Kibwana Dachi amchana LIVE Wasira

Kibwana Dachi amchana LIVE Wasira

Mara utasikia ameuawa na kitu kilichokua kikiruka, hawataki kabisa kusema amepigwa bomu

Inabidi awe makini anapo enda kuchukua habari unaweza ambiwa wananchi wenye hasira kali walijua ni jambazi
 
Ila naamini Wassira ni mwongeaji/mropokaji tu na si mtu wa visasio kama wengin
 
Dr.Slaa alikuwa anaisemaje CHADEMA wakati yuko CCM???

Dr Slaa aliingia kkt siasa rasmi mwaka 1995, Chadema haikuwepo karatu, utazungumzia chadema isiyokuwepo kivipi? Yeye ndo kapeleka chadema karatu. You should get this right.
 

.........Siasa kweli ni mchezo mchafu... Wassira huyu amesahau alikotoka....


Oya..we Pilau iyo miandishi yako ya langi nyekundu inaumiza macho bana aaah. Fanya iwe nyeusi tutasoma tu. mbona umesema pointi sana?! tatizo iyo milangilangi sasa. em fanya ziwe nyeusi aiseee....
 
Hakika kila Mbuyu na shetani wake! Katika vitu ambavyo vimenifurahisha asubuhi hii ni kitendo cha nguri wa habari Ndugu Kibwana Dachi kumtamkia LIVE bila chenga kuwa Wasira hana weredi wa uondozi wala uvumilivu wa kisiasa hata cheo alichonacho ni cha kuhongwa tu!

Zaidi ya hapo amewataka wana habari kumuumbua kwa kutumia mikanda yake ya maneno aliyokuwa akiyatoa juu ya Serikali ya CCM wakati yupo upinzani.

Hongera sana Kibwana! Tunahitaji wanahabari wenye kujiamini kama wewe.
Wasije wakamng'oa kucha tu na kumtoboa macho...
 
Hakika kila Mbuyu na shetani wake! Katika vitu ambavyo vimenifurahisha asubuhi hii ni kitendo cha nguri wa habari Ndugu Kibwana Dachi kumtamkia LIVE bila chenga kuwa Wasira hana weredi wa uondozi wala uvumilivu wa kisiasa hata cheo alichonacho ni cha kuhongwa tu!

Zaidi ya hapo amewataka wana habari kumuumbua kwa kutumia mikanda yake ya maneno aliyokuwa akiyatoa juu ya Serikali ya CCM wakati yupo upinzani.

Hongera sana Kibwana! Tunahitaji wanahabari wenye kujiamini kama wewe.

Ktk waandishi wa habari bogus ni kibwana dachi, huyu ni amevamia fani na hajui alifanyali, waandishi wa aina hii ndio huchochea machafuko ktk nchi mbalimbali. Shame of u kibwana dachi. Zamani Akiwa Salum mwalimu nilipenda kuangalia kipindi cha asubuhi njema cha Chanel ten now tangu akiendeshe huyu jamaa kimepoteza mvuto kbs!
 
Ikiwa nyama ya nguruwe ni haramu lakini ikitokea unataka kufa kwa njaa waweza kula ili mradi usife kafir unadhani hapo Wassira angefanyaje??? Njaa ya kisiasa hiyo. Nakumbuka alikuwa NCCR Mageuzi Mama Maria Nyerere akaenda kwa Mkapa kumuombea arudishwe serikalini baada ya kuwa choka ile mbaya.

Ukizama maji akapita nguruwe ule mkia ni mrefu sana kuokoa hata watu watano kwa kuushika.
 
Nimemsikiliza Kibwana Dachi amezungumza kama mwandishi wa habari asiyekuwa mnafiki. Amekerwa na maneno ya Wasira eti Kibanda ni nani katika nchi hii hadi atafutwe na usalama wa taifa, hii ni dharau kwa wandishi wa habari wasira hajui umuhimu wa wahariri wa vyombo vya habari nchi hii wakati kila siku anatafuta press conference.
 
Oya..we Pilau iyo miandishi yako ya langi nyekundu inaumiza macho bana aaah. Fanya iwe nyeusi tutasoma tu. mbona umesema pointi sana?! tatizo iyo milangilangi sasa. em fanya ziwe nyeusi aiseee....

..... Sio kosa lako .......Najua unaakili kama za Wassira ... some times NO some times YES....hala hala usilale bungeni.......

 
Ikiwa nyama ya nguruwe ni haramu lakini ikitokea unataka kufa kwa njaa waweza kula ili mradi usife kafir unadhani hapo Wassira angefanyaje??? Njaa ya kisiasa hiyo. Nakumbuka alikuwa NCCR Mageuzi Mama Maria Nyerere akaenda kwa Mkapa kumuombea arudishwe serikalini baada ya kuwa choka ile mbaya.

Ukizama maji akapita nguruwe ule mkia ni mrefu sana kuokoa hata watu watano kwa kuushika.

..........Hakya Nani nilimshuhudia akitembea barabarani kiatu kimepinda na mavumbi kibao... akilelekea pale ofisi za NCCR Manzese wakati ule.... amesahau yooote... njaa kweli haina TYSON.......

 
Ni kiongozi gani ambaye hakupitia CCM hata hao miungu mtu akina SLAA, na wabunge wenu wengi walikuwa ccm je ni njaa ziliwaondoa ccm au ninyi mnamuona wasira tu kweli wasira anawatesa na mwaka huu mtakoma.

tofautisha watu waliongia ccm kwa lazima na wale walioingia kama wanasiasa wakati huo, sema slaa, mbowe, zitto, waliingia ccm na wakawa na nyadhifa zipi za kisiasa ukilinganisha na wassira
 
Kudos Kibwana Dachi.

Huyu Steven wasira ubongo wake umeshachoka hadi ameshafika kikomo cha mwisho cha uwezo wa kureason as a prudent man.

Steven Wassira amefilisika kimawazo anapaswa kupumzika.

Haiwezekani waziri wa mahusiano anasimama bungeni alafu anajadili maswala nyeti ya taifa kwa maneno ya kuudhi na kejeli mithili ya mama muimba mipasho.
Haiwezekani mtu wa umri wa Steven Wasira ambaye ni Waziri wa mahusiano kujitokeza mbele ya chombo muhimu ' bunge ' na kujadili swala nyeti la kutekwa kwa Kibanda kwa style ya kejeli na dharau utadhani sio mtu mzima au utadhani kuwa Kibanda ni kuku na sio mwanadamu kama wengine.

Ni nadra sana watu wa design ya Steven Wassira kusurvive kwenye nchi za demokrasia zinazokandamiza raiya na kutesa wapiga kura.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Nyoooooo! Wassira mwenyewe ....

........ Hata ukikataa vipi wewe na Wassira ni damu damu..... tena afadhali unitukane nyoooo kuliko kuniita Wassira ni kosa kubwa sana....nasikia kichefuchefu....
 
Ktk waandishi wa habari bogus ni kibwana dachi, huyu ni amevamia fani na hajui alifanyali, waandishi wa aina hii ndio huchochea machafuko ktk nchi mbalimbali. Shame of u kibwana dachi. Zamani Akiwa Salum mwalimu nilipenda kuangalia kipindi cha asubuhi njema cha Chanel ten now tangu akiendeshe huyu jamaa kimepoteza mvuto kbs!
Jamani itikadi nyingine bana noma! hebu ona unavyoacha kujadili hoja ya kibwana na kuanza kumsakama binafsi! halafu una shida ya shule eti.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom