Kifo cha CCM kimetimia

Kifo cha CCM kimetimia

Hizi ndio nyimbo za walevi. Na mkae mkijua dua LA kuku......pia kwa hoja zenu ni kweli mnatapatapa chagadema
 
ushirika wa kimaslahi utaendelea kuidumisha CCM milele...wapo kimaslahi zaidi...
 
Naona huelewi kuwa Waislaam tunakipenda kifo kama wewe unavyoyapenda maisha. Hapa transit tu, destination ni huko.

Mbona hakujiua? Akahamasisha wakristo wauwawe? Vita vyetu si vya damu na nyama...
 
Kama kanuni za uumbaji zilivyo dhahiri kuwa kuna kuzaliwa kukua kushamiri na kisha kuzeeka na kufa ndivyo inavyoonekana kwa chama cha mapinduzi ambacho misingi ya kuanzishwa kwake ni kuwa mtetezi wa wakulima nabwafanya kazi lakini kwa hali ilivyo sasa CCM kimekuwa ni chama kinakumbatia na kusimamia sera za kinyonyaji dhidi ya makundi hayo ya watanzania kinawanyonya wafanyakazi kwa kuwapa mishahara midogo huku kodi ikiwa juu kinawanyonya wakulima kwa kuwapandishia bei za pembejeo na kuminya masoko na mahali pengine kuwakopa mazao yao. Hivi sasa chama kimekuwa hovyo kisicho na maadili kiasi cha kuwaachia chama wahuni wakiendeshe ovyo ovyo na matokeo yake kimebaki chama cha matukio na kujibu mapigo.....na sasa muungano wa vyama vya upinzani umekichanganya chama hiki kizee na sasa wanapita kujieleza kwa wananchi ambao wanapingana na maoni yao hii ni dalili ya uchovu wa akili unaendaje kwa wananchi walewale waliokuambia wanataka serikali 3 eti huo muundo haufai....kwa hiyo yatakusanywa tena maoni......CCM IMECHOKA NA KUCHOKWA tushikamane kukipumzisha kwa amani nawasilisha
 
Watz endeleni kukumbatia watawala na chama cha wezi njoni mjifunze Malawi
 
Nadhani pamoja na kuzeeka na kuchoka kwa CCM, nna wasiwasi na Watanzania wenyewe. Naamini kuna idadi kubwa ya wananchi waliozeeka na kuchoka kama CCM. Vinginevyo niambieni ni vipi, pamoja na shida yote wanayopata , bado hawachoki kupanda malori kwenda kuishabikia. Niambieni ni vipi pamoja hali ngumu, kupuuzwa na kudorora kwa uchumi, bado bila kujali hali zao, wanaipigia kura.

Na kama siyo kuchoka ni nini kama vijana na wazee wana akili sawa? Nashauri tuhimizane kujiandikisha na kupiga kura uchaguzi ujao. Vinginevyo naamini kundi kubwa la vijana hata hawajui kama kura zao zina umuhimu kiasi gani. Ni kweli CCM kimechoka. Lakini pia ni kweli na SISI pia tumechoka. Tusipoondoa uchovu wetu, ni wazi tunakoelekea siyo kuzuri hata kidogo!
 
Narudia:Tena...nchi inayoongozwa na watendaji Amfundo mchuro ,na watu wa nanmna hiyo haiwezi fanikiwa wala kupanga kitu cha maana.Na tukiendelea jidanganya tutageuza nchi ambayo VIBARUA,MAFUNDI WANAWAPANGIA wenye site na foreman...ndipo tutakapoona jindi mafundi na vibarua wanavyokuwa rebellious...wakijagundua jinsi foremens,na wenye mrandi na contractors wanavyotembea na hela nyingi ,nadhani mwenye akili anaona nini kitatokea..Fundi asiyejua hayo mambo ya uongozi na ugumu wa kupanga mambo hadi yanayompa huyo fundi kuonyesha ufundi wake hiyo shida mtaiona.Nasema haya kwa vile serikali ya CCM LEO imejaa MAFUNDI JEURI...mafundi wanaotaka tudanganya kuwa UFUNDI WAO ULIOBOBEA KTK KUFUKUA MIAMBA NA MAWE UNAZIDI WALIOBUNI NA KUWAPANGIA HIZO KAZI,KUWA UMAHIRI WAO KTK KUFUKUA VYOO,MASHIMO NA ETC KUNAZIDI WALIOGUNDUA VIPAJI VYAO VYA KUKWATUA MAWE...na kuwatafutia pa kutumika ni wajinga.Nasema haya kwa vile naona sasa hivi kuanzia bungeni hadi wapi ktk serikali na establishments zilizopo kt mikono ya CCM mafundi hawapo kazini....sasa wapo ktk office za business planners....hawajui hata mtaji ,na mashine za kuweka migodi,kuweka viwanda waliofikiria na kuwekeza,walipopata mitaji walitumia akili na umahiri wa hali ya juu kuliko wanavyodhani kuwa skillz zao kufanya hizo kazi zinatosha shindanisha na wawekezaji,na wengine waliowekeza.Ningeshauri watanzaniaa sasa wajifunze kulinganisha mambo na mafundi wote warudi ktk vibarua wakaonyeshe utaaalmu wao huko.Bila hivyo hawa vibarua wataanza pambana na wawekezaji wa kitanzani wakishani wanashinda na vibarua wenzao ktk kupiga drill.....mbaya zaidi hawa vibarua na mafundi hawajui hawazewi hata shindana na waliogundua thaman ya hayao madini na watumiaji,kwani wakibadilisha sera tuu hawa mafundi wengi watakuwa USELESS ndipo wataona tofauti ya STRATEGISTS,Investors, and BUSINESS MEN.
 
Bora magufuli yupo site muda mote,muhongo ni fundi mchuro mzivu sana.....badala ya kuthibitisha ufundi wake ktk mgodi akiwa na drill anakwenda gombana maofisini kuthibitisha Jinsi anavyojua shikilia digger,jinsi anvyojua miamba ...anashindana na wawekezaji waliomtengeneza ajira na hata waliosababisha yeye kupata course ya madini mashuleni..ni TZ pekee ndio huu upuuzi upo. Dr.Bilal ni fundi mchuro wa ATOMIC na NEUCLEAR physics kaacha kile ktendo kule njiro yupo busy kushindana na wanasiasa kw akukata utepe...sidhani km tunashindanisha vitu vizuri.Maana lugha haziendi.....halafu tatizo la mafundi kuingizwa ktk uchumi na hela....ni kwamba wanashtuka sana wakiona mahela mengie wakilinganisha na mapatano yao.Hii ni hatari sana kwa wawekezaji,wenye mali na ma wakandarasi kwani hawata pata tena mafundi.
 
Mkuu unatumia lugha ya ndani sana... Lumumba hawana kamusi, wanaweza wasikuelewe...
 
Mkuu unatumia lugha ya ndani sana... Lumumba hawana kamusi, wanaweza wasikuelewe...
haha...kweli hawa jamaa wana shida kweli kweli...km MUHONGO anapodhani kuwa waziri kunamruhuru kufanya anachofanya kwa Mengi....anaoulizwa swali anahisi yupo ktk interview ya kazi ya kuchimba..ndio maana haachi jikuza.Hajui kuwa Mengi ana fikra za boss wake wakati yeye ana fikra za kibarua mchimbaji.Sidhani km anajua kuwa mwenzio anafikira uwekezaji,biashara, na jinsi ya kumtumia mtu km mhongo..muhongo wala hajui nini...
 
Tatizo la mawaziri wa CCM mafundi mchuro km mhongo ni kuleta akili za pale mlimani kuwa wengine ni mangwini wao ma Engineer ndio top class....
 
Akisimama sijui Engineer manyanya ni taabu zilezile za maghebe,komba, Bilal...mwinyi .....
 
Back
Top Bottom