siyo kifo mkuu , hivi sasa tunajipanga kwa mazishi , maana kifo kilishatokea kitambo sana .
Ni dhahiri kuwa Chama kikongwe cha Mapinduzi(CCM) kimewatekenya watanzania vyakutosha katika nyanja mbalimbali tangu kuanzishwa kwake..Watanzania wametekenywa katika elimu,uchumi,siasa,dini na jamii kwa ujumla wake.Mtekenyo huu mkuu sasa umekugusa maslahi ya walio wengi,swali langu kwenu munafikiri ni lini CCM itakomaa kuwatekenya wananchi?
Hiyo uliwa na watoto wa vigogo tu baaasi!!Tofauti Kubwa Kati ya maskini na Tajiri inayosababishwana kutokuwa na mgawanyo sawa wa raslimali za nchi[National Cake].
Ule msemo kuwa baba wa taifa alikufa na ccm yake, unakaribia kudhihirika hivi karibuni. Chama alicho kianzisha yeye mwenyewe na baadaye kukikana kuwa ccm sio baba wala mama yangu, kinaelekea ukingoni na tunakaribia kukizika hivi karibuni tena hata kabla ya uchaguzi wa 2015. Dalili ni nyingi lakini dalili za hivi karibuni za kuanza kugawanyika ktk misimamo yao kuhusu mchakato wa katiba mpya ni dalili za mwisho mwisho. Jana nilishiriki msiba mmoja jijini mbeya ambapo nilijumuika na wazee wa ccm. Walionyesha hisia zao kuhusu kufumbwa midomo na mafisadi na kutishiwa kuwa maoni yao yaani maoni ya mafisadi yasikilizwe na yapite kwa nguvu ili kutokana na maovu yao waweze salimika. Na wakasema imefika pahala wamekuwa watu wa kusubiri maagizo kutoka juu katika kutoa maoni yao. Wazee hao wamefika mbali sasa wanasema wamekuwa wafungwa wa maoni wa muda mrefu na maoni yaliyotolewa na chama chao ni maoni ya wachumia tumbo na wamesema hawawezi kuwa wafungwa tena watamwaga unga. Pia waliwalaani baadhi ya vijana kuwa wanatum
Povu la nini? Kwa nini usitoe maoni yako kuhusu hoja iliyopo mbele yetu? Kwa hiyo unataka kumng'oa kucha mleta hoja?Ukiwa na mawazo ya kibavicha ni hasara tupu.
Hii nayo kwa akili za kibavicha inaitwa piece of research.
Kama ungekuwa unawafahamu vizuri kisiasa watu kama kambona, Mapalala, Lyatonga Mrema aliyepata 27.77% votes in 1995 and a political situation pre-1995 usingepoteza hata muda wa kuandika garbage ya kisiasa kama hii.
Kama ungekuwa hauna akili za kibavicha ungeelewa kuwa CCM is the master in reinventing.
Utasubiri sana CCM kufa wakati yenyewe iko busy kutimiza ahadi na ilani yake ya uchaguzi 2010.
Povu ndiyo kitu gani.Povu la nini? Kwa nini usitoe maoni yako kuhusu hoja iliyopo mbele yetu? Kwa hiyo unataka kumng'oa kucha mleta hoja?