golden girl
Member
- Jun 19, 2013
- 66
- 2
Serikali ya ccm ikiongozwa na jk ni sawa na nondo mla watu kwa watanzania. Inakuwaje wananchi wa kawaida tunalipa kodi,wazee wanalipa kodi,mwalimu ktk mshahara wake analipa elfu 50( kwa anayeanza kazi) lakini raisi halipi kodi inamana yeye sio mtanzania??? Maswahiba wake ambao ni wafanya biashara wakubwa hawalipi kodi. Licha ya hilo serikali hii inaongoza kwa misamaha ya kodi kwa wawekezaji wa nje mfano buzwagi na baricki............. Kama hiyo haitoshi wameona ni bora makampuni makubwa kutoka nje wasamehewe kulipa kodi ili kodi hiyo ilipwe na watanzania wa hali duni kupitia kodi ya sim za mkononi. ........... Ni sawa na nondo mla watuu