utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,812
Nikweli kabisa sisi wananchi tumekichoka hichi cha dhalimu, wauwaji wakubwa huku wakijidai wanatutea bungeni pia ni mafsadi. Magamba wakubwa na tutawang'oa 2015
sisi wananchi tumechoka na tabia hii ya kulishwa sumu...ilianza kwa zitto ikaja kwa msaki ikaenda kwa mama yake zitto kutishiwa bastola ikaishia kuchukua roho ya chacha wangwe.