Kichuguu ni nini?

Kichuguu ni nini?

Kwamba kuua kichuguu mpaka uuwe malikia,hz story huwa nazisikia sikia

Kwahyo mchwa wana malikia,nyuki pia na siafu
Hata hivyo mpaka umfikie malikia unakuwa umeshakisambaratisha.. Ila wakifanikiwa kumchifa.. Kichuguu kitajengwa upya tena fasta sana
 
Mkuu wanasemaga malkia wa mchwa ni wathamani sana,.
Anatumika kufanyia Nini???
Malikia wa mchwa na malikia wa nyuki na kucha za mnyama mshana kamwandika hapo juu anaitwa muhanga huwa wanaweka kwenye biashara kuvuta watu..
Ila kuvipata hivo vitu sio rahisi unaweza tumia miaka kuvipata..
Anyway wee piga kazi kama punda mradi usife njaa.
 
Malikia wa mchwa na malikia wa nyuki na kucha za mnyama mshana kamwandika hapo juu anaitwa muhanga huwa wanaweka kwenye biashara kuvuta watu..
Ila kuvipata hivo vitu sio rahisi unaweza tumia miaka kuvipata..
Anyway wee piga kazi kama punda mradi usife njaa.
Ok
 
Kichuguu (pia: kingulima, kiduta, kishirazi) ni sehemu au nyumba wanamoishi mchwa baada ya kujijengea kwa udongo waliouchanganya na mate yao.
Umbo la kichuguu linaweza kubadilika, lakini kuna masharti kadhaa ya kuwezesha mchwa kuishi humo ambayo hayaathiri mandhari ya ndani kama vile giza, ubichi, utulivu n.k..

Ili kichuguu kiwe hai lazima malkia awe hai kwani yeye ndiye anayetaga mayai kwa ajili ya kuzaa mchwa na kumbikumbi. Ndani ya kichuguu utakuta nyumba ya malkia ikiwa na ulinzi wa mchwa wengi sana.

Malkia huwa ni mweupe mwenye ngozi laini sana; kwa ndani ni kama ana majimaji au mafuta (kiowevu).View attachment 3372926 hapo chini utaona picha tofauti za vichuguu lakini haya ni maumbo ya nje tuu.. Huko ndani formation ni mojaView attachment 3372927
Tusifanyiane mzaha ndugu yangu
 
Ile rangi yao tu kama mende dah sijui watu wanawalaje, bora visenene.
Wengine wanakula malikia
494595c2-359f-4864-9f3a-f88088f8c6cd.jpeg
 
Termite hill mounds Northern Territory Australia.jpeg
hapo kila kimoja na malkia wake..kwahiyo ukihitaji malkia watano ni lazima vilale vitano
494595c2-359f-4864-9f3a-f88088f8c6cd.jpeg
 
ONYO KALI na TAARIFA kwa UMMA: Kichuguu ni mimi; na ndiyo trade mark yangu. Ukinichokoza zaidi kunivunjia heshima, nitakuvurumisha kwa pilato utundikwe msalabani. Kwa hiyo tuheshimiane kabla sijachukua maamuzi hayo mazito. Bado najua wewe ni ndugu yangu ila tukiendelea kuvunjiana heshima, undugu utafutika na utaishia msalabani kwa misumali ya moto.

NI MARUFUKU KUTUMIA NENO KICHUGUU MAHALA POPOTE BILA IDHINI YANGU
 
ONYO KALI na TAARIFA kwa UMMA: Kichuguu ni mimi; na ndiyo trade mark yangu. Ukinichokoza zaidi kunivunjia heshima, nitakuvurumisha kwa pilato utundikwe msalabani. Kwa hiyo tuheshimiane kabla sijachukua maamuzi hayo mazito. Bado najua wewe ni ndugu yangu ila tukiendelea kuvunjiana heshima, undugu utafutika na utaishia msalabani kwa misumali ya moto.

NI MARUFUKU KUTUMIA NENO KICHUGUU MAHALA POPOTE BILA IDHINI YANGU
🏃🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿
d4f7697f-1dac-4e9d-870f-d95ef029ea35.jpeg
 
Back
Top Bottom