Kifo cha CCM kimetimia

Kifo cha CCM kimetimia

Miezi ya mwishomwisho kujifariji, endeleeni tu kujifariji baada ya uchaguzi msije tena na swaga zenu za nchi haitatawalika coz hmjui rais ajae kama atakuwa mvumilivu kama JK.
RAIS bora lazima atoke ndani ya CCM

mkuu mpaka sasa hv tembo wakiwaona ccm wanajificha
 
wakuu tujuzane hapa hv kwa nini CCM inaendelea kuporomoka kila kukicha, wameanguka vibaya kwenye chaguzi za serikali za mitaa,wao kwa wao wanatiana vidole vya macho kisa URAIS ,kila siku wanashutumia kuua albino kama kafara yao,wameishiwa hoja na kubakia wakitegemea vyombo vya dola kama polisi.jwtz. kuendelea kubaki madarakani,ni chama kilichopoteza mvuto kwa watanzania, yaani kinaabudu katika dini ya ufisadi na dhehebu lake kubwa ni escrow, ni chama ambacho kinakufa kibudu. halafu why CHADEMA kinapanda chati haraka na kinapendwa na watu wa kila rika? nawasilisha wakuu

mkuu kwa sasa ni UKAWA sio CDM, ustake kutuvuruga
 
Teh Teh endeleeni kujifariji na kufanya commedy mkifikiri Ikulu ni kama ofisi za ufipa...
Na wahakikishia October mtakimbia mitandao ya kijamii...

Lakini hawamzidi yule wa sasa alivyofikiri URAIS ni sawa na kijiwe cha KAHAWA,sasa kila siku anakimbia nyumba yake na kuishi angani kama ndege..............
 
Binafsi naunga mkono mtoa hoja kuwa imesemekana Duniani kuwa vyama kongwe vinavyojiona kuwa wenye hatimiliki za nchi na kuanza kutumia vyombo vya dola kukandamiza watu na kuwanyima sauti mara nyingi huonyesha hicho chama kimechokwa na wananchi. Mtindo ambao serikali inayotumia hivi sasa hukataliwa na kila mtu watu huuliwa wakadia haki zao,hutekwa na kuteswa hakuna maamuzi yoyote ya serikali! Watanzania tusirudie kosa mwaka huu tujaribuni kungine CCM bac
 
wakuu tujuzane hapa hv kwa nini CCM inaendelea kuporomoka kila kukicha, wameanguka vibaya kwenye chaguzi za serikali za mitaa,wao kwa wao wanatiana vidole vya macho kisa URAIS ,kila siku wanashutumia kuua albino kama kafara yao,wameishiwa hoja na kubakia wakitegemea vyombo vya dola kama polisi.jwtz. kuendelea kubaki madarakani,ni chama kilichopoteza mvuto kwa watanzania, yaani kinaabudu katika dini ya ufisadi na dhehebu lake kubwa ni escrow, ni chama ambacho kinakufa kibudu. halafu why CHADEMA kinapanda chati haraka na kinapendwa na watu wa kila rika? nawasilisha wakuu

Hujamalizia una ripoti kutoka wapi???
 
Back
Top Bottom