CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
Hongera kwa kufanya maamuzi magumu... ni wengi sana ambao huwa inawawia vigumu kufanya maamuzi magumu.. mmojawapo ni FastJet!!!
Duh... Inabidi nitoke huku kijijini nije home naona mambo yanaharibika! Kwanini asioe wote wawili? Kwani ladyfurahia na Mrembo by Nature hawaelewani kama mimi na gfsonwin tunavyoelewana?
Huyo alikuwa hawala tu mwenye mume ni ladyfurahia ndo maana bidada ameamua kusepa mapema!
Nahisi pia maombi ya ladyfurahia yamejibu coz hakupendezwa kabisa na tabia ya mumewe kumrundikia smolo hausi wengi. Ndo sasa unaona wanaanza kuondoka mmoja baada ya mwingine.
Me too my love!
Copy kwa Ruttashobolwa
mhhhhhhhh...........kumbe nna mawifi kibao!!!
Hongera kwa kufanya maamuzi magumu... ni wengi sana ambao huwa inawawia vigumu kufanya maamuzi magumu.. mmojawapo ni FastJet!!!
Nami kumbe nina mashemeji tani moja aisee lol !!
Nakupa salamu ya upendo tu charminglady. Mzima wewe?
marahabaaa.............hujambo mtoto mzuri!!! jana banaa si nikaingia kwenye mitaro ya strabag........
mimisa, kibuti cha nani? chit chat usiiknfyuzi na saccos yangu ina mafao hakuna anaeweza kutoka...jiunge nawe ujionee faida zake, hadi uzeeni!!!unatafta pa kupozea kibuti..nimestuka
tafuta wapiga tarumbetahahah nilijua tu...ulikataa nisiku-drive mimi!!! Afu nakupigia weeeeeeee......ama ulizima hapo hapo!??
mimisa, kibuti cha nani? Chit chat usiiknfyuzi na saccos yangu ina mafao hakuna anaeweza kutoka...jiunge nawe ujionee faida zake, hadi uzeeni!!!
Aaaah jamani sis sio wafaransa..
Hiyo nimempa kama taarifa.
Hivi dada madame b, kikundi chenu cha mkodobwe kinakodiwa kwa shilingi ngapi maana ninataka kuwapa dili la kumsuta erickb52, mwananume gani anawaharibia wanaume wenzie!!!! Serukamba yeye!!!!!:censored: