Kifo cha CCM kimetimia

Kifo cha CCM kimetimia

Kusema wewe ni janga nimekuwa mkali, basi we ni janga kweli kweli, tena janga la karne; nimekwambia tunajikomboa wenyewe, unataka ukombolewe kwani punga la mtu???
 
mbn unakua mkali umemfahamu kijana atakae tuokoa kutoka kwa hawa wakoloni weusi

Wewe unaongeza majanga Bado una imani na kuja mtu kukuokoa Anza wewe kwa kuchukua hatua hao mizigo ccm hawamuokoi mtu WaPo kwaajili Yao na familiar zao
 
Dhahabu $ 60 Billion, Gesi $500 Bilioni, Utalii $700 Billion, Kilimo $ 10 Billion, Uvuvi $ 5 Billoni...Uranium, Almasi...???kwani bado sisi ni masikini?.... CCM ni janga zaidi ya UKIMWI...
 
Chadema (rest in peace)

Unadhani CDM inaweza kufa kwa maneno yako na wasira? CDM ITAKUFA PALE TU WATZ WATAKAPOPATA MAISHA BORA! WATAKAPOUONA UNAFUU KTK MAISIA YAO YA KILA SIKU,VIJANA WATAKAPOONA VIWANDA VYAO VILIVYOUZWA KIJINGA KWA WAWEKEZAJI UCHWARA VINARUDISHWA NA VINAFANYA KAZI NA HIVYO KUPATA AJIRA,WAKULIMA WATAKAPOONA MAZAO YAO YANANUNULIWA KWA BEI STAHILI(PAMBA,KAHAWA,KOROSHO),WAFANYAKAZI WATAKAPOONA MASLAHI YAO YANABORESHWA,HUDUMA ZA AFYA ZITAKAPOBORESHWA NA WAZEE KUTIBIWA BURE,UMEME UTAKAPOKUWA WA UHAKIKA,WATOTO WETU WATAKAPOPATA ELIMU BORA NA USAWA KATIKA MIKOPO YA ELIMU YA JUU n.k,Je hayo yote yatafanyiwa kazi kwa muda huu mfupi kabla ya 2014? ccm jiandaeni kunyolewa tu!
 
Inawezekana kabisa ccm imechoka kabisa lakini hakuna wa kumuondoa.
 
Hakuna dawa nyingine ya kuwaondoa hawa kupe wa maendeleo ya tanzania bali ni kuwatoa madarakani kupitia kwenye sanduku la kupigia kura mwaka huu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na mwakani ktk uchaguzi mkuu.ccm ndie adui mkubwa wa raslimali zetu wa tanzania bali kuchukua hatua dhidi ya hawa mafisadi wa tanzania yaan ccm tutaendelea na umaskin uleule.
 
1. Mauaji ya tembo na kucheza dili na wachina 2. Kunyanyasa wazee wa former east africa 3.ubakaji 4.ufisadi na kufichwa kwa balali 5.uuzaji madawa ya kulevya 6. Manyanyaso ya babu seya 7. Kudhorota kwa elimu 8. Bei za umeme 9.mauaji ya mwangosi 10. Wizi wa kura 11. Kuwadanganya wabongo kwa kanga na pombe 12. Mikataba mibovu 13.kutegemea misaada eti imefadhiliwa na umoja wa watu wa marekani 14. Kufa kwa viwanda kama general tyre indystry 15. Matoto ya viongozi kunenepeana kama ya kuchinjwa nyama huku wapiga kura wao wana utapiamlo 16. Kiongozi utasikia kafia india au africa kusini 17. Kuchapwa viboka walimu 18.wanafunzi elimu ya juu kukosa mikopo
 
Kichwa Cha Habari Hakiendeani Na Mada Uliozungumzia Au Umeparalaizi Na Maamuzi Ya Chadema.
 
Ninakili kuwa ccm wanaijua demokrasia na si kuijua tu na pia wamekomaa katika demokrasia.lakini tunaposema demokrasia tunamaanisha kitu gani?nauliza kwa sababu hivi karibuni kamati kuu ya cdm wamefanya maamuzi magumu tena ya busara kuwaondoa zzk,mkumbo na mwigamba ktk ramani ya siasa ktk chama hicho.

kilichonichanganya watu wengi katika mitandao ya kijamii wanasema cdm hakuna demokrasi na wameathiri demokrasi!ok yawezekana lkn lazima tujiulize haya:
-abusalom kibanda amepigwa chama na serikali kimya!

-mwangosi ameuawa na polisi,chama na serikali kimya!

-dr ulimboka ameteswa na kutupwa msituni chama na serikali kimya!

-mafisadi wanaongezeka na kuiba chama na serikali kimya!

SASA naomba kurejea kwenye mada;je cdm wamekosa demokrasia kwa kuchukua maamuzi?
je penye demokrasia hakuna maamuzi?

ccm kwa hayo yote na serikali wako kimya,je ndio demokrasia?naomba kueleza kama mwanachama wa ccm kuwa tutenganishe maamuzi na demokrasia.nilikuwa nafikiri maamuzi ni dalili ya kukomaa kidemokrasia!kumbe nakosea!lakimi kupitia jf nitaelimika.
 
mabomu ya kivita yanalipuliwa makanisani ndani ya nchi serikali kimya.
demokrasia kwa ccm ni kushindana kuiba na kuifilisi nchi.
 
Kwa kuangalia ugumu wa maisha ni wazi CCM inaua wananchi kimya kimya bila hata ya kunyosha mkono.

Umeme bei juu, kitu ambacho kimefanya vituvingine vyote kupanda bei, matokeo ya kidato cha nne vijana kadhaa waljiua arafu matokeo yakatolewa upya, watu wanakufa kwa ugumu wa maisha vijana wengine wameamua kuwa vibaki, wadada wanauza kile mungu kawapa bure, mwisho wa siku ukimuuliza kibaka na CD utambiwa ugmu wa maisha lakini pia wote wawili wanakufa kimya kimya kwa moto na ukimwi, hata kuuawa na watu wabaya baada ya kuwala pengine mande usiku kucha, pia CCM imeruhusu massage centres wadada wanauza kama hawan akili timamu, CCM kimya, Je huu sio uuaji wa kimyakimya kwa CHAMA kilichopewa dhamani y utawala bila kufanya kazi ya utawala n uongozi kwa wananchi???

CCM inaua raia kimya kimya kwa kushindwa kusimamia sekta za elimu, uchumi na afya. Eti rais anacheki afya USA, eti waziri anafia SA, eti baba wa taifa huru kwa miaka zaidi 35 anafia St Thomas UK, ni aibu kama kuna MMC, BMC KCMC etc mbona wao wanatibiwa njee, au viongozi wetu wote wanaumwa magonjwa makubwa???? maana raia wenye magonjwa makubwa mno ndo hujangia kwenda nje??

Nawasilisha
 
Kwa kuangalia ugumu wa maisha ni wazi CCM inaua wananchi kimya kimya bila hata ya kunyosha mkono.

Umeme bei juu, kitu ambacho kimefanya vituvingine vyote kupanda bei, matokeo ya kidato cha nne vijana kadhaa waljiua arafu matokeo yakatolewa upya, watu wanakufa kwa ugumu wa maisha vijana wengine wameamua kuwa vibaki, wadada wanauza kile mungu kawapa bure, mwisho wa siku ukimuuliza kibaka na CD utambiwa ugmu wa maisha lakini pia wote wawili wanakufa kimya kimya kwa moto na ukimwi, hata kuuawa na watu wabaya baada ya kuwala pengine mande usiku kucha, pia CCM imeruhusu massage centres wadada wanauza kama hawan akili timamu, CCM kimya, Je huu sio uuaji wa kimyakimya kwa CHAMA kilichopewa dhamani y utawala bila kufanya kazi ya utawala n uongozi kwa wananchi???

CCM inaua raia kimya kimya kwa kushindwa kusimamia sekta za elimu, uchumi na afya. Eti rais anacheki afya USA, eti waziri anafia SA, eti baba wa taifa huru kwa miaka zaidi 35 anafia St Thomas UK, ni aibu kama kuna MMC, BMC KCMC etc mbona wao wanatibiwa njee, au viongozi wetu wote wanaumwa magonjwa makubwa???? maana raia wenye magonjwa makubwa mno ndo hujangia kwenda nje??

Nawasilisha
 
Concord nh nimekukubali, umeshinda hila za mods na kuufata huku huku, uko makini mkuu. Nimebadilisha taito
 
CCM ni kweli hakuna tofauti na chinja chinja. Vijana wasomi kitaa wanatiaje huruma,maulaji wanawapa watoto wao,wanyonge maumivu tu. It is painfull We suffer on our own land!
 
Dawa ya kutibu uchakavu wa CCM ni kuing'oa madarakani na kuweka Chama kingine mbadala ambacho ni CHADEMA.Tulipofikia wa Tanzania mabadiliko ni jambo ambalo haliepukiki wala kukwepeka ili tuweze kupata maisha bora ni lazima kama wananchi tuitokomeze ktk sura ya Tanzania.Kamwe
Tanzania haiwezi kuendelea kama CCM itaendelea kubakia madarakani kwa nguvu na ukilitimba mkubwa.Sote wananchi tulochoswa na hawa MAFISADI WA CCM
WALOTAWALA MUDA MREFU NILAZIMA TUUNGE MKONO OPARASHEN TOKOMEZA CCM KTK UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HADI UCHAGUZI MKUU,KILA MTU AINYIME KURA CCM HII NDIO DAWA YA KUIONDOA NA KUITOKOMEZA CCM KWENYE SIASA ZA TANZANIA.
 
Back
Top Bottom