Kifo cha CCM kimetimia

Kifo cha CCM kimetimia

Hatimaye chama kinachoongoza kwa kuita wengine saccos(Bila kujua saccos zinafaida),nacho kimeanza kuwa si tu kama saccos ila pyramid.

Anayevuna leo anapewa mbegu ya wa leo,mwishowe rate ya wapandaji ikiwa ndogo kuliko wavunaji tunashuhudia kinachotokea ktk pyramids. Sasa hivi CCM wanakwapua mali za nchi wakidhani madini na gesi zinalipa ktk uvunaji na karibu pyramid inakaibia kurikia ktk tip.Wakati wakicheka vyama ambavyo vinawakopesha wanachama wanaopaswa rudisha.

Leo hii hata uongozi ktk CCM unakatika ghafla,na anayeingia hakai muda anajikuta ni wa kutoka tena bila kitubila mbegu aliyopanda.


Sasa hivi si muda,tutashughudia mwigulu,kinana na wengine wakifuata njia ya mkama tena bila mbegu waliyopanda.
 
Ikiwa ni muda mrefu umepita,tokea watanzania tupate uhuru, tukiwa chini ya utawala wa TANU, hatimaye CCM bado mabadiliko makubwa hayajafanyika kuonesha malengo ya kulipatia taifa letu maendeleo. Awamu ya kwanza ilianza vyema, lakini mawazo ya Mwalimu JK Nyerere yalipoanza kukiukwa katika awamu ya pili, ya tatu na hatimaye ya nne ndio sasa watanzania tunaona tuko katika jehanamu iliyojaa chuki,njama,ufisadi, na umaskini uliokithiri.

Ni ukweli usiofichika CCCM na uongozi wake wote imeshindwa kutatua matatizo yanayotukabili, na niseme imekuwa ikituongezea tabu kila kukicha. Nianze na MGOMO WA MADAKTARI, AJALI ZA ZANZIBAR, SUALA LA MUUNGANO,KILIMO n.k vyote vinatabiri kifo cha CCM, kwa kuzingatia kuongezeka kwa machafuko nchini.

Watanzania walio wengi wenye akili timamu na hekima nadhani tayari wameshajiandaa kufanya mabadiliko makubwa 2015 ,na namini itakuwa ndio mwisho wa utawala wa kidhalimuna dhaifu wa CCM!

NA HICHO NDICHO KIFO CHA CCM 2015!

[h=5]Si wanawategemea hawa jamaa hapa chini.[/h]
Kula hujala na Kamshahara kenyewe unakolipwa ka pesa ya madafu halafu unaleta mbwembwe za kudandia gari eti unawawahi chadema...utaja kufa bure jinga wewe!!!
 
[h=5]Si wanawategemea hawa jamaa hapa chini.[/h]
Kula hujala na Kamshahara kenyewe unakolipwa ka pesa ya madafu halafu unaleta mbwembwe za kudandia gari eti unawawahi chadema...utaja kufa bure jinga wewe!!!

Ha haaaaa
 
Tatizo letu watanzania ni hodari sana wa kukesha nyuma ya keyboard........wagumu kufanya maamuzi....... Kwa hali hii ccm itatutawala milele mpaka siku tutakayoamua kwa dhati kuiondoa madarakani........ Change ni mimi ni wewe ni sisi twaweza!
Mngeazia na Iramba kwa mwigulu ndio ningeamini mmekua
Kelele za mlango mbovu hazimnyimi mwenye nyumba usingizi
Subirini Ballot Box km la huko Singida ndio mtaujua vizuri 2015 kuwa CCM hawajalala
 
ngoja watz waoneshe hasira zao maccm, kabla ya 2015 wasubiri uchaguzi wa serikali za mitaa tuna hasira huwezi kuamini na ndo watajua kwamba watz wana hasira.
 
Mna ndoto za mchana, kama fisi anavyotamani mpita njia akidhani mkono utadondoka aokote ndo nyie !!!!!! Mnachekesha!
 
Hahahahahahaha huyu afande duh lazma alipelekwa hospital duh misifa mingine bhana
 
Tatizo kubwa la ccm ni ufisadi uliokithiri na kwa upande wa CDM ni udini na ukabila unaotishia umoja na mshikamano wetu. Ndugu watanzania chagueni CUF kwa ukombozi kamili wa nchi yetu na rasilimali zetu, kwa manufaa yetu na vizazi vyetu vijavyo. PAMOJA TUNAWEZA!
 
Kutona na mchakamcha wa M4C ccm imeoneka kuishiwa sera na wanachofanya ni wamesha kata roho . Kinana ambaye ni mvunaji wa Tembo aliyesomea ndo anakiongoza chama. 2 015 mjia nyeupe kwa cdm2015TZ
 
Kutona na mchakamcha wa M4C ccm imeoneka kuishiwa sera na wanachofanya ni wamesha kata roho . Kinana ambaye ni mvunaji wa Tembo aliyesomea ndo anakiongoza chama. 2 015 mjia nyeupe kwa cdm2015TZ

wabunge wenyewe kina wenje , lisu , lema & other classless politicians kina SUGU etcl CDM kuchukua nchi watanzania itakuwa ni kama tume JUMP from the oven into the frying pan na kamwe haitakuja kutokea ... tunapenda sana nchi yetu tanzania bila udini na ukanda inawezekana... simply tusichague chadema

 
Wewe njiwa mtumwa wa Lumumba road,kuna kitu ningetamani nikwambie lakini ninawaheshimu wakubwa wa jukwaa ila iko siku yako nitakupa live bila chenga mtumwa fisadi wewe! Mnabadisha ID kama nguo unayovaa kwa sababu ya utumwa tu! Pole sana! 2015 tuombe uzima tu kama mafisadi hajaambulia manyoa tu!



wabunge wenyewe kina wenje , lisu , lema & other classless politicians kina SUGU etcl CDM kuchukua nchi watanzania itakuwa ni kama tume JUMP from the oven into the frying pan na kamwe haitakuja kutokea ... tunapenda sana nchi yetu tanzania bila udini na ukanda inawezekana... simply tusichague chadema

 
Last edited by a moderator:
Wewe njiwa mtumwa wa Lumumba road,kuna kitu ningetamani nikwambie lakini ninawaheshimu wakubwa wa jukwaa ila iko siku yako nitakupa live bila chenga mtumwa fisadi wewe! Mnabadisha ID kama nguo unayovaa kwa sababu ya utumwa tu! Pole sana! 2015 tuombe uzima tu kama mafisadi hajaambulia manyoa tu!


Do you realize how pathetic that post of yours was!?..



 


wabunge wenyewe kina wenje , lisu , lema & other classless politicians kina SUGU etcl CDM kuchukua nchi watanzania itakuwa ni kama tume JUMP from the oven into the frying pan na kamwe haitakuja kutokea ... tunapenda sana nchi yetu tanzania bila udini na ukanda inawezekana... simply tusichague chadema


classless wangeweza kutoa hoja ambazo zinawafanya magamba wanashindwa kulala na kushindwa kujibu hoja zao
 
CCM chama cha matapeli,majangiri wevi,wanyofoa kucha na meno ya watu,wakata pingili za mkono,wavunja nume za watu ,na ahadi zao za uongo eti maisha bora kwa mtanzania
mara wanaleta power tiller hata bustani haziwezi kulima,mapande ya ardhi wamekabidhi wahindi,waarabu,wakorea,wachina,wathailand,na wazungu wazawa wanahangaika kwenye nchi yao,wanyonyaji wadhulumaji wa mali za wakulima, na wauaji wa mifugo ya wafugaji,na waporaji wa madini na fedha za taifa kupeleka nje ,ni michwa na mapanya wa rasilimali za watu
 
Ccm daima, kwa tz yenye neema na maendeleo....watembea na sumu mashoga tupa kuleee
 
Mleta mada kajifunze kuandika kwanza ndio uje hapa kuikosoa ccm, uache na ushoga wenu kabisa
 
Back
Top Bottom