wewe ni mgeni hapa jukwaani umekuja kwa pupa ili utumike. Kwa taarifa yako ccm ilikuwepo,ipo na itaendelea kuwepo. Cha msingi ni ww kuwashauri akina lwakatare, slaa, ben sa8, kilewo na genge lao lote la chadema kuacha kuua watu kwa tindikali sumu na mabomu
Mkuu,
Mimi nimekuwa mgeni JF siku nyingi na sasa nikaona nitoe yangu ya moyoni.
Binafsi niseme wazi kuwa sina chama japo napenda siasa safi na kuheshimiana. Ninaamini kuwa siasa inayodumu ni ile inayobebwa na hoja sio kuwatangaza watu na mambo yao majukwaani bila sababu ya msing.
Mfano, CCM kipind hiki haifanyi siasa kabisa!. Rejea statement yako hapo juu; ukishaanza kuwaandama watu binafsi katika siasa bila kuangalia nguvu na misukumo ya watu hao na sera zao, huwezi kufika mbali. Lazima wakuaache polini tu!!. Umeona Mnyika alivohandle matamko ya CDM kipindi chote tangu bomu la Soweto?. Umeona Kigaila naye?. Unajifunza nini?. CDM sio mtu bali ni taasisi.
Kitendo cha CCM kuwashambulia viongozi wa chadema (Mbowe, Slaa, mnyika,Lissu nk) ni kosa kubwa ambalo badala ya kukuza CCM inabomoa na kupoteza muda mwingi.Kila wakati viongozi wa CCM wanapotowa press conf zao, utasikia Chadema!, chadema!, chadeam!, mbowe, mbowe, mbowe, slaa slaa nk. Mimi ni mmoja wa watu ambao sikupenda siasa lakini baada ya tukioa la bomu
Kanisani Vs
Mkutano wa CDM;Arusha . Ukiangalia utakuta ni mkoa ulele, watu walewale, bomu lilelile, HARAFU; mwitikio wa Rais na Serikali yake, Bunge, Vyombo vya ulinzi, unajua kabisa ahaaaaaa!. Kumbe kanisani walikuwa watu na mkutanoni ?????. Hii tu ikanifanya kuamini kuwa CDM ndiyo chama cha kweli kinachowapenda watanzania na kuwajali.