Kifo cha CCM kimetimia

Kifo cha CCM kimetimia

Nimefurahi sana jinsi threads zilivyounganishwa, n Dhahiri kwamba ccm ishachokwa kiasi kwamba walitakiwa waelewe hata wao wenyewe.
 
Hakuna mtoto ambaye baba yake alisoma enzi za ukoloni mwenye mawazo ya kijinga kama yako.

zingatia vipindi
usifananishe ukoloni na sasa.ukoloni tuliibiwa waziwazi sasa wanaiba kwa mlango wa nyuma na kubwa mno.mafisadi wamelelewa na ccm sasa yamenenepa kama tembo Ni mda sasa kumpata MTU Wa kuyafinyaaaaaa
 
Ccm ni chama cha kishetani,kiharamia na kichawi. Wakiondoka madarakani itabidi tuhoji vifo vyenye utata kwa watu hawa,Nyerere,sokoine,Mgimwa,Prof.Othman, Balali,Salome Mbatia,Dr.Sekondo Mvungi,Dr.Omary Ali Juma nk
 
Ccm ni chama cha kishetani,kiharamia na kichawi. Wakiondoka madarakani itabidi tuhoji vifo vyenye utata kwa watu hawa,Nyerere,sokoine,Mgimwa,Prof.Othman, Balali,Salome Mbatia,Dr.Sekondo Mvungi,Dr.Omary Ali Juma nk

Mbona chadema ni cha wachaga na ubabe mwingi
 
wakuu tujuzane hapa hv kwa nini CCM inaendelea kuporomoka kila kukicha, wameanguka vibaya kwenye chaguzi za serikali za mitaa,wao kwa wao wanatiana vidole vya macho kisa URAIS ,kila siku wanashutumia kuua albino kama kafara yao,wameishiwa hoja na kubakia wakitegemea vyombo vya dola kama polisi.jwtz. kuendelea kubaki madarakani,ni chama kilichopoteza mvuto kwa watanzania, yaani kinaabudu katika dini ya ufisadi na dhehebu lake kubwa ni escrow, ni chama ambacho kinakufa kibudu. halafu why CHADEMA kinapanda chati haraka na kinapendwa na watu wa kila rika? nawasilisha wakuu
 
Kifo kikitimia hakuna jinsi, wamebana wee mwisho wataachia kiulaiini kabisa.
 
Teh Teh endeleeni kujifariji na kufanya commedy mkifikiri Ikulu ni kama ofisi za ufipa...
Na wahakikishia October mtakimbia mitandao ya kijamii...
 
Miezi ya mwishomwisho kujifariji, endeleeni tu kujifariji baada ya uchaguzi msije tena na swaga zenu za nchi haitatawalika coz hmjui rais ajae kama atakuwa mvumilivu kama JK.
RAIS bora lazima atoke ndani ya CCM
 
Back
Top Bottom