Mizizi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,275
- 391
Hiyo Chadema ina malengo yapi ya kufanya Mabadiliko ambayo CCM imeshindwa kuyaleta?? Katika vyama ambavyo havina Vision na Mission ya Maendeleo basi chadema yaweza kuwa namba moja.
Maana kama wameshindwa hata kujenga ofisi ya chama makao makuu huku wakipewa pesa nyingi na serikali kama ruzuku, wamepokea pesa nyingi kutoka kwa wafadhiri wa nje, wamechangisha wananchi, hizo pesa zote hazina hata kumbukumbu za ki account huku chama kikikataa kupeleka report za kifedha ili ziweze kukaguliwa.
Maana kama wameshindwa hata kujenga ofisi ya chama makao makuu huku wakipewa pesa nyingi na serikali kama ruzuku, wamepokea pesa nyingi kutoka kwa wafadhiri wa nje, wamechangisha wananchi, hizo pesa zote hazina hata kumbukumbu za ki account huku chama kikikataa kupeleka report za kifedha ili ziweze kukaguliwa.