Watoto wa mitaani mnajulikana tu mnakaa kutwa mnapanda chuki kwa walimu eti waichukie serikali akili zenu nyie chadema ziko miguuni au shingo hizo vurugu mtaandaa mtachoka hakuna daktari au mwalimu atakayechagua chadema mtajuta tu.mnafiki mkubwa wewe,sasa serikali ya magamba ina migogoro na walimu,madaktari,wandishi wa habari au uongo.Kutekwa kwa ulimboka na kibanda mtuhumiwa wa kwanza ni serikali ya wauza sembe
Wewe kunamchanga na tope.We kichwani hamna kitu.
Unakwama wapi wakati nchi nzima ni lami?Mafanikio yapi, mpaka utumie microscope ndio uyaone hayo nayo unaita mafanikio.
Muendelee kuiba kura ndio mtaendelea kuwa madarakani, mkileta katiba nzuri na tume huru ya uchaguzi na mkajiepusha na dhambi ya wizi wa kura, hakika mtakuwa chama cha upinzani tena chenye nguvu kama ya APPT Maendeleo.
umesahau
-wazinzi
-walioasi dini
-wezi wa wake za watu
-wanafoji fedha za chama na kujenga DUbei
-wacheza disco
-casino
-wachawi
-wezi wa pesa za sadaka
-wanafiki
Unakwama wapi wakati nchi nzima ni lami?
Hakikwanza, siyo kwamba wanatupeleka pabaya ila wametufikisha pabaya..
Kweli mkuu inauma sana hii nchi ya wote lakini ccm inavyo tufanyia Mungu anajua.
Chama cha mapinduzi hapa kilipofika inaonyesha wazi kuwa kinataka kufa na watu wasio na hatia. Kama una akili timamu mtanzania mwenzangu utakubaliana nami kuwa tumefika hapa tulipo kwa sababu ya dhuluma ya ccm. Kutokana na maliasili tuliyonayo Tanzania haikutakiwa tuwe hapa tulipo. Nchi imekuwa tegemezi,umeme wa mashaka, chakula cha shida,huduma mbovu za afya na mengine mengi sana.
Lakini cha kushangaza ccm na serikali yake imekuwa king'ang'anizi ktk kila jambo huku wakijua hawawezi lolote. Angalieni walivyo wababe kama kuwasurubu wanao anika uchafu wao kama magazeti? Ukweli ccm na serikali yake haina mshipa wa huruma wala aibu. Watanzania wanahangaika na adha/dhahama nyingi sana lakini fedha lukuki za watanzania wameweka nje ya nchi. Jamani nchi za magharibi na marekani wako karibu na huyu mwenyekiti wa ccm na serikali yake kwa ajili ya kujichukulia mali asili na si vinginevyo. Pia ccm imejitosa kuharibu mchakato wa kutengeneza katiba mpya ili iundwe katiba itakayowalinda ktk uharifu wao. Watanzania tuwe macho na hii serikali ya ccm na ccm yenyewe watatupeleka kubaya na kwenye hatari zaidi ya hapa tulipo.
Watoto wa mitaani mnajulikana tu mnakaa kutwa mnapanda chuki kwa walimu eti waichukie serikali akili zenu nyie chadema ziko miguuni au shingo hizo vurugu mtaandaa mtachoka hakuna daktari au mwalimu atakayechagua chadema mtajuta tu.
wewe ni kibaraka wa nani?Wewe hata pige kelele vipi lakini fimbo unazo serikali haiwasikilizi watu vibaraka wa wanasiasa kama wewe mchumia tumbo tu.
Mkuu kweli lakini mchakato wa katiba wamehodhi wao na hii imejionyesha kwenye muswada husika, wametumia wingi wa wabunge walio nao kupitisha muswada wa katiba uwe sheria kwa hila. Sasa kwa hali hii tutapata katiba safi kweli? MUNGU TUHURUMIE NA JANGA HILINi kweli hawa maccm hawana jipya na wasifikiri watanzania ni mamburula, wamejisahau sana ila wataona tutakavowafanya 2015, katiba hii wajue kabisa c o ya kwao ni ya watanzania na safari hii hatutaki ulaghai wowote utaofanywa na maccm.