Kifo cha CCM kimetimia

Kifo cha CCM kimetimia

Hiki chama kimepoteza uhalali wa kuwepo madarakani na hakifai tena kupewa dola. Zifuatazo ni sababu kuu ambazo chama chenyewe,wapinzani wake na wananchi wanapaswa kuzingatia na kuona mbadala wake haraka.

1.kinapendwa mno na wananchi, yaani hadi inakera. Kuna wafia chama na hawa ndio wengi kweli kweli.
2.sera zake zinatekelezeka kwa vitendo.
3. Kuna demokrasia pana mno ndani ya chama,mwanachama akikosea anashughulikiwa ipasavyo ndani ya vikao halali vyama chama,anapewa uhuru wa kujieleza,anasikilizwa then hatuanstahiki zinachukuliwa, tofauti na vyama vingine.
4.kiko karibu mno na wananchi, kipo tayari kusikiliza kero zao na kuzifanyia kaZi kwa maana yankuzitatua kwa wakati
5. Ni chama shirikishi, hakuna maamuzi yanayofanywa bila kuwashirikisha wanachama wake.
6. Hakuna Udikteta,ubabe na umimi tofauti na vyama vingine.

my take: zero fifteen sio mbali, tutaking'oa haraka madarakani, tunataka mbadala wake hivi sasa.tumechoka

Mtaji wake ukiwa ni u.pu.mba.vu wa Watanzania
 
Chama ambacho viongozi wake hawaaminiani , mnakumbuka isue ya Mwakambe walivyotaka kumchuna ngozi aliponea chupuchupu maskin had natural colour ya ngozi yake imepotea.
 
Wana jf
Kwa mtazamo wa haraka haraka, nimefuatilia midahalo mawili juu ya mchakato wa katiba. Mdahalo ulioandaliwa na Rosemary Mwakitwange last weekend pale Serena hotel na mdahalo ulioandaliwa na chama cha wanasheria Tanganyika. Wakati midahlo hii ikiendelea utaona kabisa mihemuko na jazba za washiriki juu ya chama tawala. Hata pale washiriki toka chama tawala wanapopata nafasi ya kuzungumza hujikuta kwenye wakati mgumu. Tulimshuhudia mh. Wasira akipata wakati mgumu kila alipojaribu kujibu au kutetea hoja, leo pia tumeshudia baadhi ya wawakilishi wa ccm wakipata wakati mgumu. Hizi ni dalili mbaya kwa watawala, ni vyema sasa wakasoma alama za nyakati waache kufanya shingo zao ngumu.
 
Its a matter of time CCM itakuwa chini coz wengi wanafuata mkumbo hawana maamuzi kabisa
 
Umechelewa kujua mkuu,naionea huruma misukule ya lumumba,itakula wapi?
 
Nakuunga mkono 100%. Mimi nilikuwepo kwenye mdahalo wa leo pale Blue Pearl Ubungo kimsingi hali ilikuwa tete sana kwa wanaccm. Nilichoshuhudia ni kwamba the majority ya waliohudhuria hawakutaka kbs kusikia chochote kinachojadiriwa nje ya Rasimu ya pili (maoni ya wananchi) yaani km vile serikali mbili. Ndiyo maana wanaccm wengI waliposoma upepo huo waliamua kuficha utambulisho wao pamoja na kutochangia kbs.
 
Wana jf
Kwa mtazamo wa haraka haraka, nimefuatilia midahalo mawili juu ya mchakato wa katiba. Mdahalo ulioandaliwa na Rosemary Mwakitwange last weekend pale Serena hotel na mdahalo ulioandaliwa na chama cha wanasheria Tanganyika. Wakati midahlo hii ikiendelea utaona kabisa mihemuko na jazba za washiriki juu ya chama tawala. Hata pale washiriki toka chama tawala wanapopata nafasi ya kuzungumza hujikuta kwenye wakati mgumu. Tulimshuhudia mh. Wasira akipata wakati mgumu kila alipojaribu kujibu au kutetea hoja, leo pia tumeshudia baadhi ya wawakilishi wa ccm wakipata wakati mgumu. Hizi ni dalili mbaya kwa watawala, ni vyema sasa wakasoma alama za nyakati waache kufanya shingo zao ngumu.

Wamewatukana watumishi wa Mungu!! Ask. Kakobe akatamka laana.Pole yao!!
 
Maombi yangu mie 2015 kiwe chama kikuu cha upinzani tu ili nacho kije kiunde ukawa na vyama vya kina cheyo na mrema
 
Mabadiliko hakuna wakuyazuia mwishoni mwa mwaka huu ndiyo wengi wataikana tena kwakulaani kama Petro usiku ule wa kukamatwa Yesu......
 
Kweli nimeamini kuwa baadhi ya wanajamvi uelewa wao upo mbali sana. Sababu hivi kweli kuna chama kinaitwa au kitaitwa UKAWA. Na kama kitakuwepo nani? Atakubali chama chake kisiingie ikulu lipumba atakubaliwa na chama chake asiwe mgombea wa nafasi ya uraisi. Labda Nccr maana ndiyo wale wale. Ni uongozi wa chama gani uliokaaa na wanachama wake wakaidhinishwa kujiunga pamoja kwa hivyo vyama.
 
Hii nchi itanuka sio muda wenye pesa ngoja tukimbie mapemaaa!!! mi sipo kokote
 
Back
Top Bottom