Well saidAlipandisha Ada ya uanachama wa NATO kutoka 2% Hadi 5% muhula wake wa kwanza alipokuja Biden aliacha vile vile
alirudisha vikwazo vya uchumi kwa Iran kwa asilimia 200% baada ya Obama kuvipunguza mpaka leo vipo vilevie
democratic na Republican wanatofautiana kwenye
1.uhamiaji
2. Ushoga
democratic wanapigia debe uhamiaji ilwapate walipa kura wa kigen na Republican wanapigania utaifa
sera nyingi zinaendana
Kumbe hata nyie dada poa mnajua siasa za dunia , mimi nilidhani mko uptudeti na rangi za kondomAlipandisha Ada ya uanachama wa NATO kutoka 2% Hadi 5% muhula wake wa kwanza alipokuja Biden aliacha vile vile
alirudisha vikwazo vya uchumi kwa Iran kwa asilimia 200% baada ya Obama kuvipunguza mpaka leo vipo vilevie
democratic na Republican wanatofautiana kwenye
1.uhamiaji
2. Ushoga
democratic wanapigia debe uhamiaji ilwapate walipa kura wa kigen na Republican wanapigania utaifa
sera nyingi zinaendana
This man is unfit for that job. America imeingia mkenge. Mchizi ameharibu mifumo mingi sana ndani ya muda mfupi. Wakitaka kuirejesha hiyo mifumo, tawala zijazo itabidi zifanye kazi ya ziada!Let us wait and see baada ya miaka 3 iliyobaki ya Trump!
Mnashindwa kujenga nchi yenu mnabaki kulialia na kulilia vijicent vya nchi zingine ambako walijenga nchi zao kwa jasho na damuLet us wait and see baada ya miaka 3 iliyobaki ya Trump!
Huyu ana combination za ukichaa na roho mbaya, Democrats wakiingia wanaanza upya maana anachokifanya huyu jamaa sio sifa za Taifa kubwaLet us wait and see baada ya miaka 3 iliyobaki ya Trump!
Napenda sana anavyowapelekea moto makobaz, yeye na Netanyahu 😎Trump hana akili.