Kifo cha CCM kimetimia

Kifo cha CCM kimetimia

Muhongo akili zafundi hazijamtoka...wapuuzi tuu ndio watamlinganisha na Mengi anayewaza kuajiri watu..Muhongo anawaza kuajiriwa ndio maana andhani veyeti vyake vinaweza msaidia jibu real life issues...ni kufananisha fikra za mtu aliyepo ktk interview na fikra za mwajiri /mwekezaji /mpanga mikakati/fundriser/angel /venture capitalist etc ktk Boardroom.Mbaya zaidi huyu Kibarua ndio awapangie VC?Ndio nilipozidi wadharau watz

Kaolewe na Mengi basi
 
Kaolewe na Mengi basi
Ndio ume give up ndoto zako..?Kweli watu pori shida..ni km mengi alipokuwa akijibizana na mhongo kumuelimisha kumbe mwenzio alikuwa KISIKIA KM VILE MENGI ALIKUWA KAITAKA UWAZIRI WAKE,NDIPO AKAANZA JITETEA KWA TAALUMA YAKE.Naona na wewe tunangea vitu tofauti sana....wewe ...Unalilia kuolewa unadhani na wengine wanongelea kuolewa.Pole sana...jitume tuu km ndio ndoto yako..ila ujue sodomy ni laana..na sidhani km utapata mteja kirahisi hivyo.
 
Ndugu kada jifunze kwanza kuandika, inaonekana hukupitia IMLA
Next time ukipata Malaria iambie kuwa ijifunze kuandika kwanza,na inaonekana haikupitia IMLA.Ninachowafanya hapa ni kama mdudu wa malaria ktk spinal cord....nipo ktk uti wa mgongo na kichwani mwako.
 
Km CCM wangajua nyumba yao ni km kichuguu cha mchanga ukianza kidogo pale juu kushuka ukifika chini unakuwa umeangusha sehemu kubwa ya Nyumba..CCM wajue kuwa nyumba yao ina cracks za kutosha, ina uzito mkubwa sana wa kutoaminiana, una mapambano mengi sana..na kilichobaki ni km mlima uliocheheni SNOW iliyojishika ktk mawe dhaifu,iliyojishika na kinachosubiriwa ni kipanda kuanza,kinachosubiriwa ni hata ndege au upepo kukanyaka shemu ndogo,au jua kidogo pale kileleni...na Baadae Ku trigger chain of events na kupekekea CCM kuanguka vibaya........NILIFIKIRI CCM HATA WANGEKUWA NA HOFU LINI ITATOKEA HII AVALANCHE..ili wajaribu hata okoa vichache wanavyoweza kwani kuizia avalanche ni ngumu...Tayari makada wa CCM wengi si sehemu ya CCM ..mfano ni mawaziri waliotolewa kipindi hiki ...ni wabunge waliopigwa chini na caucuses za CCM na watakaotemwa baadae.....na watu wanaoona nafasi zao za kugombea urais zinaminywa kihuni..na wale watakaotemwa kihuni ktk mkusanyiko wao pale Dodoma.
 
Ukiona mtu yupo ccm jua anahisi kuteuli cku moja(uchu wa madaraka)timamu hawezi kua ccm hata kidogo
 
Mukuje kuniitaga .ccm bila hii kitu hamumutoi
 

Attachments

  • 1402371341834.jpg
    1402371341834.jpg
    7.6 KB · Views: 636
Unavaa G-string size gani nikununulie?
sikuelewi unamaanisha nini wewe houseboy. au siku hizi nyie mahouseboy mnavaa hizo nguo? punguza kukaa jikoni na mama mwenye nyumba. unaokota maneno wanayoongea bila kujua maana yake na kuja kuyapost humu. aibu.
 
"CCM ni janga la taifa la Tanzania, ni zaidi ya ukoma, wajukuu na vitukuu vyetu watatulaani kwa kuendelea kuitumikia"
 
In my opinions, I suggest that"ccm should take all opposition parliamentry point 'n works with it, this may help them win majority dissapointed hearts and as a catalyst of dissolving OPOSITION power just like china//opposition part of china has the work of correcting the leading part 'n not leading the country || sio lazima kufanya kama zambia au malawi ni CCM TU IWE SIKIVU YATOSHA mr.broken again!
 
in my opinions, I suggest that"ccm should take all opposition parliamentry point 'n works with it, this may help them win majority dissapointed hearts and as a catalyst of dissolving OPOSITION power just like china//opposition part of china has the work of correcting the leading part 'n not leading the country || sio lazima kufanya kama zambia au malawi ni CCM TU IWE SIKIVU YATOSHA mr.broken again!

Kwa nchi yetu ccm haifai,maana viongozi wote ni watu wabinafsi wasiowajali wananchi,kazi yao ni kujilimbikizia mali tu na kufuja raslimali za nchi kwa faida yao pekee yao.nchi yetu ni tajiri sana lakini utajiri huu una manufaa kwa watu wachache tu,kwahiyo usilinganishe nchi hii na china yenye utawala mzuri wa sheria
 
in my opinions, I suggest that"ccm should take all opposition parliamentry point 'n works with it, this may help them win majority dissapointed hearts and as a catalyst of dissolving OPOSITION power just like china//opposition part of china has the work of correcting the leading part 'n not leading the country || sio lazima kufanya kama zambia au malawi ni CCM TU IWE SIKIVU YATOSHA mr.broken again!
niqqas hoe,ungetumia kiswahili ingenoga zaidi!
 
Last edited by a moderator:
niqqas hoe,ungetumia kiswahili ingenoga zaidi!
nitajuwaje kwa kukaa kimya na kuogopa ndg! CCM MUST CHANGE HIS PHILOSOPHY FOR NOW URGENTLY HOJA ZOTE NZURI NA ZENYE MANUFAA KWA TAIFA,"ZICHUKULIWE no matter niza cdm,cuf au nccr~mageuzi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom