AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,537
- 4,517
Salaam wataalamu...
Nahitaji msaada ndugu zangu, Mwanangu wa kike aliwahi kulazwa Mnyamala kwa Pneumonia na anaemia akiwa na miezi 5 takriban.
Akatibiwa akapona ila hili TATIZO LA KICHWA KUWA CHA MOTO LIKIWA LIMEPUNGUA KIDOGO NA ALISAFIRI KWENYE BARIDI AKAPUNGUA KIASI SIO KUISHA KABISA.
Ila ndugu zangu Matatizo ya Mtoto wangu yako pale pale anaenda kutimiza mwaka kichwa kinakuwa na joto.. Na nikienda hospital watanieleza yale yale na kunijaza mwanangu ma PARACETAMOL NA ANTIBIOTICS tu na madawa ya damu.
Je kwenye experience kwenye taaluma ya afya. Je hii case mliipata na mkaishughulikiaje? Nina wasiwasi sio tu kichwa kinakuwa cha moto tu mwili ukiwa na joto la kawaida. Nina wasiwasi hata kichwa kinamuuma vilevile. Ila ni vile hawezi kusema tu. Ana mwaka sasa.
Ziada:-
Ana mwaka sasa hajaanza kutambaa. Ila hii kwa mtoto wa kwanza ilikuwa hivyo hivyo alichelewa stages zake. Ila hakuwa kama hivi kichwa kupata moto pekee yake.
Nahitaji msaada ndugu zangu, Mwanangu wa kike aliwahi kulazwa Mnyamala kwa Pneumonia na anaemia akiwa na miezi 5 takriban.
Akatibiwa akapona ila hili TATIZO LA KICHWA KUWA CHA MOTO LIKIWA LIMEPUNGUA KIDOGO NA ALISAFIRI KWENYE BARIDI AKAPUNGUA KIASI SIO KUISHA KABISA.
Ila ndugu zangu Matatizo ya Mtoto wangu yako pale pale anaenda kutimiza mwaka kichwa kinakuwa na joto.. Na nikienda hospital watanieleza yale yale na kunijaza mwanangu ma PARACETAMOL NA ANTIBIOTICS tu na madawa ya damu.
Je kwenye experience kwenye taaluma ya afya. Je hii case mliipata na mkaishughulikiaje? Nina wasiwasi sio tu kichwa kinakuwa cha moto tu mwili ukiwa na joto la kawaida. Nina wasiwasi hata kichwa kinamuuma vilevile. Ila ni vile hawezi kusema tu. Ana mwaka sasa.
Ziada:-
Ana mwaka sasa hajaanza kutambaa. Ila hii kwa mtoto wa kwanza ilikuwa hivyo hivyo alichelewa stages zake. Ila hakuwa kama hivi kichwa kupata moto pekee yake.