Kitendo cha kuzuia uchaguzi wa marudio kwa kutumia mahakama ni dalili za mwisho za Ccm
Hii ccm imefikia pabaya sasa inaamua kuipa mahakama jukumu la kumchagulia mwananchi kiongozi
Kitendo cha kuzuia uchaguzi wa marudio kwa kutumia mahakama ni dalili za mwisho za Ccm
Uhai wa ccm uko mikononi mwa vyombo vya dolaHadi ccm imefikia hatua ya kukimbilia mahakamani,ni dalili tosha kuwa ccm hawana sera,uwezo wao wa kufikiri umefikia mwisho. Na Mungu ialimtumia Kikwete atawale awamu ya nne ili CCM ifie mikononi mwake. Hakuna ubishi juu ya ccm kuanza kuweweseka katika utawala wake
Bahati yao kama kweli wajificha nyuma ya mahakama jumapili nilijiandaa kwenda kuwakandamiza kwenye box, nawatamani sana. Hilo zuio mwisho wake lini sisi tupo tunasubiri tuwamege hapa mtaani kwetu.[/QUOTE
Tamko lao halijasema ni lini utarudiwa,ila sidhani kama utafanyika kutokana na ccm kuwa na hali mbaya
Bahati yao kama kweli wajificha nyuma ya mahakama jumapili nilijiandaa kwenda kuwakandamiza kwenye box, nawatamani sana. Hilo zuio mwisho wake lini sisi tupo tunasubiri tuwamege hapa mtaani kwetu.[/QUOTE
Tamko lao halijasema ni lini utarudiwa,ila sidhani kama utafanyika kutokana na ccm kuwa na hali mbaya
Huwa nasikia wanasema kinana anajenga chama na kafanikiwa kurudisha imani ya wananchi kwa CCM, hawajamuomba Kinana akae pembeni watafute mwokozi mwingine au wanakomaa na huyu msomali laghai.
Huwa nasikia wanasema kinana anajenga chama na kafanikiwa kurudisha imani ya wananchi kwa CCM, hawajamuomba Kinana akae pembeni watafute mwokozi mwingine au wanakomaa na huyu msomali laghai.
Ccm hata wamlete malaika kamwe hawawezi kuushinda upinzani
CCM ni marehemu mpiga chafya wajinga wanafikiri bado yuko hai.
Miaka nenda miaka rudi CCM inakufa Inakufa, CCM ni kiboko yenu.
Kwani Dola ni ya nani ?Ccm inabebwa na dola, nje ya hapo hakuna ccm kamwe.
Kwani Dola ni ya nani ?
Majina ya chama hicho, Chama cha Mafisadi, Chama cha Magamba, Chama cha Matunguri, na hivi sasa limeongezeka hili la Chama cha Mapingamizi.Hovyo sana hili li Chama
Kwani Dola ni ya nani ?
Majina ya chama hicho, Chama cha Mafisadi, Chama cha Magamba, Chama cha Matunguri, na hivi sasa limeongezeka hili la Chama cha Mapingamizi.
Kwa namna trend invyoenekana, ule utabiri ambao ulikuwa ukitolewa na Wassira na Nape kuwa Chadema itakufa kabla ya mwaka 2015, ni dhahiri sasa kuwa utabiri huo unaelekea kwenda vice versa na ni muujiza pekee uliobaki unaoweza kuivusha CCM mwaka 2015!
Kwa kuwa it is obvious, kuwa Chama hicho cha Magamba kinaelekea kuzikwa rasmi mwaka 2015, na kitabaki katika vitabu vya historia, kuwa kulikuwa na kipindi ambapo TZ 'iliwahi' kuwa na chama kilichokuwa kinaitwa CCM, kama ambavyo ilivyotokea Kenya, chama cha KANU kilivyoingia kwenye vitabu vya historia na huko Zambia chama cha UNIP!