fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,073
Inashangaza sana unapomwamin mtu au chama, wanafanya kazi zao, unawapa sapoti yote harafu baada ya miaka 50, unagundua hakuna maisha bora wala maendeleo ya mfano ulikinganisha idadi ya watu, ukubwa wa ardhi safi, mito, bahari na maziwa, madini na rasilimali lukuki tulizonazo, unawambia basi mtu wewe au chama wewe ninataka mtu au chama kingine, kuanzia hapo inakuwa mzozo, fitina hadi mauaji eti tu kwanini unataka kunibadilisha na kazi hii umpe mtu au chama kingine, je hiyo ni sababu watu wapoteze maisha kisa hutaki watanzania wakubadilishe?? kwani kukupa utuongoze ilikuwa kukuuzia nchi???
Si uungwana hata kidogo, ni aibu kama kweli akili iko unaunda tume ya uchaguzi ambayo wewe mwenye unashiriki kugombea it will never be fair in any ways, hilo hulioni??? hata kama katiba inakupa mamlaka wewe huna akili??? mbona nyerere aliwahi kusema katiba inamfanya rais kuwa dikteta akipenda, lakini vile anaakili hakutaka kuwa dikteta. Huyu ni mtu mwenye akili, sasa mliopo hamna akili??? mnataka tuamini kuwa nyinyi ni vibaka wa madaraka??? kwanini tume huru isiundwe haraka kwa manufaa ya wote??? ni kosa mtu kubadili mwajiriwa wake???
Umasikini huu, Maendeleo hakuna, Maisha bora ni mfumko wa bei 19.2% wakati nyingeza ya mjshahara aslimi 4-8% kweli haya ni maisha, kodi inapanda kwa kila kitu, hata kodi ya simu inaanzishwa juu ya ile unayolipa wakati unatumia huduma, madini yanavunwa kila siku, elimu imekufa, mali zinaibiwa au unyanganyi kama vile viwanja vya michezo vilivyochukuliwa na CCM wakati ni vya taifa zima, fisadi kama EPA na Richmondi, Mauaji eti tu vile watu wanawapinga kweli hiyo ni sababu tosha kuua watu.
Malecela aliwaambia watu wachague CCM vinginevyo wataleta vita, tutakuheshimu vipi kwa hoja za namna hii, umefanya kizazi chako chote kinuke kwa hoja chafu, Sumaye ili bishara yako ichanue uwe mwanaccm, ccm tuliwaajiri sio kuwamilikisha nchi, wananchi waaamua wanaye mtaka, kama kaburi SA alishindwa na kuwapa wananchi haki hiyo nyie mtaweza kutunyima, mko tayari mtuue zaidi ya makaburu ili mtawale kwa nguvu nchi ambayo tumeikomboa bila damu???
Nawasihi wizi wa kura sio kitu kizuri, kungangania kazi sio sahihi tena pale aliyekuajiri anapoona hufai, hufikii malengo.
CCM na serikali kubalini matokeo ya kura halali za wananchi., nchi moja hakuna haja ya kutaka watu wafe, au mpaka na nyinyi familia zenu ziguswe na vifo vya namna hii ndo mstuke? kwas sasa hamuoni kama watu wanakufa bure???
Nawasilisha
Si uungwana hata kidogo, ni aibu kama kweli akili iko unaunda tume ya uchaguzi ambayo wewe mwenye unashiriki kugombea it will never be fair in any ways, hilo hulioni??? hata kama katiba inakupa mamlaka wewe huna akili??? mbona nyerere aliwahi kusema katiba inamfanya rais kuwa dikteta akipenda, lakini vile anaakili hakutaka kuwa dikteta. Huyu ni mtu mwenye akili, sasa mliopo hamna akili??? mnataka tuamini kuwa nyinyi ni vibaka wa madaraka??? kwanini tume huru isiundwe haraka kwa manufaa ya wote??? ni kosa mtu kubadili mwajiriwa wake???
Umasikini huu, Maendeleo hakuna, Maisha bora ni mfumko wa bei 19.2% wakati nyingeza ya mjshahara aslimi 4-8% kweli haya ni maisha, kodi inapanda kwa kila kitu, hata kodi ya simu inaanzishwa juu ya ile unayolipa wakati unatumia huduma, madini yanavunwa kila siku, elimu imekufa, mali zinaibiwa au unyanganyi kama vile viwanja vya michezo vilivyochukuliwa na CCM wakati ni vya taifa zima, fisadi kama EPA na Richmondi, Mauaji eti tu vile watu wanawapinga kweli hiyo ni sababu tosha kuua watu.
Malecela aliwaambia watu wachague CCM vinginevyo wataleta vita, tutakuheshimu vipi kwa hoja za namna hii, umefanya kizazi chako chote kinuke kwa hoja chafu, Sumaye ili bishara yako ichanue uwe mwanaccm, ccm tuliwaajiri sio kuwamilikisha nchi, wananchi waaamua wanaye mtaka, kama kaburi SA alishindwa na kuwapa wananchi haki hiyo nyie mtaweza kutunyima, mko tayari mtuue zaidi ya makaburu ili mtawale kwa nguvu nchi ambayo tumeikomboa bila damu???
Nawasihi wizi wa kura sio kitu kizuri, kungangania kazi sio sahihi tena pale aliyekuajiri anapoona hufai, hufikii malengo.
CCM na serikali kubalini matokeo ya kura halali za wananchi., nchi moja hakuna haja ya kutaka watu wafe, au mpaka na nyinyi familia zenu ziguswe na vifo vya namna hii ndo mstuke? kwas sasa hamuoni kama watu wanakufa bure???
Nawasilisha