kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,745
1. Hapo kwenye RED inamaanisha Mwigulu ni Mbunge wa CHADEMA?Kila baya ni chadema kuiba wake za watu,kuvuta bangi,sasa kuuza dawa za kulevya chama cha mashetani ni chadema.
2. Hapo kwenye Blue Lusinde na Nkamia ni wabunge wa CHADEMA?
3. Hapo kwenye GREEN kama ulipitia ile connection ya DOTs za sakata la akina Masogane wale wahusika ni wanachama wa CHADEMA?, Idd Azan ni wanachama wa CHADEMA? na kwa nyongeza ilikuwaje ujumbe wa Serikali kwenda South Africa kumtetea Masogange huku wakijua kabisa Mzigo aliokamatwa nao ni wa CHADEMA?