The Worshiper
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 302
- 89
Wamejivua magamba wameshindwa yamekwamia kiunoni sasa tunayamalizia.
Utasubiri sana tu!
mtasubir sana na UKAWA wenu
Ni kweli mkuu mwigulu alikuwapo akakauka.Nakuunga mkono 100%. Mimi nilikuwepo kwenye mdahalo wa leo pale Blue Pearl Ubungo kimsingi hali ilikuwa tete sana kwa wanaccm. Nilichoshuhudia ni kwamba the majority ya waliohudhuria hawakutaka kbs kusikia chochote kinachojadiriwa nje ya Rasimu ya pili (maoni ya wananchi) yaani km vile serikali mbili. Ndiyo maana wanaccm wengI waliposoma upepo huo waliamua kuficha utambulisho wao pamoja na kutochangia kbs.
Hakuna cha kuingusha CCM miaka ya hivi karibuni. Chama cha mapinduzi bado kiko imara!
Hata KANU bado WaPo imara mpaka Leo
Endelea kujiaminisha hivyo kama hao wakuu wa chama chenu wanavyojiaminisha. Upepo wa kisiasa kwa sasa unavuma kivingine kabisa. Hasa hili suala la katiba linaweza kuwanyongea mbali kabisa. Nilitegemea mdau kama wewe ungekua mstari wa mbele kuwashauri wakuu wa chama chenu kupima upepo unavyobadirika lakini matokeo yake na wewe unapotezea kama wao. Au mkuu ushagua pa kuahamia?Acha kufananisha kifo na usingizi. Upinzani wa Tanzania bado hauko imara kama ule wa jirani zetu ulioiondosha KANU.
Watanzania walio wengi bado wana imani kubwa na CCM.
iangushwe na UKAWA wanaozomea???
hakuna mwananchi anaetaka fujo
Acha kufananisha kifo na usingizi. Upinzani wa Tanzania bado hauko imara kama ule wa jirani zetu ulioiondosha KANU.
Watanzania walio wengi bado wana imani kubwa na CCM.
Msalani hivi uwa unafikiria kabla ya kujibu au uwa unakurupuka tu?Hivi nani anayefanya upinzania wa Tanzania usiwe imara?
Wapinzani wenyewe wameshindwa kujiimarisha kwa sababu ya tabia zao za ulafi, ubinafsi, ukabila na udini.