Kifo cha CCM kimetimia

Kifo cha CCM kimetimia

Ccm haiwezi kufa kwasababu watushika akili wala hatufurukuti.
Na ukitaka kuhakikisha subiri 2015 dec.
 
Hiki chama kimepoteza uhalali wa kuwepo madarakani na hakifai tena kupewa dola. Zifuatazo ni sababu kuu ambazo chama chenyewe,wapinzani wake na wananchi wanapaswa kuzingatia na kuona mbadala wake haraka.

1.kinapendwa mno na wananchi, yaani hadi inakera. Kuna wafia chama na hawa ndio wengi kweli kweli.
2.sera zake zinatekelezeka kwa vitendo.
3. Kuna demokrasia pana mno ndani ya chama, mwanachama akikosea anashughulikiwa ipasavyo ndani ya vikao halali vyama chama, anapewa uhuru wa kujieleza, anasikilizwa then hatua stahiki zinachukuliwa, tofauti na vyama vingine.
4.kiko karibu mno na wananchi, kipo tayari kusikiliza kero zao na kuzifanyia kaZi kwa maana yankuzitatua kwa wakati
5. Ni chama shirikishi, hakuna maamuzi yanayofanywa bila kuwashirikisha wanachama wake.
6. Hakuna Udikteta, ubabe na umimi tofauti na vyama vingine.

my take: zero fifteen sio mbali, tutaking'oa haraka madarakani, tunataka mbadala wake hivi sasa. tumechoka
 
Kina Mwenyekiti anayesikiliza mawazo ya kila mmoja kabla ya kuamua hadi inakera
 
1405663102364.jpg
 
Hiki chama kimepoteza uhalali wa kuwepo madarakani na hakifai tena kupewa dola. Zifuatazo ni sababu kuu ambazo chama chenyewe,wapinzani wake na wananchi wanapaswa kuzingatia na kuona mbadala wake haraka.

1.kinapendwa mno na wananchi, yaani hadi inakera. Kuna wafia chama na hawa ndio wengi kweli kweli.
2.sera zake zinatekelezeka kwa vitendo.
3. Kuna demokrasia pana mno ndani ya chama,mwanachama akikosea anashughulikiwa ipasavyo ndani ya vikao halali vyama chama,anapewa uhuru wa kujieleza,anasikilizwa then hatuanstahiki zinachukuliwa, tofauti na vyama vingine.
4.kiko karibu mno na wananchi, kipo tayari kusikiliza kero zao na kuzifanyia kaZi kwa maana yankuzitatua kwa wakati
5. Ni chama shirikishi, hakuna maamuzi yanayofanywa bila kuwashirikisha wanachama wake.
6. Hakuna Udikteta,ubabe na umimi tofauti na vyama vingine.

my take: zero fifteen sio mbali, tutaking'oa haraka madarakani, tunataka mbadala wake hivi sasa.tumechoka

Wamiliki ni familia za Karume,Kawawa,Nnauye,Mwinyi,Kikwete,Malima,Nyerere bila kusahau jumuia yake kuu Bakwata inayotumika kuwapumbaza waislam wasiwe na Hospital wala University huku bara na kuwakumbatia magaidi Mwegulu na Majangili Kinane
 
Chama ambacho kinamiradi yake yeyewe mfano kuvuna pembe za ndovu , kuiba fedha na kuzificha nje ya nchi
 
Back
Top Bottom