davidson689
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 646
- 158
dua la kuku halimpati mwewe..
historia inaonyesha, hakuna serikali yeyote duniani iliyojaribu kuua upinzani ikafanikiwa..
yangu macho nasubiri tabiri zenu wote wawili.
dua la kuku halimpati mwewe..
historia inaonyesha, hakuna serikali yeyote duniani iliyojaribu kuua upinzani ikafanikiwa..
Reply With Quote.......................
..................................Hali hii imesababisha wabunge wa CCM kushindwa kufanya kazi zao za kibunge na kujikita katika kuitetea serikali ya chama chao,mtego huu umekinasa chama pia kutokana na kushindwa kuisimamia serikali kutokana na mfumo mbovu wa rais kuwa Mwenyekiti wa chama.
.................. Kutokana na udhaifu wa chama chenyewe cha CCM kushindwa kuwawajibisha wanachama wake ndani ya serikali kumesababisha serikali kubaki sikivu imaginary na kuupuza matatizo yanayolikumba taifa.
Wabunge wanachowaza ni deal,wakuu wa mikoa,wilaya na wakurugenzi wa halmashauri zote nchini ni deal.Unategemea nini taifa la kitu kidogo kuweza kuinua uchumi wa nchi.Kinachotekelezwa kwa sasa ambacho hakikuwepo kwenye ilani yao ya uchaguzi ni kushiriki misiba tu,lakini yale yote yenye kuweza kujenga nchi yameachwa ama kwa makusudi au kwa staili ya funika kombe mwanaharamu apite.
Nadhani upinzani wajifunze kuishi na mama wakambo,,,,,,Unapokuwa unaangalia sehemu zenye upungufu tu nakusahau kuwa kunasehemu za mema o mazuri hayo ni mawazo ya kimasikin ,,,,, Kwa sababu utasahau kuendeleza mema na kukazania mabaya..Wabunge si wa CCM tu jamani hata CHADEMA situna waona wanatetea chama chao bunge baadala ya kuwa silisha malalamiko ya majimbo yao..Tufikie wakati tuwe tuna utanzania ,Kwa taafsiri nzuri heshima, hekima ,busara na mengi yenye manufaa.TUKIANZA KUTAJA WALIO FANYA SEREKALI SIYO MADOGO KAMA TUNAVYO YA KUZA.unapo nyosha kidole kwa mwenzako jua vitatu vinakurudia..
Tanzania kuna upinzani maana yake kupingana na siyo ukizani maana yake kushindanaKiukweli kwa upande wa upinzani wao wamejikita katika kutetea matatizo ya wananchi no matter wakipewa nafasi hawatatekeleza lakini kinachooneka kile wanacho kipresent kilikuwa ndani ya ilani yao na ndipo CCM wanaposhindwa kutofautisha matatizo na ilani za wapinzani