Hivi wewe naye ni GT? Hili jukwaa limevamiwa na vichaa! Ushauri wangu kwako,RUDI SHULE
Anaweza kurudi shule lakini asielimike
Hivi wewe naye ni GT? Hili jukwaa limevamiwa na vichaa! Ushauri wangu kwako,RUDI SHULE
Habari zenu waungwana,
Hakika utawala wa CCM na mafisadi sasa umefika ukingoni na mwaka huu lazima wang'oke madarakani.Ni jukumu letu sisi vijana kuhakikisha kwamba tunakitoa hiki chama cha mafisadi kwa namna yoyote ile.
Kumekua na tatizo la ajira kwa vijana kwa muda mrefu bila kupatiwa ufumbuzi na serikali ya CCM imeendelea kulifumbia macho suala hili.Wamekua wakituhimiza mara kwa mara kwamba tujiajiri wakati watoto zao wanawaweka kwenye sekta nyeti kama BOT,TRA,MALIASILI,BANDARINI na kwingineko kwenye maslahi zaidi.
Watoto wa wakulima wameendelea kuumia kila kukicha.Mfumo wa elimu yetu ni mbovu kiasi kwamba haumuandai kijana kujiajiri pindi anapomaliza masomo yake ya elimu ya juu.Leo hii kijana anamaliza elimu ya chuo kikuu na kukaa mtaani kwa zaidi ya miaka mitano bila ya kupata hata mahala pakujishikiza wakati viongozi wanagawana pesa za ESCROW kwenye viroba na hawachukuliwi hatua zozote za kisheria.
Mimi kama kijana mwenye uchungu na nchi yangu nasema ufisadi baaaas.Huu ndo mwaka wako kijana kujikomboa katika mikono ya wadhalimu.
2015 ndo mwisho wa matatizo.
Pipooooooozz!!!
Ukijuwa nchi ilipata uhuru vipi utaiondoa lakin kama hujui uhuru huu ulivyopatikana ni ndoto.
1957 waloutafuta uhuru ni vijana wkiongozwa na wazee wenye uzalendo, utu, ushujaa, hikima, busara nk.
Nyinyi vijana ukitoka chuo wewe ni kuajiriwa tu. Wazee wetu wao walijiajiri mashambani mwao na madukani mwao na ktk fani tafauti za ufundi.
Maada vijana wa sasa hatutaki wazee na mafanikio kwetu hakuna!!! Ushabiki ni madhara tu hakuna zaidi.
Kwa msaada jaribu kupata picha ya rashid mfaume kawawa, ahmed salim, bibi titi mohammed ama bi lucy lameki ktk miaka 1960 na ......... Uwaone ujana wao ktk kulitumikia taifa hili.
Propaganda za siasa za sasa zitatuangiza eti tunakaa kuitaka serikali ituajri.
Tazama hisabu hii
1: Msingi kila mwaka wangapi
2: Kidato cha nne wangapi
3 kidato cha sita wangapi
4: Chuo kikuu wangapi
5: Wavjiji kuvamia mijini wangapi?
Kilimo, umekenika, useremala, uwashi, umeme, bomba nk zote ni kazi tusichaguwe.
Wapo wanaojifunza lugha tu za kigeni na hawana elimu kubwa za mashuleni wamefanikiwa sababu ya kujituma kujiamini kujikubali na kudhamiria wamefanikiwa sana sana.
Ccm ni shida kubwa kwa watanzania
Ni bora uishi Guantanamo na mateso yake kuliko mateso tunayopata chini ya utawala wa kishetani wa serikali ya CCM
Mleta mada ni mjinga, anathamani kutawaliwa na mkoloni? Hawa ndiyo wale wanaothamani kuzaliwa mbwa Ugaibuni.Acha kulalamika. Wewe ndie mwajili mkuu wa ccm.sasa saa imefika muondoe hafai.tumia kura yako.
Hakuna mkoloni mweusi, labda kama haujui mkoloni ni nani.bora wakoloni weupe kuliko wakoloni weusi