TAWA
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 3,674
- 1,572
Hakuna mtoto ambaye baba yake alisoma enzi za ukoloni mwenye mawazo ya kijinga kama yako.
Wewe ni mtoto siyo ridhki hata baba yako kasomeshwa na ccm
Hakuna mtoto ambaye baba yake alisoma enzi za ukoloni mwenye mawazo ya kijinga kama yako.
Kwa sababu watu wake wana adabu, sasa ninyi mmedekezwa na demokrasia mmejisahau.nchi za Afrika zilizochelewa kupata uhuru na ambazo hazikuwafukuza wakoloni wana maendeleo
Kwa sababu watu wake wana adabu, sasa ninyi mmedekezwa na demokrasia mmejisahau.
Bora mimi ambaye baba yangu alisomeshwa na CCM, kuliko wewe unayethamani kutawaliwa na wakoloni.Wewe ni mtoto siyo ridhki hata baba yako kasomeshwa na ccm
Maneno ya kijinga yanayokutoka ni kwa sababu tu ya demokrasia ungekuwa kwa wakoloni ungekula bakora.Ulivyo mp.umb.avu hata democrasia hitaki. Hii mitoto ya chipukizi shida sana.
Bora mimi ambaye baba yangu alisomeshwa na CCM, kuliko wewe unayethamani kutawaliwa na wakoloni.
Hakuna mkoloni mweusi, labda kama haujui mkoloni ni nani.
Binadamu hamna shukrani, CCM imewatunzia amani sasa mnakunya tu kijinga.Ccm ni shida kubwa kwa watanzania
hakika, bora ukoloni kuloko ccm
Ndiyo maana nimekwambia hujui maana ya ukoloni, hizi propaganda zenu tumezizoea, hao wanaokuja na hizi wenyewe wezi wakubwa, nao ni wakoloni? Zitto si anaongoza kulipwa pesa za bure na mifuko ya hifadhi, MBOWE aliyekuwa karani tu wa Benki alipata wapi pesa za kuitwa tajiri leo? Mkuu haujasema chochote hapo, ufisadi haukuanza leo, leo unasikika kwa sababu ya utawala wa uwazi. Jitambue siyo kufuata ya wanasiasa ambao nao kupitia midomo yao mirefu ni mafisadi wakubwa.wakoloni weusi hwa hapa,ecroe,epa,meremeta,richmond.kagoda bomba la gesi.atcl,madawa ya kulevya etc.kidumu chama chetu
kama vp andamana hayo ndo mawazo yako ccm itapita kwa kishindo mwaka huu
Binadamu hamna shukrani, CCM imewatunzia amani sasa mnakunya tu kijinga.
Inspector anasema kuliko kuzaliwa bongo ni heri kuzaliwa paka ulaya mana utakunywa maziwaMleta mada ni mjinga, anathamani kutawaliwa na mkoloni? Hawa ndiyo wale wanaothamani kuzaliwa mbwa Ugaibuni.
Watanzania wengi wanaaminishwa kuwa kipindi cha ukoloni maisha yalikuwa ni magumu yakiambatana na manyanyaso na vipigo toka Kwa wazungu.
Jana asubuhi nilikaa na baba yangu ambaye alisoma kipindi cha ukoloni mwaka 1958 alinieleza vitu ambavyo sikuamini macho.
1. Alipomaliza darasa la nne alifauru kwenda middle school, lakini lakini baba yake (babu yangu) hakuwa na uwezo Wa kulipia kiasi cha 250|= ambayo ndiyo ilikuwa karo Kwa kipindi hicho.
2. Ilibidi babu aende Kwa DC ambapo alimpeleka Kwa afisa elimu (mzungu) ambaye akamwambia yeye babu alipe 125/= tu na serikali ya kikoloni itamlipia kiasi kilichobaki.
3. Alipoingia middle school, walipewa karibu kila kitu, kama vile sare za Shule, sabuni mche mmoja kila wiki, blanketi na shuka mbili nyeupe, madaftari, kalamu na vingine vyote muhimu.
4. Chakula cha Shule kilikuwa kizuri kuzidi cha nyumbani. Walikula milo minne Kwa siku. Uji baada ya mchakamchaka saa Moja, saa nne chai ya maziwa ya unga na mkate kilo moja, mchana saa saba chakula safi cha mchana chakula cha jioni saa kumi na mbili.
Baada ya kunisimulia yote nikamuuliza swali dogo baba yangu ambaye ni kada Wa ccm, "Kati ya ukoloni na sasa upi ni wakati bora Kwa watanzania?" Akanikodolea macho tu hakunijibu mpaka Leo.
Naunga mkono hoja. ccm ni tatizo