Kifo cha CCM kimetimia

Kifo cha CCM kimetimia

Kutona na mchakamcha wa M4C ccm imeoneka kuishiwa sera na wanachofanya ni wamesha kata roho . Kinana ambaye ni mvunaji wa Tembo aliyesomea ndo anakiongoza chama. 2 015 mjia nyeupe kwa cdm2015TZ
Mkuu, una sumu hapo????
 
Wapanga mauwaji wanajifariji, ivi mtanzania gani huyo atakayekubalu kuongozwa na mashoga, wapanga mauwaji, watembea na sumu???
 


wabunge wenyewe kina wenje , lisu , lema & other classless politicians kina SUGU etcl CDM kuchukua nchi watanzania itakuwa ni kama tume JUMP from the oven into the frying pan na kamwe haitakuja kutokea ... tunapenda sana nchi yetu tanzania bila udini na ukanda inawezekana... simply tusichague chadema

Wewe unaongelea viongozi waliopo, dont forget kuwa 2015 wasomi watajaa kwenye majimbo mbalimbali kutafuta ticket kuelekea mjengoni. Uchache wa bunge hili uckuchanganye. uclassless wa Sugu ni bora mara 1000 kuliko PHD ya kawambwa, Matayo, Maghembe, Nchimbi n.k. Ni heri kuwa na Mbunge mzaleondo hata kama hajaenda shule kabisa kuliko kuwa na Dr. au Professor ambaye ni kiazi na asiye na uzalendo. Be patient 2015 will tell.
 
Kila kiongozi analalamika awe rais,waziri mkuu n.k. Kama nchi imewashindeni si mkabidhi kwa wachapa kazi.
Kulalamika katika uongozi ni dalili ya kushindwa.Huwezi kulalamika kama uko sawasawa.
Leo hii ukimuuliza kiongozi,hivi tatizo hili chanzo chake ni nini,jibu atakalokupa utashangaa anasema hata mimi(yeye) hajui,utasikia "Ooh chadema walisema nchi haitatawalika" uvivu wa kufikiri.
Waziri anaulizwa vipi hili tatizo la ajira,jibu ata sema vijana wajiajiri,as if sio waziri.Kusema wajiajiri si hata mchimba kokoto anaweza kusema hivyo? Sasa kkutakuwa na tofauti gani ya waziri na mchimba kokoto?
Nasema hivi,kiongozi anayelalamika juu ya tatizo fulani na hajui/anajua chanzo chake na wananchi analalamika tatizo hilo hilo,lakini kiongozi huyo hachukui hatua huyo ni kiongozi anayeangamiza taifa lake.
Sisi wote tunayashuhudia nchini. Maoni yangu!!
 
Inasikitisha, Jana Bungeni, Waziri wa fedha, Dr.Mgimwa, anakiri na kusema- Tuna rasimali nyingi lakini bado ni maskini, inabidi tuje na mkakati kabambe ili kuondoa umaskini.
 
Kila kiongozi analalamika awe rais,waziri mkuu n.k. Kama nchi imewashindeni si mkabidhi kwa wachapa kazi.
Kulalamika katika uongozi ni dalili ya kushindwa.Huwezi kulalamika kama uko sawasawa.
Leo hii ukimuuliza kiongozi,hivi tatizo hili chanzo chake ni nini,jibu atakalokupa utashangaa anasema hata mimi(yeye) hajui,utasikia "Ooh chadema walisema nchi haitatawalika" uvivu wa kufikiri.
Waziri anaulizwa vipi hili tatizo la ajira,jibu ata sema vijana wajiajiri,as if sio waziri.Kusema wajiajiri si hata mchimba kokoto anaweza kusema hivyo? Sasa kkutakuwa na tofauti gani ya waziri na mchimba kokoto?
Nasema hivi,kiongozi anayelalamika juu ya tatizo fulani na hajui/anajua chanzo chake na wananchi analalamika tatizo hilo hilo,lakini kiongozi huyo hachukui hatua huyo ni kiongozi anayeangamiza taifa lake.
Sisi wote tunayashuhudia nchini. Maoni yangu!!

Inasikitisha, Jana Bungeni, Waziri wa fedha, Dr.Mgimwa, anakiri na kusema- Tuna rasimali nyingi lakini bado ni maskini, inabidi tuje na mkakati kabambe ili kuondoa umaskini.

Ni matokeo ya wanasiasa kuwa juu ya wananchi!
Msijali, ado ado katiba mpya itasaidia kwa kiwango fulani! sio haba kidogo kidogo hujaza kibaba!
 
Hii mikakati kabambe nimeisikia siku nyingi sana lkn mpk leo haujatekelezwa ht mmoja na umaskini unaongezeka kila uchao, hakuna mkakati utakaoletwa na hii serikali ukamtoa mwananchi ktk umaskini,fikiria watalii wanakuja nchini kuona vivutio vyetu wakiwamo wanyama halafu hao viongozi wanaotaka kuja na mkakati wanawaua na kuwauza hao wanyama ughaibuni,sasa hapo kweli kuna nia ya dhati ya kumkomboa mwananchi na huu umaskini? viongozi wetu maneno mingi sana binafsi nimechoka kuwasikiliza.
 
ukweli ulio mchungu ni kwamba;jk ni rais mwenye upeo mdogo sana,he was,is and will never be a presidential material.
 
Katika kitu kibaya kuliko vyote ambacho binadamu huwa nacho ni pale jambo fulani kuwa na imani nalo,yaani kuwa tumaini la kuwa katika mstari mnyoofu. Wakati huo huo,jambo hilo linaweza kubadilika na kuwa na madhara makubwa kwake na kizazi chake.
Nasema hivi kwa kuwa,ccm na serikali yake imeshajijengea fikra kuwa itawala milele.Katika hali hii wanafanya mambo mabaya kwa wapinzani ambayo hata kama adui yako huwezi kumfanyia.Ikumbukwe kuwa upinzani siyo uadui bali kuwa na mitazamo na itikadi zinazokinzana ndio maana ya upinzani.
Lakini katika hali ya kushangaza,watawala wa serikali ya ccm na ccm yenyewe wamekuwa wakifanya mambo mabaya na ya aibu kwao kwa siku za baadaye. Mindset ya kutawala milele na akili mgando zitawafedhehesha siku ccm imepigwa chini.Mfano kesi ya kamanda Lwakatale na mwenzie,ni jambo hata wao wanashindwa kusema kuwa hapa tumeingia choo cha kike.
Katika matukio haya likiwemo la mauaji ya Mwangosi, kuteswa kwa mwenyekiti wa jumuiya/jukwaa la wahariri.hii ni dhahiri kuwa akili ndogo haiwezi kutawala akili kubwa.Nasema kwa kuwa matukio haya serikali ilikanusha vikali mno,lakini haina sehemu ya kuchomokea.
Hapa watafanya kila njia na kutafuta mchawi juu ya Chadema,lakini chadema itazidi kupendwa kwa kuwa ndiyo mtetezi wa watu juu ya matukio ya kinyama kama haya.
Najiuliza hivi,hawa ccm na serikali yake watatawala milele? Kitu ambacho siyo kweli. Na siku ccm imeondolewa madarakani kuna watu sijui sura zao watazificha wapi,kwani wamefanya mambo mabaya mabaya akiwemo Nchemba(kesi ya Lwakatale),Wassira(huyu anaona uhai si lolote si chochote-kibanda ni nani?) na wengine wengi.
Haya yote ni laana kwao na kizazi chao,leo hii familia ya Mwl Nyerere inasifika.Sasa hawa watoto wa mafisadi, majangili,wabambikizaji kesi,wang'oa kucha na meno na watesaji,ni nani atakaye wathamini na kuwapa hadhi ya baba/ndugu zao waliowahi kushika madaraka?
CCM NA SERIKALI YAKE WAJIANDAE KWA ANGUKO KUBWA NA AIBU YA KUZOMEWA KAMA MWIZI-TUNASUBIRI MUDA,kwani hakuna marefu yasiyo na ncha. Maonu yangu.
 
Ulipomwita gaidi lwakatare kamanda ndio umenidhi moja kwa moja...yule ni gaidi,muuaji, mlisha watu sumu na ni shetani
 
Wale makada waliotaka kumpiga risasi ya kicha mama yake zitto ili wapewe nyaraka nao walionewa?
 
Yule diwani wa chadema kule singida aliyekatakata mifugo miguu na kufyeka mashamba ya wananchi naye alionewa?
 
Kibanda ameteswa kwa sababu ya ile makala aliyoandika akiwa tz daima kwani ilimchukiza sana mbowe na chama chake kwa ujumla
 
Hii mikakati kabambe nimeisikia siku nyingi sana lkn mpk leo haujatekelezwa ht mmoja na umaskini unaongezeka kila uchao, hakuna mkakati utakaoletwa na hii serikali ukamtoa mwananchi ktk umaskini,fikiria watalii wanakuja nchini kuona vivutio vyetu wakiwamo wanyama halafu hao viongozi wanaotaka kuja na mkakati wanawaua na kuwauza hao wanyama ughaibuni,sasa hapo kweli kuna nia ya dhati ya kumkomboa mwananchi na huu umaskini? viongozi wetu maneno mingi sana binafsi nimechoka kuwasikiliza.

kama rais mwenyewe hajui kwa nini watu wake ni maskini,wengine itakuaje? Hii inaonesha ni jinsi gani viongozi wanakurupuka kugombea nafasi za uongozi wakati hawana nia ya dhati.
Matokeo yake ni kuiba mali ya umma,kuuza wanyama hai,kuficha pesa nje na ufisadi.Pia wanachukua sehemu ya uongozi kama sehemu ya kukomoa watu kwa kuwabambikiza kesi.
Kama kiongozi anauza wanyama nje,unategemea mtalii gani kuja kutalii? Hii ni aibu ya watanzania.
 
Tatizo kubwa la ccm ni ufisadi uliokithiri na kwa upande wa CDM ni udini na ukabila unaotishia umoja na mshikamano wetu. Ndugu watanzania chagueni CUF kwa ukombozi kamili wa nchi yetu na rasilimali zetu, kwa manufaa yetu na vizazi vyetu vijavyo. PAMOJA TUNAWEZA!

Wewe unawaambia watu wachague Cuf?hao Waliberal ili tuwe mashoga na wasagaji? Hapana, hapana,Hapana,(HAIFAI).
 
Back
Top Bottom