Kifo cha CCM kimetimia

nimegundua kitu kuna watu hawapendi ccm ifanye mambo mazuri kwa watanzania raha yao ni kusikia ccm inafanya vibaya! ccm imejisahihisha na watanzania wengi wanaendelea kuiunga mkono! mshindwe wote mnaoichulia ccm!
 
CCM ni sawa na kanisa katoliki duniani namna lilivyojiwekea mizizi na kuwa na waumini wengi dunia kushinda madhehebu mengine yote!

Kuna wahumbiri mbalimbali wanajitokeza na huwa wana vuma sana ila baada ya muda huwa wanapotea na makanisa yao yanageuka kuwa magofu (white elephant) wakati huo kanisa katoliki linazidi kuimalika na waumini wake wanazidi kuongezeka! Hii inatokana na misingi ya mafundisho yao yanayoendana na uhalisia wake!

Hivyo hivyo kwa CCM ndivyo inavyozidi kuimalika kutokana na chama hicho kuamua kusimamia misingi yake ambao vyama vingine vinazidi kuporomoka kutokana na ubabaishaji na utapeli uliojifisha ndani yake!

ukome tena ukome kabisa kulinganisha KANISA KATORIKI na chama chenu cha mafisadi, CCM hamfai kabisa ktk jamii ya watanzania wa sasa wanaoteseka na serikali LEGELEGE inayotokana na chama chenu cha mbogamboga, kafie mbali kabisa!
 
nimegundua kitu kuna watu hawapendi ccm ifanye mambo mazuri kwa watanzania raha yao ni kusikia ccm inafanya vibaya! ccm imejisahihisha na watanzania wengi wanaendelea kuiunga mkono! mshindwe wote mnaoichulia ccm!

toka lini MTAINIWA akajisahihisha? we kweli mburula! kupata mitaa 5 na wenzenu mitaa 37 ndio kuungwa mkono?rudi shule wewe!
 
ukome tena ukome kabisa kulinganisha KANISA KATORIKI na chama chenu cha mafisadi, CCM hamfai kabisa ktk jamii ya watanzania wa sasa wanaoteseka na serikali LEGELEGE inayotokana na chama chenu cha mbogamboga, kafie mbali kabisa!

ukome mwenyewe na saccos yako ya wachaga yenye account zaidi ya 200 .ccm ni chama pendwa cha watanzania wote na mwaka huu mtaona!
 
Usirudie kulinganisha uozo uliojaa ufisadi na uonevu wakinyama usiokuwa na aya mbele za mwanadam na Mungu Baba kwa ujumla na kuulinganisha na maswala ya kiroho hata km ulikuwa na nia nzuri usirudie unaweza ukajikuta unatenda dhambi kwa kutokujua sasa nimekuondolea huo ujinga be aware , kanisa ni watu watakatifu nasio ujinga wa watu na mbinu zao za ulafi ulinganishe na imani za watu. Usirudie pia uchambuzi wako uwe na mipaka.
 
Usirudie kulinganisha uozo uliojaa ufisadi na uonevu wakinyama usiokuwa na aya mbele za mwanadam na Mungu Baba kwa ujumla na kuulinganisha na maswala ya kiroho hata km ulikuwa na nia nzuri usirudie unaweza ukajikuta unatenda dhambi kwa kutokujua sasa nimekuondolea huo ujinga be aware , kanisa ni watu watakatifu nasio ujinga wa watu na mbinu zao za ulafi ulinganishe na imani za watu. Usirudie pia uchambuzi wako uwe na mipaka.

ulitaka niseme chadema ni majizi makubwa!
 
Siwezi kupima IQ ya akili zako ila unavoonekana unamapungufu ktk kufikiri na ndomaana unalinganisha huluka za kibinadamu uchafu na utakaso yaani kiroho!" Heshimu sana imani, baada hapo waweza kujibu kivyovyote !""""
 
Mungu ni Mwema naamini hatatuachia machungu ya namna hii yaendelee kutuathiri yaani kuongoza nchi kwa kuendekeza kushikilia mafisadi, hongo zilizozidi ktk kila kitengo, kuhonga lasiliamali za nchi kwa kuendekeza uhuni na utajiri binafsi, Raisi kuhudhuria safari za nje kwa kuendekeza kuombaomba badala ya kutumia lasiliamali za nchi effectively paspo kuombaomba!! Mungu Baba atusaidie atusamehe madhambi yetu atuangazie kiongozi Mwema mwenye uzalendo na muwajibikaji kwa aliye haki ktk usimamizi!! Karibu Dor. Slaa utukomboe na utumwa tulionao au mwingine yeyote aliye na busara na uzalendo Wa kutosha!! Niungeni mkono wadau tuombe Mungu atusaidie ktk hili!!
 
Umezaliwa na makadirio ya maisha ya Mtz ndio yanayoonyesha umefikia mwisho wa uhai wako ,tulikupenda ila bwana amekupenda zaidi na hatutasahau wala kuwacha kukumbuka ,uzee wako umeiwachia Tanzania maafa ya aina yake na kupigiwa mfano duniani ,ajali zinazowamaliza waTz zimekuwa zikikusindikiza bila ya wewe mwenyewe kujua ,CCM hakuna lisilo na mwisho ,dalili la jina lako CCM (Chukua Chako Mapema) limeshika kasi kwa viongozi walioshika bendera za chama chako wakizidi kuwahi ,wakijua wasipowahi leo kaburini hakuna kitu.

Ondoka kwa salama ,ingawa viashiria vinaonyesha dalili ya kifo chako ,yaani utakufa kwa kupapatika vibaya sana na kukuru kakara zitashinda kishindo cha mwendawazimu wa malaria ,ila vyombo vya dola havitakaa mbali nawe ili usisababishe maafa makubwa ,na vitakuwahi kwa kukufunga kamba za miguu na mikono na hata madaktari watakudunga sindano za kukuvunja nguvu ili ufariki kwa taratibu sana,

Poleni wafiwa,
 
Kumbukeni mwisho wa siku...kichwa kimoja, kura moja...unlike hapa JF kichwa kimoja kinaweza kuwa na ID zaidi ya 10 (mkakati wa Chadema) ili kuonyesha jamii kuwa mmeteka majority ya watanzania. Karibu October...Kichwa kimoja, kura moja!
 
Au kinyume chake..... inaweza kuwa ndo sahii. Najua hupedi uamini hivyo......

Kumbukeni mwisho wa siku...kichwa kimoja, kura moja...unlike hapa JF kichwa kimoja kinaweza kuwa na ID zaidi ya 10 (mkakati wa Chadema) ili kuonyesha jamii kuwa mmeteka majority ya watanzania. Karibu October...Kichwa kimoja, kura moja!
 
Umezaliwa na makadirio ya maisha ya Mtz ndio yanayoonyesha umefikia mwisho wa uhai wako ,tulikupenda ila bwana amekupenda zaidi na hatutasahau wala kuwacha kukumbuka ,uzee wako umeiwachia Tanzania maafa ya aina yake na kupigiwa mfano duniani ,ajali zinazowamaliza waTz zimekuwa zikikusindikiza bila ya wewe mwenyewe kujua ,CCM hakuna lisilo na mwisho ,dalili la jina lako CCM (Chukua Chako Mapema) limeshika kasi kwa viongozi walioshika bendera za chama chako wakizidi kuwahi ,wakijua wasipowahi leo kaburini hakuna kitu.

Ondoka kwa salama ,ingawa viashiria vinaonyesha dalili ya kifo chako ,yaani utakufa kwa kupapatika vibaya sana na kukuru kakara zitashinda kishindo cha mwendawazimu wa malaria ,ila vyombo vya dola havitakaa mbali nawe ili usisababishe maafa makubwa ,na vitakuwahi kwa kukufunga kamba za miguu na mikono na hata madaktari watakudunga sindano za kukuvunja nguvu ili ufariki kwa taratibu sana,

Poleni wafiwa,
Kitabu cha maombolezo kiko lumumba tukapigane vikumbo ku sign?
 
Magesa Mulongo tangu amehama Arusha, mji umetulia tuli yaani kimya kabisa. Tunamuombea mabaya kote aendako na alaaniwe na laana ya mama yake.
 
Kitadumu Chama cha Mapinduzi na kitaendelea kutawala Daima nyie pigeni kelele sie tunauhakika tutashinda tena kwa kishindo.
 
udini
Moja. Kama chadema ni chama cha udini yaani chama cha wakristo basi tunaomba wakristo wote warudi kwenye chama chao na wakipigie kura chama chao kwa misingi ya dini zao. Na kwa maana hiyo mwaka 2015 wakristo wote wakipigie kura chadema.watu hao kama wakina Pinda, Job ndugai, Mkapa, Malecela,Membe,anna makinda na wakristo wengineo

Pili. Kwasababu ndani ya chadema kuna waislamu safi kama Zitto kabwe, Prof. Safari, Mh Arfi, Mh Halima na wengine basi tunaomba waislamu wote wanaowasupport hawa makamanda wawapigie kura na kuuaminisha umma kuwa chadema siyo chama cha udini ndiyo maana kuna waislamu safi ndani ya chama. Hivyo basi mwaka 2015 kuna kundi kubwa la waislamu wanaokisupport chadema na hawaamini hii propaganda za udini watakipigia kura chadema ......

Tatu:
kwa kuwa chama twawala kinang'ang'ania uchaguzi ufanyike siku ambayo Wakristo wanatakiwa kumwabudu Mungu na uwezo wa kubadilisha utaratibu huu uko mikononi mwao lakini hawataki, pia hii ni sababu tosha ya kukitosa chama cha kijani maana hawaambiliki. Christian Forum hii ni nafasi nyingine kutowapa chechemea KURA!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom