bora mchawi kuliko mnafiki hakuna chama duniani chenye watu walafi ,wabinafsi;wakabila ;wadini na wahuni wakubwa kama ccmWapinzani wenyewe wameshindwa kujiimarisha kwa sababu ya tabia zao za ulafi, ubinafsi, ukabila na udini.
huyu amelewa kiroba siyo akili yake ni wa kusamehe bure tuu ccm inatumia vijana wajinga kama huyu kama kondomu hakuna kijana anayejitambua yupo ccmiangushwe na UKAWA wanaozomea???
hakuna mwananchi anaetaka fujo
hawa ni ccm ni vipofu na viziwi hawajifunzi hata kwa majirani zao kenya ccm imesharikabia kufa ukawa ni sumu ya kuuwa ccm pamoja na vibaraka wake woteHata KANU bado WaPo imara mpaka Leo
Acha kufananisha kifo na usingizi. Upinzani wa Tanzania bado hauko imara kama ule wa jirani zetu ulioiondosha KANU.
Watanzania walio wengi bado wana imani kubwa na CCM.[/QUOTE endelea kujifariji tu muda ukifika ccm hawataamini kama wameshindwa bado ccm wana ndoto za kuendelea kutawala poleni sana
Hakuna cha kuingusha CCM miaka ya hivi karibuni. Chama cha mapinduzi bado kiko imara!
Huu mzozo wa mchakato wa katiba mpya na BMK ndo itaiangusha CCM
Mawazo yako mkuu, chama kitaendelea kutetea wananchi kwa miaka mingi ijayo.
Ni mwendawazimu tu ndiye anaweza kushabikia CCM nyakati kama hizi..
Kabisa mkuu.
Kwa mtelemko ulivyo mkali nimegundua mshauri mkuu wa JK ni yule KILAZA wa karne LUKUVi no luJIVIKadri siku zinavykwenda naona dalili zote za CCM kuanguka. Hakuna atakayeweza kuiokoa chama hiki kongwe. Naona anguko hilo litatokea ndani ya miaka kumi na tano (15). Watakaokingusha CCM ni wana CCM wenyewe, si vyama vya upinzani.
Zifuatazo ni dalili ya kuanguka kwa CCM
1. Upendo kati ya wanachama umekwisha, ni ugomvi usiokwisha ( Sitta camp Vs Rostam camp)
2. Fedha ni kipaumbele siyo Sera au hoja.
3. Wasemaji wa chama ni wapayukaji ( makamba, Hiza Tambwe, Sofia simba)
4. Wazee wenye busara wamesusa chama ( Warioba, Salim, Butiku, Sumaye)
5. Familia ya viongozi wamekiteka chama ( Makamba's, JK's, )
6. Kampeni zimebadilika kuwa concert ( wanamuziki kibao)
7. Kununua wapinzani
8. Kukataa midahalo ( mchakato majimboni- TBC)
9. Ahadi nyingi wakati huu wakati za mwaka 2005 hazijatekelezwa ( Mikopo ya wanafunzi maisha bora kwa kila mtz n.k)
10. Chama kujadili issue binafsi zaidi badala ya maslahi ya wananchi.
CCM kwa sasa ina uwoga sana kuliko cha chama chochote hapa nchini. Wanaelewa wanakoelekea.
Kwa mtelemko ulivyo mkali nimegundua mshauri mkuu wa JK ni yule KILAZA wa karne LUKUVi no luJIVI
Dhambi ya uchakachuzi wa rasimu ya katiba hautaiacha ccm salama! Ubabe wa Wasiraa na Lukuvi hautawapeleka mbali. Walipoteza muda kwa ujadili upuuzi bmk, wakamalizia na kuongeza kifungu cha kuwalinda kwenye kanuni. Hilo halitoshi wanataka waende wamalizie hizo siku 60 wakombeleze pesa zilizosalia azina.
Tatizo so wazungumzaji wa CCM tatizo kubwa liko katika ushabiki wa watu NaWana jf
Kwa mtazamo wa haraka haraka, nimefuatilia midahalo mawili juu ya mchakato wa katiba. Mdahalo ulioandaliwa na Rosemary Mwakitwange last weekend pale Serena hotel na mdahalo ulioandaliwa na chama cha wanasheria Tanganyika. Wakati midahlo hii ikiendelea utaona kabisa mihemuko na jazba za washiriki juu ya chama tawala. Hata pale washiriki toka chama tawala wanapopata nafasi ya kuzungumza hujikuta kwenye wakati mgumu. Tulimshuhudia mh. Wasira akipata wakati mgumu kila alipojaribu kujibu au kutetea hoja, leo pia tumeshudia baadhi ya wawakilishi wa ccm wakipata wakati mgumu. Hizi ni dalili mbaya kwa watawala, ni vyema sasa wakasoma alama za nyakati waache kufanya shingo zao ngumu.
CCM ni sikio la kufa,nyie mabuku saba tafuteni kazi mapema