Kifo cha CCM kimetimia

Kifo cha CCM kimetimia

Umeanza vizuri ila huo mstari wa tatu kutoka mwisho, umeharibu kaka CCM haina bahati tena ya kurudi madarakani kwani hata walio ndani ya CCM wenyewe wanalitambua hilo.

Buriani CCM katiba mpya inakuja kuwazika
 
Hiyo ni rasimu tu wewe. Unaanza kuhesabu mayai hata kabla ya kuku hawajatotoa.

Kwanza hujielewi,mayai yanatotolewa na kuwa mayai tena? Au ni vifaranga? Umeshajijibu mwenyewe huwezi kutotoa kama hauna mayai,ni kweli najihesabia mayai kwa maana hilo umerithibitisha mwenyewe,kwani huwezi kutotoa kama hakuna mayai.

Unaongea pumba wewe. Na mimi huwa sina muda na waongea pumba. Watafute waongea pumba wenzako ili mziendeleze hizo pumba zenu.

Radhia dada yangu hata kama hii ndio rasimi lakini ndo mtizamo wa wananchi na ndo inakwenda kuwa katiba kwa sababu yaliyomo mengi wananchi wanayakubali naninacho kuambia wale wazee awatakubali kabisa kutuletea katiba mbovu kwa sababu wao ndio wanamaamzi ya mwisho kwenye uchambuzi nacho kiamini katiba itakayo kidhi matakwa ya wananchi ndiyo itakayopatikana chini ya waryoba, baregu, na wengine wote

Unaongea pumba wewe. Na mimi huwa sina muda na waongea pumba. Watafute waongea pumba wenzako ili mziendeleze hizo pumba zenu.

Punguza jazba wewe.... wenzio wanatoa mawazo kuna pumba gani hapo?
 
Umeanza vizuri ila huo mstari wa tatu kutoka mwisho, umeharibu kaka CCM haina bahati tena ya kurudi madarakani kwani hata walio ndani ya CCM wenyewe wanalitambua hilo.

Buriani CCM katiba mpya inakuja kuwazika

mkuu nakubali kukosolewa kwa kuwa mimi siyo CCM ukiwakosoa jiandae kutobolewa jicho,kung'olewa meno na kucha bila ganzi.
 
kunawatu huwa siwaelewi ukisema anguko la ccm na serikali yake kwani hii rasimu imeandaliwa ccm na serikali yake haya mawazo mfu hayatasaidia yawezekana mkuu unajifariji mimi ninachojua wenye maamuzi ya haya mambo ni watanzania wala siyo wewe.

maamuzi na maoni ya wananchi ndiyo chanzo cha anguko la ccm kisicho moja kwa moja,ila katiba mpya ndiyo chanzo cha anguko lao la moja kwa moja.Umepanic hujielewi baada ya kuona buku saba za Lumumba zinatafuta uhamisho.
 
Katiba kama itakuwa hivi, haiibani ccm na wabunge tu. Inavibana vyama vyote na wabunge wake hasa kile kitakachokuwa madarakani. Ccm itaondoka watakuja tlp,cdm au nccr nao itawakaba tu. Jambo la msingi ni kila chama kujizatiti na sio kusema ccm na wabunge watabanwa na hiyo new katiba.
 
hayo ni mawazo yao kwani mnyika na msigwa wananini kwenye vichwa vyao,mnyika hata shule kakimbia,sitta alisema msigwa ni mhuni wa kawaida tu.

Mulugo,Ngonyani,Airo,Abood wana ellimu gani? Ndiyo maana bungeni neno impotent liliwashinda na kutafsiri tofauti bila kuangalia mazingira lilipotumika,kama sio elimu na viwango duni ni nini? Bado nadharia ya akili ndogo inaapply kwenu nyie magamba
 
Katiba kama itakuwa hivi, haiibani ccm na wabunge tu. Inavibana vyama vyote na wabunge wake hasa kile kitakachokuwa madarakani. Ccm itaondoka watakuja tlp,cdm au nccr nao itawakaba tu. Jambo la msingi ni kila chama kujizatiti na sio kusema ccm na wabunge watabanwa na hiyo new katiba.

lakini jiulize hivi,ni wabunge gani wanaotetea serikali hata kama imefanya madudu? Na ni wabunge gani wazembe kukutetea wananchi kama sio wa ccm? Kila ktu ndiyooooo,kibaya zaidi spika anasema WANAFIKI wameshinda.
 
mkuu nakubali kukosolewa kwa kuwa mimi siyo CCM ukiwakosoa jiandae kutobolewa jicho,kung'olewa meno na kucha bila ganzi.

nipo tayari kwa hilo lakini niongee ukweli Hakuna sababu ya kuirudisha CCM madarakani, miaka 51 tangu uhuru ukiangalia mafanikio siyo makubwa sana kama wizi walioufanya
 
Wakubwa hii haina ubishi mwisho wa uwizi na utapeli wa kisiasa sasa umefika Tanzania iwe 2015/2020 lazima ccm na utapeli wao tuwasahau milele. Hii ya kutaka kuchakachua Rasmu wanaweza wakafanikiwa maana wajumbe wengi wa mabaraza ya katiba wilayani ni mambumbu wa ccm ambao hawana Uelewa wowote zaidi ya kusema ndio mzee na kutumika kama mihuri ya kupitishia maamuzi ya akina LOWASSA NA TIMU YAKE.
ila kwa hili la katiba mpya tunao piginia hakika ccm hawatoki kamwe.
 
nipo tayari kwa hilo lakini niongee ukweli Hakuna sababu ya kuirudisha CCM madarakani, miaka 51 tangu uhuru ukiangalia mafanikio siyo makubwa sana kama wizi walioufanya

kamanda Django,tuko pamoja sana.Wanajisifia hao magamba wameleta maendeleo,maendeleo yapi? Huu ni wajibu wao na hakuna haja ya kujisifia.Niko tayari kupoteza meno,kucha,macho nk siwezi kuusifia upuuuzi wa ccm.
 
Mara zote nimependa kutokuwa na siasa za kishabiki, tangu uchaguzi wa mwaka 2010 umarufu wa chama hiki kikongwe ulianza kuporomoka japo haikuwa kwa kasi kubwa, lakini kuanzia mwaka 2013 kasi ya kuporomoka imekuwa bayana, katika historia ya chama hiki sikuwahi kusikia eti kimeshindwa kusimamisha mgombea katika chaguzi ndogo mfano za vitongoji, vijiji na kata. Lakini hayo mambo kwa chama hicho ni kawaida tu kukosa wagombea wa kusimamisha

Ipo mifano mingi ambayo ccm kwa miaka ya hivi karibuni baadhi ya maeneo katika chaguzi ndogo hawasimamishi wagombea, huko ni kuporomoka, na hii inamanisha kwamba katika baadhi ya maeneo hakikubaliki kabisa

Dalili nyingine ya kuporomoka kwa ccm ni hali inayoendelea sasa, ccm imeamua kutumia dola zaidi kuthibiti upinzani badala ya kujenga hoja au kuelezea nini walichokifanya kutekeleza ilani yao. Inashangaza sana kusikia kiongozi wa ccm na msomi kabisa Bwana Mwigulu nchemba anaongoza siasa chafu za matusi, uongo na mipango michafu ili kudhibiti upizani huko nako ni kuporomoka, wanajua fika wasipofanya hivyo hawezi kuvuka 2015

Suala la katiba ni la wananchi wote wa Tanzania , lakini kwa ccm limeonyesha kuwachanganya zaidi, mimi najiuliza kwa nini kuchanganyikiwa kote huko ? Rasimu iliyotolewa inaonekana kuwa ndio hasa watanzania walio wengi walikuwa wakiitaka kwa muda mrefu, sasa imekuja hawa ccm wanachanganyikiwa tena , binafsi sielewi kwa nini wamechanganyikiwa kiasi hiki, wanamshambulia mzee WARIOBA, wakumbuke wajumbe wa tume ile ni zaidi ya WARIOBA
wamo majaji wengi , wanasheria pia na watu wengine wenye weledi wa kutosha.

Hivi tunategemea mapendekezo ya wanaccm wakupandikizwa kwenye mabaraza yakatoa mapendekezo sahihi tunayoyahitaji ?

Wanakubali wanakataa ukweli ni kwamba ccm imeporomoka na imekosa mvuto kwa watanzania, wanao muda wa kujitafakari na kuangalia ni wapi walipojikwaa, hilo linaweza likawasaidia, naiona ccm 2015, ikiwa nyuma ya vyama vingi vya upinzani, sioni tena kama inaweza ikaongoza nchi hii endapo haitajirekebisha
 
huyu kwa vyovyote vile ni mangi tu! na mikakati yao ya chagga empire
 
Mara zote nimependa kutokuwa na siasa za kishabiki, tangu uchaguzi wa mwaka 2010 umarufu wa chama hiki kikongwe ulianza kuporomoka japo haikuwa kwa kasi kubwa, lakini kuanzia mwaka 2013 kasi ya kuporomoka imekuwa bayana, katika historia ya chama hiki sikuwahi kusikia eti kimeshindwa kusimamisha mgombea katika chaguzi ndogo mfano za vitongoji, vijiji na kata. Lakini hayo mambo kwa chama hicho ni kawaida tu kukosa wagombea wa kusimamisha

Ipo mifano mingi ambayo ccm kwa miaka ya hivi karibuni baadhi ya maeneo katika chaguzi ndogo hawasimamishi wagombea, huko ni kuporomoka, na hii inamanisha kwamba katika baadhi ya maeneo hakikubaliki kabisa

Dalili nyingine ya kuporomoka kwa ccm ni hali inayoendelea sasa, ccm imeamua kutumia dola zaidi kuthibiti upinzani badala ya kujenga hoja au kuelezea nini walichokifanya kutekeleza ilani yao. Inashangaza sana kusikia kiongozi wa ccm na msomi kabisa Bwana Mwigulu nchemba anaongoza siasa chafu za matusi, uongo na mipango michafu ili kudhibiti upizani huko nako ni kuporomoka, wanajua fika wasipofanya hivyo hawezi kuvuka 2015

Suala la katiba ni la wananchi wote wa Tanzania , lakini kwa ccm limeonyesha kuwachanganya zaidi, mimi najiuliza kwa nini kuchanganyikiwa kote huko ? Rasimu iliyotolewa inaonekana kuwa ndio hasa watanzania walio wengi walikuwa wakiitaka kwa muda mrefu, sasa imekuja hawa ccm wanachanganyikiwa tena , binafsi sielewi kwa nini wamechanganyikiwa kiasi hiki, wanamshambulia mzee WARIOBA, wakumbuke wajumbe wa tume ile ni zaidi ya WARIOBA
wamo majaji wengi , wanasheria pia na watu wengine wenye weledi wa kutosha.

Hivi tunategemea mapendekezo ya wanaccm wakupandikizwa kwenye mabaraza yakatoa mapendekezo sahihi tunayoyahitaji ?

Wanakubali wanakataa ukweli ni kwamba ccm imeporomoka na imekosa mvuto kwa watanzania, wanao muda wa kujitafakari na kuangalia ni wapi walipojikwaa, hilo linaweza likawasaidia, naiona ccm 2015, ikiwa nyuma ya vyama vingi vya upinzani, sioni tena kama inaweza ikaongoza nchi hii endapo haitajirekebisha

hapo penye red unaweza kutoa mifano?
 
Mara zote nimependa kutokuwa na siasa za kishabiki, tangu uchaguzi wa mwaka 2010 umarufu wa chama hiki kikongwe ulianza kuporomoka japo haikuwa kwa kasi kubwa, lakini kuanzia mwaka 2013 kasi ya kuporomoka imekuwa bayana, katika historia ya chama hiki sikuwahi kusikia eti kimeshindwa kusimamisha mgombea katika chaguzi ndogo mfano za vitongoji, vijiji na kata. Lakini hayo mambo kwa chama hicho ni kawaida tu kukosa wagombea wa kusimamisha

Ipo mifano mingi ambayo ccm kwa miaka ya hivi karibuni baadhi ya maeneo katika chaguzi ndogo hawasimamishi wagombea, huko ni kuporomoka, na hii inamanisha kwamba katika baadhi ya maeneo hakikubaliki kabisa

Dalili nyingine ya kuporomoka kwa ccm ni hali inayoendelea sasa, ccm imeamua kutumia dola zaidi kuthibiti upinzani badala ya kujenga hoja au kuelezea nini walichokifanya kutekeleza ilani yao. Inashangaza sana kusikia kiongozi wa ccm na msomi kabisa Bwana Mwigulu nchemba anaongoza siasa chafu za matusi, uongo na mipango michafu ili kudhibiti upizani huko nako ni kuporomoka, wanajua fika wasipofanya hivyo hawezi kuvuka 2015

Suala la katiba ni la wananchi wote wa Tanzania , lakini kwa ccm limeonyesha kuwachanganya zaidi, mimi najiuliza kwa nini kuchanganyikiwa kote huko ? Rasimu iliyotolewa inaonekana kuwa ndio hasa watanzania walio wengi walikuwa wakiitaka kwa muda mrefu, sasa imekuja hawa ccm wanachanganyikiwa tena , binafsi sielewi kwa nini wamechanganyikiwa kiasi hiki, wanamshambulia mzee WARIOBA, wakumbuke wajumbe wa tume ile ni zaidi ya WARIOBA
wamo majaji wengi , wanasheria pia na watu wengine wenye weledi wa kutosha.

Hivi tunategemea mapendekezo ya wanaccm wakupandikizwa kwenye mabaraza yakatoa mapendekezo sahihi tunayoyahitaji ?

Wanakubali wanakataa ukweli ni kwamba ccm imeporomoka na imekosa mvuto kwa watanzania, wanao muda wa kujitafakari na kuangalia ni wapi walipojikwaa, hilo linaweza likawasaidia, naiona ccm 2015, ikiwa nyuma ya vyama vingi vya upinzani, sioni tena kama inaweza ikaongoza nchi hii endapo haitajirekebisha

bila shaka wewe umechanganyikiwa? kitendo cha ccm kutoa maoni juu ya rasimu ya katiba ni cha kawaida. subiri dr slaa arudi kwa maliberali wenzake alikoenda kupata maoni utasikia mengi
 
usiamini hivyo mkuu, ccm imejiimarisha sana hapa nchini halafu ina siasa za kistaarabu
 
Back
Top Bottom