Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
_*Kuna mgonjwa Wa matatizo ya akili kule Mirembe alimkimbiza daktari huku ameshika kisu kikali. Daktari alikimbia sana huku akiwa na hofu kuu. Hatimaye, akafika mahali ambapo hakukuwa na njia ya kupita, akapiga magoti na kusema sala ya mwisho.Yule mgonjwa akamkaribia kabisa na kumwambia....Ni zamu yako sasa.Nikimbize.*