WaTZ ndio wenye kauli ya mwisho wa kuimaliza ccm.
CCM yafaa ikae kwanza kwenye upinzani nadhani ikirudi itafanya vema zaidi
Wakati huo huo wajiandae woote waliofisadi hii nchi kwenda segerea na wale wezi wa kuku na waliosingiziwa kesi akiwemo NGUZA wakiachiwa huru kwa furaha siku hiyo haiko mbali yaja!!
Ni lazima iondoke ndo mpango wa watz
Hiyo hali ipo chadema kwa maana sasa imebaki lowasa ndio sera na ilani ya chama mgombea amekuwa akifuatana na walowezi wenzake na wanajinadi kwa jina la lowasa na ukawa neno chadema halisikiki tena lowasa ndiye amebaki kuwa chama hata mashabiki wengi wanamshabikia yeye kama yeye wala si chama tena kwani hakina mvuto tena masikioni mwa watu, kuna hatari ya kupoteza hata wabunge wachache waliopata 2010