Kichuguu (pia: kingulima, kiduta, kishirazi) ni sehemu au nyumba wanamoishi mchwa baada ya kujijengea kwa udongo waliouchanganya na mate yao.
Umbo la kichuguu linaweza kubadilika, lakini kuna masharti kadhaa ya kuwezesha mchwa kuishi humo ambayo hayaathiri mandhari ya ndani kama vile giza, ubichi, utulivu n.k..
Ili kichuguu kiwe hai lazima malkia awe hai kwani yeye ndiye anayetaga mayai kwa ajili ya kuzaa mchwa na kumbikumbi. Ndani ya kichuguu utakuta nyumba ya malkia ikiwa na ulinzi wa mchwa wengi sana.
Malkia huwa ni mweupe mwenye ngozi laini sana; kwa ndani ni kama ana majimaji au mafuta (kiowevu).
View attachment 3372926 hapo chini utaona picha tofauti za vichuguu lakini haya ni maumbo ya nje tuu.. Huko ndani formation ni moja
View attachment 3372927