Kifo cha CCM kimetimia

Kifo cha CCM kimetimia

Mwisho wa ccm ni mwakani katika uchaguzi wa serikali za mitaa,cdm tunajivunia nguvu ya umma
 
Mwisho wa ccm ni mwakani katika uchaguzi wa serikali za mitaa,cdm tunajivunia nguvu ya umma

Mkuu, nakuomba tutofautiane kidogo kimtizamo; CCM ilisha jinyonga kitambo, kwa sasa inazidi kuongeza kina cha kaburi lake, Mwakani tutaizika rasmi na arobaini yake itafanyika mwaka 2015.
 
binafsi simuelewi Mh. Mwigulu, Nape na wengineo. Cha ajabu kuna wazee wenye mvi zao wanawaunga mkono!!
Kama elimu ya Tanzania inazaa wasomi wa namna hii basi kuna haja ya kuuza mashamba ya familia ili watoto wakasome nje au basi kama tatizo ni lingine ngoja tuone kama tutalijua
 
Mtoto akianza kutembea kwa kukimbia lazima wewe mzazi wake uingiwe na hofu. Kijana kujiunga na siasa tu kishafanya ambayo hata akina John Samwel Malecela hawajawahi kufanya.
 
Chama cha mapinduzi ccm mkoani arusha kinajiangamiza chenyewe kwakutojitambua,
katika jitahada za kukinusuru chama hicho kimejikuta katka mgogoro mkubwa na diwani wa levolosi cdm baada yakumhadhaa mkurugenzi wa jiji la arusha ili awape kazi ya kukusanya ushuru vijana wa ccm wahuni wapenda fujo kukusanya ushuru soko la kilombero jambo ambalo lilipingwa vikali na diwani wa chadema,
kitendo hicho cha mkurugenzi kuwapa ajira vijana wa ccm kimesemwa kuwa siyo dawa kwani vijana hao hawana sifa mzuri kwa jimii,
 
Ikiwa ni muda mrefu umepita,tokea watanzania tupate uhuru,tukiwa chini ya utawala wa TANU,hatimaye CCM bado mabadiliko makubwa hayajafanyika kuonesha malengo ya kulipatia taifa letu maendeleo.awamu ya kwanza ilianza vyema,lakini mawazo ya mwalimu J.K.Nyerere yalipoanza kukiukwa katika awamu ya pili,ya tatu na hatimaye ya nne ndio sasa watanzania tunaona tuko katika jehanamu iliyojaa chuki,njama,ufisadi, na umaskini uliokithiri.

ni ukweli usiofichika CCCM na uongozi wake wote imeshindwa kutatua matatizo yanayotukabili,na niseme imekuwa ikituongezea tabu kila kukicha.nianze na MGOMO WA MADAKTARI,AJALI ZA ZANZIBAR,SUALA LA MUUNGANO,KILIMOn.k vyote vinatabiri kifo cha CCM,kwa kuzingatia kuongezeka kwa machafuko nchini.

watanzania walio wengi wenye akili timamu na hekima nadhani tayari wameshajiandaa kufanya mabadiliko makubwa 2015,na namini itakuwa ndio mwisho wa utawala wa kidhalimuna dhaifu wa CCM!
NA HICHO NDICHO KIFO CHA CCM 2015!
But be careful, the kicks of the dying horse are deadly. Of course it is giving its last but one final breath
 
Title imekaa kushoto, ila ukisoma content, full uhondo. Hata iweje ccm lazima wakae. Wataiba kura hadi zitabak, hawatoki
Huo ndio mpango wao. Kuiba, kuchakachua, kufoji, kulazimisha tume itangaze kuwa ni wao wameshinda. Ni vema CDM kuandaa counter attack strategies mapema.
 
CHAMA CHANGU CCM MBONA KUTWA NZIMA TUNAKALIA KUIMBA NYIMBO HIZI....
1.Chadema chama cha magaidi,wakati huku mtaani wananchi wa kawaida kabisa mpaka wazee,vijana wasio na elimu ya kutosha wanajua ni mikakati yetu ccm kuwadaa watz ili waichukie chadema.
2.Maisha magumu,mauaji,uchochezi,magorofa kuua watu,matusi vyoote mnadai ni chadema lakini huku mitaani watz wanajua yote ccm ndo chanzo lengo ni kutotaka kuondoka madarakani. Lakini kila mara tumekuwa tukiimba mambo ya kipuuzi yasiyokuwa na tija kwa wananchi bado chadema haohao wakitisha mikutano,maandamano watz wanajitokeza kwa wingi tena bila kufatwa na magari kama tunavyofanya sisiemu.
- Wito wangu hebu tutekeleze ilani yetu ya uchaguzi kwani kimsingi chadema inatutisha kwani leo hii kila uchaguzi iwe mtaani,vyuoni,vijijini chadema wanatushinda kwa kishindo nimeogopa sana kusikia eti hata bumbuli kwa makamba hawa makamanda wameshafika na wameshinda huko uchaguzi mdogo japo tulifanya hila nyingi je mpaka kufikia 2015 itakuaje?
- Tuachane na kutengeneza propaganda za kuiangamiza chadema bali tuwatumikie watz na kuimarisha chama chetu kwani kila tunalofanya dhidi ya chadema impact kwa wananchi dhidi ya chadema ni wao kuhoji na kupata ukweli au wanatudharau.
- Tukae tukijua watz wa 2010 si hawa siku hizi watu wanauelewa mpaka vijijini si unaona kila ka uchaguzi makamanda wa M4C wanatubwaga tena hawatumii hata mamilioni,hebu tujipangeni jamani uwenda chaguzi ya 2014 serikali za mitaa mambo yatakuwa magumu sana huku ccm
- Pia tukae tukijua watz wamepania sana kujiandikisha kupiga kura na wanahamu kubwa ya kupiga kura tofauti na miaka ya nyuma inatisha sana. NI HAYO TU WANACCM WENZANGU.
 
CCM Chali, hata ilani yao hawaijui.

Wewe kijana nakujua uwenda ni wa SAUT,UDSM,MZUMBE,UDOM,SUA,TUMAINI maana nyie ndo huwa hamna jema kwetu ccm ilani yetu tunaijua na tumeahidi,tumetekeleza na tunaendelea kutekeleza mfano
- Movie ya Lwakatare
- Kuua mwangosi,kung'oa kucha kibanda,na yule dr.
- Mipango ya kuiangamiza chadema via masalia
- Kuvuna wanachama toka chadema kama Shonza,mwapamba.
- Kutafuta hela ya uchaguzi mkuu 2015 kupitia gesi ya mtwara
- Kuchakachua katiba mpya ili iwe ki-maccm
- Kikwete kusafiri nje kutembeza bakuli
- Kuficha mabilion nje ya nchi
- Lengo la kutawala milele linalofifia
- Kusomba watu na mafuso na kuwajaza kwenye mikutano yetu ili kuwalingishia chadema na kuwadaa watz kwamba bado tunapendwa.
- Kumiliki vyombo vya habari kama tbc,magazeti uhuru,majira,mzalendo,habari leo,RADIO clouds,uhuru,passion YOTE HAYA NI ILANI YETU TUMETEKELEZA
- Gharama za maisha kupanda na watz kukosa uhakika hata wa mlo mmoja kwa siku huoni maisha bora kwa kila mtz.
- Watoto kumaliza la saba hawajui kusoma wala kuandika pia wanamaliza form four. Duh! Hii haijawahi tokea duniani ila tz tu for ze first tym.
 
The problem facing the party is that they are devoid of people who can think strategically within the legal framework. Now they have embarked on smear tactics which i don't think it is going to work.

When you use terrorism charges against your citizen with no justification that is an indication of being desperate. The party strategist - Mwingulu i don't think he deserve to be holding that position because he is heading in the wrong direction.
 
Comedy ni pale ccm wanafanya mambo hadharani na wanaonekana then wanasema sio wao huku wananchi walioshuhudiwa wakipigwa butwaa. Yaani hawajielewi na hawajui ni kina nani wanawezakuwatumia kukiinua chama ila wanatumia mbinu chafu, magumash na vitu vya kufoji kuhadaa umma bila kutathmini athari zake kwa jamii ya sasa na ijayo. Mfano wanaona mtiti wa udini ni rais anashindwa kutoa suluhisho badala yake anaishia kulalamika then anatwisha viongozi wa dini mzigo usiowahusu. Ccm imetumia silaha ya udini na huku mtaani watu wanalaani sana kwa kuwa haikua hivyo since uhuru.
Sasa hili la ugaidi wanalifanyia mzaha tena, sasa sijui watafika nalo wapi. Raisi anakubali ushenzi wa mwigulu, wasira nape na washirika wake na anachekelea at\i chadema kitaangamia. Hizo ni ndoto za mchana na laiti hawa wajinga kina nape na mwigulu wangefanya research wakajua matamanio ya watu na ni kwa nini. Wanatumia vyombo vya habari kuchafua kini wanasahau kuwa wanayotaka kuaminisha watu tayari watu wanajua kila kitu. Ushauri wangu ccm wafanye research kwa nini chadema inapendwa na walio wengi na sio ccm then wafanye jitihada halali kukijenga chama chao na sion kutumia mbinu chafu, mufilisi, mateso mauaji na vitisho ili kiendelee kupendwa. Upanga hauleti amani wala vitisho. Mtu anayekaribia kushindwa ndo anatumia mbinu hizi chafu na tumeshawaelewa na tunaendelea kuelimisha uma wakae tayari kwa hila zenu na wazikatae. Iweje mshindwe kusimamia matumizi bora ya rasilimali zetu mje kunyonga watetezi? Jifikirieni wenyewe ila tatizo la viongozi wa ccm na serikali ni vichwa ngumu wanabaki na slogan ya huyu aliyepinda kuwa "liwalo na liwe" mtafika? Ccm hamna dira mnatembea gizani na panga kudhuru kila kilicho mbele yenu kama kizuizi kumbe kuna vizuizi hamtaviweza ha hiyo silaha yenu duni, kumbe wenye macho zaidi yenu wanatembea kwa mwanga na mungu anawaongoza katika haki. Maneno mengi vitisho na kujisifia kwenu kushinda kwa udhalimu mtaangamia vivyo hivyo.
 
CHAMA CHANGU CCM MBONA KUTWA NZIMA TUNAKALIA KUIMBA NYIMBO HIZI....
1.Chadema chama cha magaidi,wakati huku mtaani wananchi wa kawaida kabisa mpaka wazee,vijana wasio na elimu ya kutosha wanajua ni mikakati yetu ccm kuwadaa watz ili waichukie chadema.
.

wengine tukisema niwanaccm ila hatupendi matendo ya ccm tunaonekama wanafiki tu na mamluki!
 
CHAMA CHANGU CCM MBONA KUTWA NZIMA TUNAKALIA KUIMBA NYIMBO HIZI....
1.Chadema chama cha magaidi,wakati huku mtaani wananchi wa kawaida kabisa mpaka wazee,vijana wasio na elimu ya kutosha wanajua ni mikakati yetu ccm kuwadaa watz ili waichukie chadema.
2.Maisha magumu,mauaji,uchochezi,magorofa kuua watu,matusi vyoote mnadai ni chadema lakini huku mitaani watz wanajua yote ccm ndo chanzo lengo ni kutotaka kuondoka madarakani. Lakini kila mara tumekuwa tukiimba mambo ya kipuuzi yasiyokuwa na tija kwa wananchi bado chadema haohao wakitisha mikutano,maandamano watz wanajitokeza kwa wingi tena bila kufatwa na magari kama tunavyofanya sisiemu.
- Wito wangu hebu tutekeleze ilani yetu ya uchaguzi kwani kimsingi chadema inatutisha kwani leo hii kila uchaguzi iwe mtaani,vyuoni,vijijini chadema wanatushinda kwa kishindo nimeogopa sana kusikia eti hata bumbuli kwa makamba hawa makamanda wameshafika na wameshinda huko uchaguzi mdogo japo tulifanya hila nyingi je mpaka kufikia 2015 itakuaje?
- Tuachane na kutengeneza propaganda za kuiangamiza chadema bali tuwatumikie watz na kuimarisha chama chetu kwani kila tunalofanya dhidi ya chadema impact kwa wananchi dhidi ya chadema ni wao kuhoji na kupata ukweli au wanatudharau.
- Tukae tukijua watz wa 2010 si hawa siku hizi watu wanauelewa mpaka vijijini si unaona kila ka uchaguzi makamanda wa M4C “wanatubwaga tena hawatumii hata mamilioni,hebu tujipangeni jamani uwenda chaguzi ya 2014 serikali za mitaa mambo yatakuwa magumu sana huku ccm
- Pia tukae tukijua watz wamepania sana kujiandikisha kupiga kura na wanahamu kubwa ya kupiga kura tofauti na miaka ya nyuuma inatisha sana. NI HAYO vTU WANACCM WENZANGU.

Ubarikiwe na kama una busara hivi nakushauri hama hukõ uLÏko watakung'oa meno na kucha bila ganzi

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Wewe kijana nakujua uwenda ni wa SAUT,UDSM,MZUMBE,UDOM,SUA,TUMAINI maana nyie ndo huwa hamna jema kwetu ccm ilani yetu tunaijua na tumeahidi,tumetekeleza na tunaendelea kutekeleza mfano
- Movie ya Lwakatare
- Kuua mwangosi,kung'oa kucha kibanda,na yule dr.
- Mipango ya kuiangamiza chadema via masalia
- Kuvuna wanachama toka chadema kama Shonza,mwapamba.
- Kutafuta hela ya uchaguzi mkuu 2015 kupitia gesi ya mtwara
- Kuchakachua katiba mpya ili iwe ki-maccm
- Kikwete kusafiri nje kutembeza bakuli
- Kuficha mabilion nje ya nchi
- Lengo la kutawala milele linalofifia
- Kusomba watu na mafuso na kuwajaza kwenye mikutano yetu ili kuwalingishia chadema na kuwadaa watz kwamba bado tunapendwa.
- Kumiliki vyombo vya habari kama tbc,magazeti uhuru,majira,mzalendo,habari leo,RADIO clouds,uhuru,passion YOTE HAYA NI ILANI YETU TUMETEKELEZA
- Gharama za maisha kupanda na watz kukosa uhakika hata wa mlo mmoja kwa siku huoni maisha bora kwa kila mtz.
- Watoto kumaliza la saba hawajui kusoma wala kuandika pia wanamaliza form four. Duh! Hii haijawahi tokea duniani ila tz tu for ze first tym.

Lol kweli wewe ni CCM damu kidumu.....fikra mfu na ukandamizaji...kidumu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Tatizo letu watanzania ni hodari sana wa kukesha nyuma ya keyboard........wagumu kufanya maamuzi....... Kwa hali hii ccm itatutawala milele mpaka siku tutakayoamua kwa dhati kuiondoa madarakani........ Change ni mimi ni wewe ni sisi twaweza!

Asante ewe Mtanzania, lakini nionyeshe jinsi wewe unavyokesha MBELE ya keyboard.
 
Poem.. Front line

Front line
Where manhood and consciousness is tested,~
The only place to bury persecutions and burden of ages,

The only place for declare names immortal,
Trust me brother You will not be alone there.,

~Front line
Where the bullets will graze on man and grass,
Where man will make his own lightning and thunder,
Where the enemy will fall and never rice,
Brother truly my shadow will be next to yours.,

Front Line
I know is bitter but I like it,
I like it particular because it is bitter,
I like it because it is where I belong,
For out of bitterness comes equality, freedom and peace..,

I will be in the front-line when the roll is called..! Kamwe hatutarudi nyuma kwenye haya mapambano kati kati ya HAKI dhid ya DHULUMA..! WANAMAGEUZI TUSIRUDI NYUMA UKOMBOZI UMEKARIBIA..!
 
Back
Top Bottom