Ndugu wadau, sio vibaya kujikumbusha baadhi ya maswala mhimi na kujitathimini
Baadhi ya Malengo na Madhumuni ya CCM kama chama cha siasa ni yafuatayo:
1.
Kushinda katika Uchaguzi wa Serikali Kuu na Serikali za Mitaa???
2.Kuhimiza ujenzi wa
Ujamaa na Kujitegemea kwa mujibu wa
Azimio la Arusha.????.
3.Kuona kwamba Nchi yetu inatawaliwa kwa
misingi ya kidemokrasia na ya kijamaa????
4.Kuona kwamba
matumizi ya utajiri wa Taifa yanatilia mkazo aendeleo ya Wananchi na hasa jitihada za
kuondosha
umasikini???.,Ujinga???. Maradhi ???
5. Kuona kwamba katika nchi yetu hakuna aina yoyote ya
dhuluma??,
vitisho??
Ubaguzi??
rushwa??
uonevu na/au upendeleo??.
Je, ni kweli haya ndo malengo ya CCM hasa katika swala zima la utekelezaji wake au kuna mengine ambayo ndo malengo ila hayajaandikwa na ni siri ya wachache?. Jiulize mwenyewe!!!!.
Source:
www.ccm.or.tz/