Kidiplomasia imekaaje, eti unaenda nchi nyingine kuteka watu, hii ni kama STATE OF WAR....unatangaza vita

Kidiplomasia imekaaje, eti unaenda nchi nyingine kuteka watu, hii ni kama STATE OF WAR....unatangaza vita

Chibike

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2024
Posts
4,896
Reaction score
7,522
Kuna mambo mengine ya kipumbavu sana.

Nimekua nasoma habari za mmoja wa wanaharakati wa Tanzania kunusurika kutekwa huko nchini Nairobi, na mmoja wa watekaji amekimbia na wengine wamekamatwa.

Nimekua najiuliza hii kidiplomasia imekaaje? Je sio ni kama kitendo Cha uvamizi kwenye nchi husika? Kwamba wewe unaweza kuleta makalio yako nchi nyingine na kutaka kuteka watu ama kuua, this is considered as state of war. Kwamba umevamia nchi yangu na kutaka kuteka wakazi wa nchi yangu.

Hao waliokamatwa wawataje na wenzao wengine tuwajue watekaji.
 
Kuna mambo mengine ya kipumbavu sana.

Nimekua nasoma habari za mmoja wa wanaharakati wa Tanzania kunusurika kutekwa huko nchini Nairobi, na mmoja wa watekaji amekimbia na wengine wamekamatwa.

Nimekua najiuliza hii kidiplomasia imekaaje? Je sio ni kama kitendo Cha uvamizi kwenye nchi husika? Kwamba wewe unaweza kuleta makalio yako nchi nyingine na kutaka kuteka watu ama kuua, this is considered as state of war. Kwamba umevamia nchi yangu na kutaka kuteka wakazi wa nchi yangu.

Hao waliokamatwa wawataje na wenzao wengine tuwajue watekaji.
Gentleman,
scripts mbalimbali zinazoandaliwa na m.sarung pale kenya juu ya drama nonsense za utekaji kujaribu kuipaint vibaya na kuichafua image ya nchi yake, hazina athari zozote kidiplomasia na kiusalama kwa ujumla, na ndio maana umeona ni giza totoro mpaka sasa kuhusu drama hiyo useless na isiyo na maana yoyote.

nadhani hakuna haja ya kupoteza wakati kuelezea upuuzi huo zaidi.
 
Gentleman,
scripts mbalimbali zinazoandaliwa na m.sarung pale kenya juu ya drama nonsense za utekaji kujaribu kuipaint vibaya na kuichafua image ya nchi yake, hazina athari zozote kidiplomasia na kiusalama kwa ujumla, na ndio maana umeona ni giza totoro mpaka sasa kuhusu drama hiyo useless na isiyo na maana yoyote.

nadhani hakuna haja ya kupoteza wakati kuelezea upuuzi huo zaidi.
Ccm matekaje wakubwa hakuna kujitetea
 
Kuna mambo mengine ya kipumbavu sana.

Nimekua nasoma habari za mmoja wa wanaharakati wa Tanzania kunusurika kutekwa huko nchini Nairobi, na mmoja wa watekaji amekimbia na wengine wamekamatwa.

Nimekua najiuliza hii kidiplomasia imekaaje? Je sio ni kama kitendo Cha uvamizi kwenye nchi husika? Kwamba wewe unaweza kuleta makalio yako nchi nyingine na kutaka kuteka watu ama kuua, this is considered as state of war. Kwamba umevamia nchi yangu na kutaka kuteka wakazi wa nchi yangu.

Hao waliokamatwa wawataje na wenzao wengine tuwajue watekaji.
Naona kama Kenyà Rito wamebariki ushenzi huo
 
Hili swala lingefanyika kwa kagame sasa hivi tungekua tunaongeaengine .. Kuna watu swala la usalama wa Raia wanaliona km sio kipaumbele chao na sababu kuu ya kuona hivyo ni vyombo vyetu vya usalama kua walinzi wa wanasiasa
 
Gentleman,
scripts mbalimbali zinazoandaliwa na m.sarung pale kenya juu ya drama nonsense za utekaji kujaribu kuipaint vibaya na kuichafua image ya nchi yake, hazina athari zozote kidiplomasia na kiusalama kwa ujumla, na ndio maana umeona ni giza totoro mpaka sasa kuhusu drama hiyo useless na isiyo na maana yoyote.

nadhani hakuna haja ya kupoteza wakati kuelezea upuuzi huo zaidi.
631034727_18562460827054954_1465410255471638881_n.jpg
 
Hii staili ya kina kagame na trump kuingia kwenye nchi za watu kinyemela na kufanya yao si nzuri kwa taifa la watu. Mtu akiishakimbilia nchi ya watu unamfuatia nini huko? Hii itatengeneza mataifa mababe kuingia kwenye mataifa mengine kutaka wapate wanachokitaka, mtu au mali.
 
Kuna mambo mengine ya kipumbavu sana.

Nimekua nasoma habari za mmoja wa wanaharakati wa Tanzania kunusurika kutekwa huko nchini Nairobi, na mmoja wa watekaji amekimbia na wengine wamekamatwa.

Nimekua najiuliza hii kidiplomasia imekaaje? Je sio ni kama kitendo Cha uvamizi kwenye nchi husika? Kwamba wewe unaweza kuleta makalio yako nchi nyingine na kutaka kuteka watu ama kuua, this is considered as state of war. Kwamba umevamia nchi yangu na kutaka kuteka wakazi wa nchi yangu.

Hao waliokamatwa wawataje na wenzao wengine tuwajue watekaji.
Hakuna kitu hapo. Mshabaha anataka makaratasi ya asylum ya kwenda kuishi Ulaya kama anavyoishi Maria Sarungi. Hiyo ndiyo njia wanatumia kuonyesha kuwa wako under humanitarian threat

Yaani mwaka jana miezi kama alitekwa Maria akaokolewa, na mwaka huu ametekwa Msabaha naye ameokewa.

Tafuteni uwongo mwingine
 
Gentleman,
scripts mbalimbali zinazoandaliwa na m.sarung pale kenya juu ya drama nonsense za utekaji kujaribu kuipaint vibaya na kuichafua image ya nchi yake, hazina athari zozote kidiplomasia na kiusalama kwa ujumla, na ndio maana umeona ni giza totoro mpaka sasa kuhusu drama hiyo useless na isiyo na maana yoyote.

nadhani hakuna haja ya kupoteza wakati kuelezea upuuzi huo zaidi.

Wewe kwa upeo wa akili yako uliyo nayo, histahili kuchangia chochote kwenye hoja kama hiyo inayohitaji akili na uelewa.
 
Gentleman,
scripts mbalimbali zinazoandaliwa na m.sarung pale kenya juu ya drama nonsense za utekaji kujaribu kuipaint vibaya na kuichafua image ya nchi yake, hazina athari zozote kidiplomasia na kiusalama kwa ujumla, na ndio maana umeona ni giza totoro mpaka sasa kuhusu drama hiyo useless na isiyo na maana yoyote.

nadhani hakuna haja ya kupoteza wakati kuelezea upuuzi huo zaidi.
Acha upotoshi kijana
 
Hakuna kitu hapo. Mshabaha anataka makaratasi ya asylum ya kwenda kuishi Ulaya kama anavyoishi Maria Sarungi. Hiyo ndiyo njia wanatumia kuonyesha kuwa wako under humanitarian threat

Yaani mwaka jana miezi kama alitekwa Maria akaokolewa, na mwaka huu ametekwa Msabaha naye ameokewa.

Tafuteni uwongo mwingine

Hakuna kitu hapo. Mshabaha anataka makaratasi ya asylum ya kwenda kuishi Ulaya kama anavyoishi Maria Sarungi. Hiyo ndiyo njia wanatumia kuonyesha kuwa wako under humanitarian threat

Yaani mwaka jana miezi kama alitekwa Maria akaokolewa, na mwaka huu ametekwa Msabaha naye ameokewa.

Tafuteni uwongo mwingine
Endeleeni kumaliza vijana WA Tanganyika, tukamateni wote tuuweni
 
Hakuna kitu hapo. Mshabaha anataka makaratasi ya asylum ya kwenda kuishi Ulaya kama anavyoishi Maria Sarungi. Hiyo ndiyo njia wanatumia kuonyesha kuwa wako under humanitarian threat

Yaani mwaka jana miezi kama alitekwa Maria akaokolewa, na mwaka huu ametekwa Msabaha naye ameokewa.

Tafuteni uwongo mwingine
Waambie haya vyombobvyabylusalama vya Kenya vilivyowakamata watekaji
 
Back
Top Bottom