Kifo cha CCM kimetimia

Kifo cha CCM kimetimia

tena hakuna atakayelia maana wametusurubisha sn ktk haya maisha

Kama hautaki kufanya kazi kwanini maisha yasikusulubu?

Watu wanasulubiwa Marekani (U.S.A) sembuse Tanzania?

Fanya kazi kwa bidii maisha bora utayaona.
 
Utazika chadema na ndugu zako mwisho utazikwa wewe CCM utaiacha hai ikiwa na nguvu nyingi dada yangu Riziki Magembe
 
Last edited by a moderator:
Kwa mtu mwenye uelewa kamilifu sidhani kama atakuwa na hope kwamba chadema ipo siku itachukua nchi!
Ni kichekesho sana.
Chadema ni wahuni tu hawana uwezo hata wa kuongoza wilaya.
 
Kwa mtu mwenye uelewa kamilifu sidhani kama atakuwa na hope kwamba chadema ipo siku itachukua nchi!
Ni kichekesho sana.
Chadema ni wahuni tu hawana uwezo hata wa kuongoza wilaya.

watu wengine bwana hawapati usingizi kisa kuiwaza Chadema. sasa kama sio kunyimwa unyumba ebu tueleze Chadema inausika vp na hii thread?
 
Wewe ndugu riziki wala usijidanganye kuwa ccm inaweza toka madarakani,
Mapinduzi daima.
Ccm ina mtandao wa secret societ ambayo inafanya kazi kwa umakini kuhakikisha ccm inaendelea kutawala.
Hii society ina command za juu kuliko rais jk.
 
CCM imewafanya watanzania misukule.. Tumechoka msikilize hapa Munishi kuanzia dakika ya 6
 
Last edited by a moderator:
CCM wametuibia vya kutosha
 
Last edited by a moderator:
Mkuu sidhani kama itawezekana kama unakumbuka vipindi vya uchaguzi jinsi watu walivyo radhi kuhongwa kofia, wali na nyama bila kusahau vitenge . Sasa kwa hali hii usitegemee kitu hapo .
 
Binafi siwapendi kwa jinsi wanavyonyanyasa raia wa chin usafir wa tabu kuingia mjini ukisema uchukue bodaboda wanakuambia haziruhusiwi kuingia mjini ni jiji gan ambalo halina pkpk dunian? Eti ukitaka kuingia mjini ulipe 500 kwa siku alf miez sita sawa sawa na 90000 gari lenyewe halilipiwi namna hiyo huu ni uonevu wa wazi kabisa sasa hiv kama huna kibali unakamatwa unaambiwa fain laki nne na jela miezi sita wenye magar wanaachwa tu wajazane mjini et pkpk zinasababisha ujambazi na polisi je wanaoshawishi wafanyakazi wa benki waibe pesa nao wasije mjin sasa hiv vijana wa boda boda ambao wengi walijiajiri hawana kazi cz wakienda mjin ambako ndo kuna kila kitu wanakamatwa na askari kuanzia shirikishi mpaka hao maajent wa kukamata pkpk wanaongoza kwa wizi na kula rushwa aman iko wap tunayojivunia
 
ukikosa sapota kutoka serikal ni sawa na bure,wew mfan mkulima amelima afu serikal ikashndwa kumpatia soko la uhakika c bdo atakua maskn? acha kufkr kwa ku2mia makalio
 
ccm wanaoweza wakafanya nin tofaut na upuuz wao wa kukopa hadi trilion 40? ufisad wa kutisha? madn hayalipi ushuru? kenge kwel wew
 
ccm wanaoweza wakafanya nin tofaut na upuuz wao wa kukopa hadi trilion 40? ufisad wa kutisha? madn hayalipi ushuru? kenge kwel wew

Uwezo wako wa kuwaza umeishia hapo, shida sana hii! Mtakaririshwa msononeneke mpaka basi. Hao ukawa walipoona ruzuku zimeingia wakaacha laki 3 kwenda kuzimaliza kwanza. Watawadanganya kama nyie. Kwa namna yoyote ile hao ukawa huwezi kusema ni wazalendo wa kuirithi ccm. Wanawalaghai tu hao.
 
Rip ccm
 

Attachments

  • 1399127042222.jpg
    1399127042222.jpg
    11.8 KB · Views: 505
Inasikitisha sana kwa wabunge wa ccm kutounga mkono hoja ambazo wapinzani wamekuwa wakitoa bungeni,kwa mfano jana wakati mh.paulin gekul alivyokuwa akitetea hoja za msingi badala ya kumuunga mkono mh.huyu nyie mabunge ya ccm mnakataa kumuunga mkono japokuwa hoja ilikuwa ni kwa maslahi ya wananchi kwa ujumla.mmekalia ndiyooooooo,kweli ccm ni janga la kitaifa
 
Back
Top Bottom