mungu. Bora waachane na hili kanisa.
 
watanzania tujaribu kupambanua mambo ,si si emu wakiona uchaguzi umekaribia hujipendekeza kweli kwa wananchi hata wakikukuta upo uchi wako tayari na wao Kuvua nguo Ila baada ya uchaguzi hakuna kinana wala ziara,tuwe makini sana mwaka Huu.
 
Back
Top Bottom