Kifo cha CCM kimetimia

Kifo cha CCM kimetimia

Kwa kweli tutawamaliza CCM

Matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa baada ya marudio ya uchaguzi.
1: Sengerema mitaa 21, ccm5,chadema15.
2:Magu mitaa18, ccm4,chadema14.
3: Ilemela, mitaa189, ccm29,cuf3, UDP2,chadema155.
4:Nyamagana mitaa175, ccm32, Chadema142.
5:Busega vijiji32, ccm5,chadema27.
6:Bariadi vijijini, vijiji 49, ccm8,Chadema41.
7:Morogoro mjini, mitaa168, ccm45, Chadema 123.
8:Singida mashariki, vijiji140, ccm22, Chadema118.
9:Musoma mjini, mitaa 179, Ccm 0, Chadema 179.
10:Bunda, vijiji 119, ccm7,chadema 112.
11:Tarime, vijiji116, ccm24,chadema92.
12:Ukerewe, vijiji76, ccm23,Cuf3,Chadema50
 
CCM ni sawa na kanisa katoliki duniani namna lilivyojiwekea mizizi na kuwa na waumini wengi dunia kushinda madhehebu mengine yote!

Kuna wahumbiri mbalimbali wanajitokeza na huwa wana vuma sana ila baada ya muda huwa wanapotea na makanisa yao yanageuka kuwa magofu (white elephant) wakati huo kanisa katoliki linazidi kuimalika na waumini wake wanazidi kuongezeka! Hii inatokana na misingi ya mafundisho yao yanayoendana na uhalisia wake!

Hivyo hivyo kwa CCM ndivyo inavyozidi kuimalika kutokana na chama hicho kuamua kusimamia misingi yake ambao vyama vingine vinazidi kuporomoka kutokana na ubabaishaji na utapeli uliojifisha ndani yake!
 
CCM ni sawa na kanisa katoliki duniani namna lilivyojiwekea mizizi na kuwa na waumini wengi dunia kushinda madhehebu mengine yote!

Kuna wahumbiri mbalimbali wanajitokeza na huwa wana vuma sana ila baada ya muda huwa wanapotea na makanisa yao yanageuka kuwa magofu (white elephant) wakati huo kanisa katoliki linazidi kuimalika na waumini wake wanazidi kuongezeka! Hii inatokana na misingi ya mafundisho yao yanayoendana na uhalisia wake!

Hivyo hivyo kwa CCM ndivyo inavyozidi kuimalika kutokana na chama hicho kuamua kusimamia misingi yake ambao vyama vingine vinazidi kuporomoka kutokana na ubabaishaji na utapeli uliojifisha ndani yake!
Utunzi wa hadithi ya kujitungia kama hii INATUFUNDISHA NINI?
 
Umeshaanza kuchanga dini na siasa. Haiwezekani wakafanana ktk kitu kimoja tu. Pengine umemaanisha kuwa kanisa katoliki pia ni mafisadi, wauaji, walaghai,wanategemea albino kupata uongozi, wachonganishi, waasisi wa udini wanang'oa kucha na meno,wanaanzisha kampuni feki km ile ya lowasa kikwete na rostamu km ccm. Naona hii ni dharau kubwa kwa kanisa.
Uchahuzi s/mitaa umeonesha mizizi halisi ya ccm
 
Acha kulidhalilisha kanisa na maccm. Ni misingi gani maccm wanayosimamia inayolingana na kanisa. Mmeanza kutugawa wakristu kwa waislam. Sasa mmegeukia ktk kugawa wakristu kwa wakristu. Hatimae mtatugawa waislamm ktk madhehebu ndani yake. Eg shia suni nk. Inshalla. Mungu tunusuru umoja wetu udumu
 
Acha kulidhalilisha kanisa na maccm. Ni misingi gani maccm wanayosimamia inayolingana na kanisa. Mmeanza kutugawa wakristu kwa waislam. Sasa mmegeukia ktk kugawa wakristu kwa wakristu. Hatimae mtatugawa waislamm ktk madhehebu ndani yake. Eg shia suni nk. Inshalla. Mungu tunusuru umoja wetu udumu
Huoni kazi kubwa anayoifanya kinana na sekretariat yake ya kusimamia na kuikosoa serikali inapojaribu kwenda kinyuma na misingi ya CCM?
 
CCM ni sawa na kanisa katoliki duniani namna lilivyojiwekea mizizi na kuwa na waumini wengi dunia kushinda madhehebu mengine yote!

Kuna wahumbiri mbalimbali wanajitokeza na huwa wana vuma sana ila baada ya muda huwa wanapotea na makanisa yao yanageuka kuwa magofu (white elephant) wakati huo kanisa katoliki linazidi kuimalika na waumini wake wanazidi kuongezeka! Hii inatokana na misingi ya mafundisho yao yanayoendana na uhalisia wake!

Hivyo hivyo kwa CCM ndivyo inavyozidi kuimalika kutokana na chama hicho kuamua kusimamia misingi yake ambao vyama vingine vinazidi kuporomoka kutokana na ubabaishaji na utapeli uliojifisha ndani yake!

Unaweza kutukana kanisa namna hii!
 
CCM ni sawa na kanisa katoliki duniani namna lilivyojiwekea mizizi na kuwa na waumini wengi dunia kushinda madhehebu mengine yote!

Kuna wahumbiri mbalimbali wanajitokeza na huwa wana vuma sana ila baada ya muda huwa wanapotea na makanisa yao yanageuka kuwa magofu (white elephant) wakati huo kanisa katoliki linazidi kuimalika na waumini wake wanazidi kuongezeka! Hii inatokana na misingi ya mafundisho yao yanayoendana na uhalisia wake!

Hivyo hivyo kwa CCM ndivyo inavyozidi kuimalika kutokana na chama hicho kuamua kusimamia misingi yake ambao vyama vingine vinazidi kuporomoka kutokana na ubabaishaji na utapeli uliojifisha ndani yake!

Misingi gani inasimamia hiyo CCM?!,ni hii ya kifisadi?.Mimi ni mkatoliki,naomba usifaninishe kanisa na genge la wahuni.Ndo maana hata makanisa mbali mbali,likiwemo Katoliki,kuipinga Serikali na CCM jinsi wanavyolazimisha mambo kwa manufaa ya watu wachache badala ya ya maslahi mapana ya taifa.
 
Acha kabisa kufananisha kanisa langu na mambo ya kijinga unajua maana ya katoliki au unasema tu katoliki maana la ulimwengu mzima lisilobakiza sasa na hiyo seseme yako ndo nini
 
Misingi gani inasimamia hiyo CCM?!,ni hii ya kifisadi?.Mimi ni mkatoliki,naomba usifaninishe kanisa na genge la wahuni.Ndo maana hata makanisa mbali mbali,likiwemo Katoliki,kuipinga Serikali na CCM jinsi wanavyolazima mambo kwa manufaa ya watu wachache badala ya ya maslahi mapana ya taifa.

CCM mizizi yake imeoza ndio maana imepoteza mitaa mingi katika uchaguzi uliopita na si ajabu ikaendelea kupoteza. Takwimu zinaonesha kuanzia mwaka 2000 imeendelea kupoteza viti vya Ubunge.
 
Kifananisha Mema kwa mabaya ni najisi tafadhali usifananishe kanisa katoliki na ccm nisawa kufananisha nuru na giza haviendani ccm ni chama cha Mafisadi na kanisa katoliko ni nyumba ya Mungu
 
Huoni kazi kubwa anayoifanya kinana na sekretariat yake ya kusimamia na kuikosoa serikali inapojaribu kwenda kinyuma na misingi ya CCM?


mising ya ccm ni kumjal mkulima na mfanyakazi, je; unaitambua hali ya ufanyaji kaz ya watu hao?

mising ya ccm ni UJAMAA, unaweza ukaniambia bado kuna ujamaa tz?

CCM asil yake ni UJAMAA lakin mwwaka 1990's ililazimika kucheza ngoma ya ubepari, ambao haupo kwenye katiba yao na kujikuta mpaka sasa KUSHINDWA namna ya kuicheza NGOMA hiyo ya UBEPARI.
MISING ya CCM ilishazikwa kwenye azimio la zanzibar mwaka 1992.
 
Mambo ya kanisa yanaingiaje tena kwenye siasa hebu usichanganye dini na siasa.
 
Kuimarika kwa ccm ni kutokana na misingi yake ya kujali matakwa ya watu na kuwatumikia kwa moyo wote.
 
Ni makosa makubwa kulinganisha Kanisa Katoliki na ccm cyo sahihi kabisa naomba tunapoleta hoja tuwe makini kuliko kuwakwaza
 

Attachments

  • IMG-20150324-WA0009.jpg
    IMG-20150324-WA0009.jpg
    54.2 KB · Views: 319
mtoa thread inawezekana unamatatizo ya kisaikolojia na ndio maana unakurupuka tuu!!! hata ndege hakurupuki hivi anapoamka!!
kuwa makini sana..acha kudharilisha kanisa...huwezi fananisha na nyoka wenyemakengeza.
 
Duh! Hii kali ina maana upinzani ni kama akina fullgospel au hiki chetu ni ufufuo na uzima? Hebu dadavua mkuu
 
Back
Top Bottom